Cha msingi pointi mkobani kwa mechi kama hizi. Tuko pamoja mkuu!
Hongereni lakini nafikiri umewaona vijana wa MANU,tuliwabana mapaka mkakimbia game ilikuwa ni vita hasa midfilders bahati yenu mcheza kwao hutunzwaVijana kazi nzuri ila game ilikuwa tait kiukweli Man U walikuwa vizuri sana leo.
Ebo!! Kuondoka kidogo ishafika thread ya 11, mlikuwa wapi wakati mechi inaendelea? Hongereni sana lakini.
Ab Tichaz wiki chache zijazo nakuja mitaa ya kwenu kuwaangalia either Wolverine au Fighting Irish.
Hongereni lakini nafikiri umewaona vijana wa MANU,tuliwabana mapaka mkakimbia game ilikuwa ni vita hasa midfilders bahati yenu mcheza kwao hutunzwa
Ha!ha!ha!...Hongereni wazee wa darajani......! hongera Masa, Mvina et al!.....Subirini Aston Villa....!
Ha!ha!ha!...Hongereni wazee wa darajani......! hongera Masa, Mvina et al!.....Subirini Aston Villa....!
http://www.youtube.com/watch?v=XMiy_UsrPDs
Hii ni kwa ajili ya wapenzi wa Chelsea. Kwa ushindi wa jana. Nimewaletea kipande mahsusi maana kwa namna moja au nyingine kinahusika na Chelsea. Naona Invisible na Ab-Tichaz wanakenua pale..
BTW, Nashindwa kuelewa hivi Ashley aliwezaje kumcheat huyu binti malaika, tena anaonekana hana dhambi hata ya kusingiziwa.. eeh? mrembo, portable, dimples ..(mipaka yangu ya 'ufafanuzi' inaishia hapo).
Nways, mie sina la ziada.
http://www.youtube.com/watch?v=XMiy_UsrPDs
Hii ni kwa ajili ya wapenzi wa Chelsea. Kwa ushindi wa jana. Nimewaletea kipande mahsusi maana kwa namna moja au nyingine kinahusika na Chelsea. Naona Invisible na Ab-Tichaz wanakenua pale..
BTW, Nashindwa kuelewa hivi Ashley aliwezaje kumcheat huyu binti malaika, tena anaonekana hana dhambi hata ya kusingiziwa.. eeh? mrembo, portable, dimples ..(mipaka yangu ya 'ufafanuzi' inaishia hapo).
Nways, mie sina la ziada.
NL asante sana! jamaa wale wanajidai sana...AV dawa yao iko jikoni
Chelsea fans, hongereni sana!..Japo niliumia kweli kufungwa na nyie..mmh! but Man always for life na juuu!!!
Can't wait for the Arsenal game maana hizi ndizo timu bora kwa sasa!