AljuniorTz
JF-Expert Member
- Jan 6, 2009
- 544
- 19
Na Owen je? Wala sioni ambako Man U wanapwaya, wako fit!
Half time anyway, Chelsea 0 - 0 Man U
Pamoja na kuwa fiti lazima tuwamege, hawatoki salama hapo darajani 😀
Na Owen je? Wala sioni ambako Man U wanapwaya, wako fit!
Half time anyway, Chelsea 0 - 0 Man U
umejaribu hizi web atdhe.net,hostream.net,livefooty.doctor-serv.com,iraqgoals.net?Wakuu,
Ninaweza kuicheki hii game online? Kupitia mtandao gani? For free though!
Asante!
huyu lera ole wake mech ya leo achezeshe dk 98
mkuu mbona unaogopa bila wasi wasi game hipo open hio mkituliza akili tu.nafasi zimeonekana sema timu zote wameshindwa kutuliza akili na kuzitumia.game hipo wide open.Alafu Chelsea wamekamilika noma tupu, yani hiyo listi yenu ya mauaji
Kipindi cha kwanza kimekatika bado hakuna aliyemuona mwenzake. Wadau vp kipindi hiki cha kwanza mmekionaje?
Usisahau, dakika za nyongeza ni za timu zote 2
HahahahaInvisible harudi tena mpaka mechi iishe.
huyu lera ole wake mech ya leo achezeshe dk 98
Hahahaha
Hapana, kuna Breaking News nilikuwa naweka mkuu... Hotel mbili zimeungua leo, si mchezo
Yeah Mojawapo mkuu wangu.Maisha Club nayo ni mojawapo?