Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kipindi cha kwanza kimekatika bado hakuna aliyemuona mwenzake. Wadau vp kipindi hiki cha kwanza mmekionaje?
 
Alafu Chelsea wamekamilika noma tupu, yani hiyo listi yenu ya mauaji
mkuu mbona unaogopa bila wasi wasi game hipo open hio mkituliza akili tu.nafasi zimeonekana sema timu zote wameshindwa kutuliza akili na kuzitumia.game hipo wide open.
 
Kipindi cha kwanza kimekatika bado hakuna aliyemuona mwenzake. Wadau vp kipindi hiki cha kwanza mmekionaje?

The home side probably had the better of the first 45 minutes without ever dominating against the current Premier League champions.
 
michaelcarrick,michaelessien20091108_412x232.jpg
 
Duh,

Dakika hizi mbaya sana, Chelsea katika wakati mgumu kuliko maelezo 🙁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom