Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jose Mourinho aliweka rekodi kwa kuiwezesha Chelsea Fc kufikisha points nyingi kuliko timu yoyote mwaka 2005. tulifikisha pointi 95.

msimu huu kuna dalili kwamba huenda tukapita rekodi yetu..tutafika 100..humu ndani wapinzani watakimbia kabisa.:A S-eek:


Ni chelsea peke yake iliyongoza mechi nne na kuchukua kombe katika miaka kumi iliyopita...2005-2006 na 2009-2010
 
Mlivyovimba vichwa msisahau kutengeneza sababu mtakapoanza kuzichezea...!!

****
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Tukiacha mambo za adui muombee njaa....


Mnaonaje mkirudi kuangalia kwa kideo UCL kwa aibu ya karne ndani ya hatua ya makundi??
#Nobody gon trust this
#MarkMyWords
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Eden Hazard is close to agreeing a new contract that will make him the best-paid player in Chelsea's history
The Belgian playmaker is on the verge of settling fresh terms that will extend at his contract until at least 2019.

It has learned that Hazard has been offered a deal worth £200,000-a-week plus performance-related bonuses.

The new deal would make him the highest paid player in the club's history, above current top earner Cesc Fabregas, whose total package is believed to be worth £200,000-a-week.

Jose Mourinho sanctioned the improved deal after having a heart-to-heart with the 23-year-old at the end of last season.

Mourinho had been concerned about Hazard's willingness to work for the benefit of the team, particularly in light of comments from the player in which he criticised the team's reliance on his own creative powers.

It is understood that firm words were proferred from the manager but Mourinho was satisfied with Hazard's attitude and moved to ease fears the fan favourite could be tempted into a big-money transfer.

Hazard, whose current deal expires in 2017, subsequently opened contract talks with Chelsea in June after being persistently linked with a move to Paris Saint-Germain.

Speaking at the time, Hazard said: "I am staying at Chelsea 100 per cent. Of course in football you never know but I am under contract with Chelsea and want to stay there. It is only the beginning of talks right now so we have time."

The new deal for the No.10, who has started all four of Chelsea's matches this season, is expected to be tied up in the coming weeks.

Chelsea confirmed last week that Thibaut Courtois had agreed a new five-year contract
 
unaonaje kama January kwe dirisha dogo mkatuuzia Man U aje akutane na World classic players pale maana pale naona kama anafanya kazi kubwa sana ambayo muda si mrefu atachoka,na ukizingatia Chelsea huwa hawakumbuki mazuri uliyowafanyia (Refer:A.Cole,Essien,De Mateo etc).Maana sasa ndo anabeba team.


Huna hoja wewe zote hizo ni chuki zako tu kwa chelsea
 
1410786247827_wps_2_LONDON_ENGLAND_SEPTEMBER_.jpg




Eden Hazard is close to agreeing a new contract that will make him the best-paid player in Chelsea's history
The Belgian playmaker is on the verge of settling fresh terms that will extend at his contract until at least 2019.

It has learned that Hazard has been offered a deal worth £200,000-a-week plus performance-related bonuses.

The new deal would make him the highest paid player in the club's history, above current top earner Cesc Fabregas, whose total package is believed to be worth £200,000-a-week.

Jose Mourinho sanctioned the improved deal after having a heart-to-heart with the 23-year-old at the end of last season.

Mourinho had been concerned about Hazard's willingness to work for the benefit of the team, particularly in light of comments from the player in which he criticised the team's reliance on his own creative powers.

It is understood that firm words were proferred from the manager but Mourinho was satisfied with Hazard's attitude and moved to ease fears the fan favourite could be tempted into a big-money transfer.

Hazard, whose current deal expires in 2017, subsequently opened contract talks with Chelsea in June after being persistently linked with a move to Paris Saint-Germain.

Speaking at the time, Hazard said: "I am staying at Chelsea 100 per cent. Of course in football you never know but I am under contract with Chelsea and want to stay there. It is only the beginning of talks right now so we have time."

The new deal for the No.10, who has started all four of Chelsea's matches this season, is expected to be tied up in the coming weeks.

Chelsea confirmed last week that Thibaut Courtois had agreed a new five-year contract
 

Ukiachana na Diego Costa na Cesc Fabregas hii ni machine nyingine ambayo Inafanya kazi kubwa sana katika kupunguza mabeki......akitumia vizuri nguvu na kazi aliyonayo.

Mechi ya juzi na Swansea City, japo hakufunga wala ku-assist ila yeye ndo alitoa pass kwa ma-assister wa magoli yote..

Goal la kwanza: yeye ndo alitafuta kona ambayo Fabregas alipiga na Costa kufunga

Goal la pili: kulitokea one-two moja safi sana kati yake na Fabregas hivyo kumuwezesha Fabregas kum-assist Costa

Goal la tatu: Pia yeye ndo aliye mpa mpira Ramires na kumuwezesha Ramires Kum-assist Costa kufunga

Goal la nne: kwa kutumia mbio zake na akili zake alipunguza mabeki na kumpa Oscar pass ambapo Oscar aliitumia Kum-assist Remy kufunga.

#teamChelsea forever
 
PIA KUMBUKA - EDEN HAZARD NDIYE MCHEZAJI BORA WA MSIMU ULIOPITA.:flame:



Ukiachana na Diego Costa na Cesc Fabregas hii ni machine nyingine ambayo Inafanya kazi kubwa sana katika kupunguza mabeki......akitumia vizuri nguvu na kazi aliyonayo.

Mechi ya juzi na Swansea City, japo hakufunga wala ku-assist ila yeye ndo alitoa pass kwa ma-assister wa magoli yote..

Goal la kwanza: yeye ndo alitafuta kona ambayo Fabregas alipiga na Costa kufunga

Goal la pili: kulitokea one-two moja safi sana kati yake na Fabregas hivyo kumuwezesha Fabregas kum-assist Costa

Goal la tatu: Pia yeye ndo aliye mpa mpira Ramires na kumuwezesha Ramires Kum-assist Costa kufunga

Goal la nne: kwa kutumia mbio zake na akili zake alipunguza mabeki na kumpa Oscar pass ambapo Oscar aliitumia Kum-assist Remy kufunga.

#teamChelsea forever
 
10646877_1469834426615923_7910576983526983218_n.jpg


Ukitazama vizuri picha hii. IVANOVIC mwenyewe anashangaa hii mashine kiboko!!:A S-eek:

hili lilikuwa goli la kwanza: IKUMBUKWE PIA kwamba COSTA amefunga magoli yote ya kwanza ya CHELSEA kwenye mechi zote 4 za EPL.

kwenye EPL COSTA kafunga magoli 7.
kwneye PRE-SEASON MATCHES kafunga 4.

jumla ya magoli ya Costa tangu ajiunge CHELSEA = 11.

cc.Arsenal fans; mosdef, RRONDO, Mentor, Ntuzu..
 
10646877_1469834426615923_7910576983526983218_n.jpg


Ukitazama vizuri picha hii. IVANOVIC mwenyewe anashangaa hii mashine kiboko!!:A S-eek:

hili lilikuwa goli la kwanza: IKUMBUKWE PIA kwamba COSTA amefunga magoli yote ya kwanza ya CHELSEA kwenye mechi zote 4 za EPL.

kwenye EPL COSTA kafunga magoli 7.
kwneye PRE-SEASON MATCHES kafunga 4.

jumla ya magoli ya Costa tangu ajiunge CHELSEA = 11.

cc.Arsenal fans; mosdef, RRONDO, Mentor, Ntuzu..



Mkuu agosti 8 vitendo vinajieleza vyenyewe uwanjani
 
Last edited by a moderator:
10646877_1469834426615923_7910576983526983218_n.jpg


Ukitazama vizuri picha hii. IVANOVIC mwenyewe anashangaa hii mashine kiboko!!:A S-eek:

hili lilikuwa goli la kwanza: IKUMBUKWE PIA kwamba COSTA amefunga magoli yote ya kwanza ya CHELSEA kwenye mechi zote 4 za EPL.

kwenye EPL COSTA kafunga magoli 7.
kwneye PRE-SEASON MATCHES kafunga 4.

jumla ya magoli ya Costa tangu ajiunge CHELSEA = 11.

cc.Arsenal fans; mosdef, RRONDO, Mentor, Ntuzu..

hahahhahha eti ivanovic anashangaa jamaa atupia tu kama kumkoma nyani
 
Diego Costa will look to continue his blistering start to the season when Chelsea host Schalke in the Champions League on Wednesday.

The Brazil-born Spain international, who helped knock out Chelsea in the semi-finals on his way to last year's final with Atletico Madrid, has set the Premier League alight following his move to Stamford Bridge in July.

After four goals in his first three matches, Costa netted a hat-trick as Chelsea came from behind to beat Swansea City 4-2 on Saturday.

That impressive haul sees the 25-year-old already four goals clear of his closest challengers at the top of the English top-flight scoring charts, and Chelsea will want to see that form transfer to European competition.

Costa's start to life in west London has prompted some to draw comparisons with legendary Chelsea strikers such as Didier Drogba, but the imperious forward is keen to carve out his own distinct reputation.

"It is different for every striker who comes here," he said. "Every striker has their way of playing and their strengths and a different team behind them. That is very important.

"If you do not have the team behind you then you can't do things on your own. It all depends on the team. It could be because of that.

"I try to play in the best manner, and -hopefully things will continue like this. But there will be a moment when I cannot score - that is football."

Manager Jose Mourinho, whose side top the Premier League with maximum points from four fixtures, described Costa as a "risk and a doubt" for Wednesday's Group G opener, but conceded that had been the case for most of the season so far.

In contrast to Mourinho, Schalke coach Jens Keller finds himself under increasing pressure after failing to secure a win from their opening three Bundesliga matches.

Despite registering a draw against champions Bayern Munich in their second fixture, Schalke have lost at Hannover and Borussia Monchengladbach.

Injury-hit Schalke, who also crashed out of the DFB-Pokal at the hands of Dynamo Dresden, were 4-1 losers at Gladbach on Saturday in a performance Germany international Benedikt Howedes described as "catastrophic".

Keller was without the likes of Felipe Santana (adductors), Joel Matip (adductors) and Jan Kirchhoff (knee) in that defeat, while Julian Draxler and Max Meyer started on the bench.

Fabian Giefer (adductors), Sead Kolasinac (knee), Leon Goretzka (hamstring) and Jefferson Farfan (knee) are all long-term absentees.

Asked whether his side could welcome any players back to the starting XI for Wednesday, Keller claimed: "The question isn't who will be back in time for the next game, but rather will anyone else be ruled out for it."

Chelsea are monitoring the fitness of striker Didier Drogba after he missed the clash with Swansea due to an ankle injury.

These sides meet in the group stage for the second season in succession, with Chelsea having won both meetings 3-0 in the 2013/14 campaign.

Schalke may take some encouragement from the fact that the scorers of five of those goals - Fernando Torres (two), Samuel Eto'o (two) and Demba Ba - have since left Stamford Bridge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom