Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Who will be next? Naona Man City wamepoteana mwanzoni tu mwa msimu. Kombe letu safari hii tena itakuwa kwa record ya kutofungwa au kuwa na point nyingi zaidi...
The Blues Forever
Haya wakuu,wakati wenu huu wa kujitamba na mwaka huu mkikosa kombe sijui mtaleta kisingzio gani!!
Hlo sahau bingwa kutambulika mpk mwezi wa tano
 
Timu imekuwa nzuri ndio maana hata Tajiri mwenyewe kwenye mechi za Home amekuwepo uwanjani. Na anaona hela yake ikizaa matunda. Striker anastrike kweli. Next week anaweka record yakufunga 5 games in a row. Hadi sasa yeye ndo anaongoza kwa magoli mengi Ulaya.
Costa mnyamaaaaaaa.

Hata ilivyokuwa mbovu,alikuwa anakuja na anashuhudia vichapo!!! Kama kawa!!
 
Nilimwambia Mosdef tangu mapema kwamba hana timu..mechi 4 tu kashapoteza 2..sasa tukifika mechi 10 itakuwaje?

safari ngumu sana kwao..alaf kitu kingine ni kwamba wamesajili wachezaji wengi mno kwa mpigo...kama mafungu ya nyanya..:A S-eek:

kitawakuta kilichowapata Spurs last season..
 
1410630006937_Image_galleryImage_epa04399079_Chelsea_s_Loi.JPG
 
Naona zinakupeleka puta..

Vipi Man Utd wangekuwa wanakumbua mazuri wasingemtupa Evra; wasingemdharirisha Welbeck, wasingemtupa Moyes, wasingemtupa Berbatov, ..nyie endeleeni kufuga michezaji...

acha sisi tuendelee na maisha yetu tuliyozoea..

KARIBUNI JUMATANO TUANGALIE LIGI YA MABINGWA..NYIE HAMSHIRIKI MWAKA HUU..:A S-eek:



[COLOR=#ff0000 said:
GANJA ROLLER[/COLOR];10594805]unaonaje kama January kwe dirisha dogo mkatuuzia Man U aje akutane na World classic players pale maana pale naona kama anafanya kazi kubwa sana ambayo muda si mrefu atachoka,na ukizingatia Chelsea huwa hawakumbuki mazuri uliyowafanyia (Refer:A.Cole,Essien,De Mateo etc).Maana sasa ndo anabeba team.
 
MOURINHO is smiling
ABRAMOVIC is clapping
HAZARD is dribbling
FABREGAS is assisting
CURTOIS is saving
CAHILL is clearing
BLUES are rejoicing
VAN GAAL is crying
RYAN GIGGS is shivering
FALCAO is wondering
ROONEY is wishing
WENGER is describing
LEGENDS are predicting
CHELSEA is winning
UNITED FANS are talking
UNITED is leaving
We are blues...the best.....
 
Chelsea manager Jose Mourinho has dismissed any notion that his in-form side have been handed a straightforward Champions League group.

The 2011-12 winners start their European campaign with a home clash against Schalke on Wednesday, with Sporting Lisbon and Maribor the other two Group G teams.

And while Mourinho's men are undoubtedly the red-hot favourites to progress with ease in the Champions League, the 51-year-old has sounded a note of caution.-

"The group is more difficult than people think," he told reporters at a press conference on Saturday after extending the only remaining 100 per cent Premier League record.

"It's not because I'm Portuguese, but the Portuguese teams are always very difficult. The Portuguese league is not a strong league, but the three top teams are very strong.

"You go through Chelsea's history and you'll see when Chelsea play Benfica it was difficult, when Chelsea play Porto it was difficult, and when Chelsea play Sporting in a couple of weeks it will be difficult.

"The Germans are the Germans and Schalke improved a lot in relation to last season.

"So without speaking about Maribor because I haven't analysed them yet because they are the last team that we play against, our group is hard.

"We also have fixtures which are like a poison gift for us. Every time we play in the Champions League, the next match we play is against Man City, against Arsenal, against Man United and against Liverpool.

"So we have difficult weeks ahead of us."

Chelsea reached the Champions League semi-finals last term in Mourinho's first season back at Stamford Bridge, before being beaten 3-1 on aggregate by Atletico Madrid.
 
BINGWA ATAJULIKANA MWEZI WA 4. MARK MY WORDS!!

:flame:

Mark my words.bingwa atajulikana mwezi wa tano,


endeleeni kuomba..
sisi tumeshapewa na tumepata..:hail:

sisi pia tushapata na ligi tunaianza leo,anza kutuhesabia ushnd


nyie watu wazima hadi sasa pointi 2 tu?
mnachekesha sana nyie...:wacko:

nyie mmetuzidi mchezo mmoja so punguza fujo walau kidogo.ngoja tulingane michezo ndo useme tunapoint mbili
 
Mark my words.bingwa atajulikana mwezi wa tano,





sisi pia tushapata na ligi tunaianza leo,anza kutuhesabia ushnd




nyie mmetuzidi mchezo mmoja so punguza fujo walau kidogo.ngoja tulingane michezo ndo useme tunapoint mbili

we una roho ngumu sana! kha!", unaweza ukanywa sumu na usife .............

Grand PA
 
Nilimwambia Mosdef tangu mapema kwamba hana timu..mechi 4 tu kashapoteza 2..sasa tukifika mechi 10 itakuwaje?

safari ngumu sana kwao..alaf kitu kingine ni kwamba wamesajili wachezaji wengi mno kwa mpigo...kama mafungu ya nyanya..:A S-eek:

Hivi ni nani alimsifia sana Mamou Sacko kuwa ni beki mkali mwenye nguvu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom