Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

article-2757688-2167F36A00000578-192_636x382.jpg


MATAYARISHO YA KUWAKABILI WAJERUMANI SHALKE 04...


 
SALAMA?
AISEE UMEPOTEA SANA WEWE..msalimie BJ..mwambie atembelee hapa CHELSEA FC THREAD tuongelee mpira..:A S-eek:



Mkuu mi nipo mwana! Nilikamatika na kz sn mkuu mpk kuingia humu ikawa shida! Lkn kuanzia Leo na kuendelea niko na nafasi ya kutosha baada ya kuyapunguza majukumu!

Naona taratubu wameanza Kua kimya maana vitendo vinaonekana uwanjani!
 
mourinho--doing-everything-to-qualify.img.png


JOSE MOURINHO - LEO MCHANA KATIKA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI ...

amesema kwamba timu itafanya juu chini kufuzu katika hatua ya makundi...IKUMBUKWE KWAMBA
CHELSEA FC ndo timu pekee{kutoka Uingereza} kufika katika hatua ya ROBO FAINALI NA NUSU FAINALI YA CHAMPIONS LEAGUE.
 
mourinho--doing-everything-to-qualify.img.png


JOSE MOURINHO - LEO MCHANA KATIKA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI ...

amesema kwamba timu itafanya juu chini kufuzu katika hatua ya makundi...IKUMBUKWE KWAMBA
CHELSEA FC ndo timu pekee{kutoka Uingereza} kufika katika hatua ya ROBO FAINALI NA NUSU FAINALI YA CHAMPIONS LEAGUE.



Mkuu agosti 8 kuvuka kwenda atua nyingine hiyo ni lazima!

Natabiri mapema kabisa Kua Diego Costa atakua mfungaji bora wa EPL na UCL watake wasitake!
 
Last edited by a moderator:
mourinho--doing-everything-to-qualify.img.png


JOSE MOURINHO - LEO MCHANA KATIKA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI ...

amesema kwamba timu itafanya juu chini kufuzu katika hatua ya makundi...IKUMBUKWE KWAMBA
CHELSEA FC ndo timu pekee{kutoka Uingereza} kufika katika hatua ya ROBO FAINALI NA NUSU FAINALI YA CHAMPIONS LEAGUE.

whaaat??? liverpool won it 5 times....man utd three times,wewe unazungumzia robo na nusu fainali
 
REMEMBER:

CHELSEA FC THE ONLY TEAM FROM ENGLAND TO WIN ALL UEFA MAJOR COMPETITIONS:

1. CHAMPIONS LEAGUE.
2. UEFA EUROPA LEAGUE.
3. CUP WINNERS CUP.

NO ONE LIKE CHELSEA FC.:hail:



whaaat??? liverpool won it 5 times....man utd three times,wewe unazungumzia robo na nusu fainali
 
Jana jirani zetu wamepigwa na wale majogoo wa Anifield wameshinda kimtindo!

Leo tutawaonyesha kz ili wapate kujua Kua msimu huu tumedhamiria kuchukua makombe!

#KTBFFH

REMEMBER:

CHELSEA FC THE ONLY TEAM FROM ENGLAND TO WIN ALL UEFA MAJOR COMPETITIONS:

1. CHAMPIONS LEAGUE.
2. UEFA EUROPA LEAGUE.
3. CUP WINNERS CUP.

NO ONE LIKE CHELSEA FC.:hail:
 
1410925446251.jpg


CHELSEA FC vs SHALKE 04. Hapa ilikuwa Oktoba{mwezi wa 10} mwaka 2007..chini ya ukoch wa Avram Grant; Ten Cate na Steve Clarke.
 
1410925446251.jpg


CHELSEA FC vs SHALKE 04. Hapa ilikuwa Oktoba{mwezi wa 10} mwaka 2007..chini ya ukoch wa Avram Grant; Ten Cate na Steve Clarke.


Leo tunashida na kujiweka kileleni kwenye kundi letu!
 
nawaombeeni dua mbaya leo manaake ishakua kero humu kushinda mechi 4 za epl kama vile ndio tayari mshachukua ubingwa hakuna cha custard wala lizard leo mnalala
 

hamna kocha wa man utd anaetaka ku-win EUROPA CUP....watashinda kwa BAHATI MBAYA iwapo watatolewa kwenye makundi ya CL,hivyo hio europa cup no one bothers....dream ni CL which we've won 3 times,one of them BEATING YOU in UR BOSS' HOME COURT!!!!how sweet is that???!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom