Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
nawaombeeni dua mbaya leo manaake ishakua kero humu kushinda mechi 4 za epl kama vile ndio tayari mshachukua ubingwa hakuna cha custard wala lizard leo mnalala
Chelsea fc ndio timu imara kwa England mtake msitake!
Angalieni matokeo ya Jana ya CL kwa timu za EPL Alafu uje uringanishe na ya Leo uone kz!
Mtasema sn Lkn ukweli utabaki pale pale!