Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

mkuu umemsahau huyu drogba wa ivory coast
kwanza nikukumbushe jambo moja..miaka ile ya tisini na 2000 mwanzoni; CHELSEA FC ilikuwa inasifika sana kwa kuwa na wachezaji wa mataifa mbalimbali hata kabla ya ROMAN ERA ..

mfano:
Frank Leboeuf - Ufaransa.
George Weah - Liberia.
Babayaro - Nigeria
Franco Zola - Italia
Andre Flo - Norway
Guy Poyet - Uruguay
Dennis Wise - Uingereza
na wengine wengi..wa mataifa na rangi mbalimbali..
 
10628532_814369501955300_2103996324294238666_n.jpg
 
mkuu umemsahau huyu drogba wa ivory coast

Dada ladyfurahia nashukuru sana kukuta humu tena, kama nilivyomwambia Shemeji Khantwe, Chelsea ndio chaguo lenu sahihi kabisa

Hebu angali Chelsea inavyothamini wanawake, huyo hapo chini ni Daktari wa The Blues anaitwa EVA CARNEIRO,
CHELSEA
ndio timu pekee yenye Daktari Mwanamama waandishi wa habari wanapenda kumwandika hivi

Chelsea's lovely female doctor

You couldn't help but notice that a rather attractive, pouty, olive-skinned beauty keeps on cropping up on Chelsea's bench.

Her name is Eva Carneiro.


She is Chelsea's first team doctor. Sports medicine specialist, previously worked at the British Olympic Medical Institute and with England Women's Football and UK Athletics. Joined Chelsea in February 2009.











 
Last edited by a moderator:
jamani naomba nitajiwe timu ambazo zilimfunga chelsea msimu ulio pita
 
Ni kweli kabisa hiyo ni idara nyeti..nitakupa historia fupi kwa nini huyu jamaa kapata posti hiyo..
lakini kumbuka kwamba huyu jamaa hafurukuti kwa Jose Mourinho ..ni tofauti na nguvu aliyokuwa nayo yule Myahudi Grant.


sawa ila kwa ishu ya sporting director ni nyeti yani kwa lugha nyingne ni boss wa mou
 
MICHAEL EMENALO - TECHNICAL DIRECTOR{MKURUGENZI WA UFUNDI}

*huyu jamaa alicheza timu ya Israel inaitwa Maccabi Tel Aviv 1998-2000{akiwa hapa alifundishwa na Avram Grant}

OK.
Mwaka 2007, Avram Grant alipewa kazi kama kocha wa Chelsea..baada ya muda akamwita Michael Emenalo. Huyu Emenala akawa anafanya kazi ya uskauti{Chief Scout}.

Mwaka 2010, tarehe 18 mwezi wa 11; Michael Emenalo akapandishwa cheo na kuwa mmoja wapo ya makocha wasaidizi wa Chelsea Fc.

Mwaka 2011, tarehe 8 mwezi wa 7; Chelsea Fc ilitangaza ramsi kumpatia kazi ya Technical Director{mkurugenzi wa ufundi} huyu bwana Emenalo.

*Hata hivyo tarehe 10 mwezi 6, mwaka jana{2013} aliposikia kwamba JOSE MOURINHO anarudi aliamua kuandika maombi rasmi ya kung'atuka kwenye cheo ili kurahisisha kurejea kwa Jose Mourinho...{ikumbukwe kwamba Emenalo ni rafiki ya Grant}

Hata hivyo mmiliki na viongozi wengine wa bodi walikataa..ndo maana hadi sasa unamwona yupo kwenye cheo chake cha Technical Director.

*pia huyu Emenalo ni 'rafiki' ya tajiri..


But kama nilivyosema huyu jamaa anamheshimu sana Mourinho; soma maneno yake mwenyewe:

"[Mourinho] is a very good decision maker and a trusted component in the decision-making process due to what he has achieved here. He came in with clear ideas of what he wanted to do, which were not dissimilar from what we were already in the process of doing, and that helped." - Michael Emenalo


Mwaka



alipataje huo mchongo coz kwa mtu mweusi tena wa Afrika ambaye hajachezea hapo huwa ngum sana kupata dili hilo halafu kwa tim caliber ya chelsea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom