Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

MICHAEL EMENALO - TECHNICAL DIRECTOR{MKURUGENZI WA UFUNDI}

*huyu jamaa alicheza timu ya Israel inaitwa Maccabi Tel Aviv 1998-2000{akiwa hapa alifundishwa na Avram Grant}

OK.
Mwaka 2007, Avram Grant alipewa kazi kama kocha wa Chelsea..baada ya muda akamwita Michael Emenalo. Huyu Emenala akawa anafanya kazi ya uskauti{Chief Scout}.

Mwaka 2010, tarehe 18 mwezi wa 11; Michael Emenalo akapandishwa cheo na kuwa mmoja wapo ya makocha wasaidizi wa Chelsea Fc.

Mwaka 2011, tarehe 8 mwezi wa 7; Chelsea Fc ilitangaza ramsi kumpatia kazi ya Technical Director{mkurugenzi wa ufundi} huyu bwana Emenalo.

*Hata hivyo tarehe 10 mwezi 6, mwaka jana{2013} aliposikia kwamba JOSE MOURINHO anarudi aliamua kuandika maombi rasmi ya kung'atuka kwenye cheo ili kurahisisha kurejea kwa Jose Mourinho...{ikumbukwe kwamba Emenalo ni rafiki ya Grant}

Hata hivyo mmiliki na viongozi wengine wa bodi walikataa..ndo maana hadi sasa unamwona yupo kwenye cheo chake cha Technical Director.

*pia huyu Emenalo ni 'rafiki' ya tajiri..


But kama nilivyosema huyu jamaa anamheshimu sana Mourinho; soma maneno yake mwenyewe:

"[Mourinho] is a very good decision maker and a trusted component in the decision-making process due to what he has achieved here. He came in with clear ideas of what he wanted to do, which were not dissimilar from what we were already in the process of doing, and that helped." - Michael Emenalo


Mwaka

hapo nimekusoma agost 8, kumbe jamaa alipata mchongo kwa conection ya mzee Grant. Nilitaka kushangaa cheo kikubwa kama hicho mwafrika akipate from nowhere.. Kumbe Grant alikua kocha kabla ya kuja darajani, sasa ikaweje tena UEFA walimpiga mkwara kwamba hana leseni ya ukocha? (kipindi alipochukua timu)
 
UEFA au FA?

hapo nimekusoma agost 8, kumbe jamaa alipata mchongo kwa conection ya mzee Grant. Nilitaka kushangaa cheo kikubwa kama hicho mwafrika akipate from nowhere.. Kumbe Grant alikua kocha kabla ya kuja darajani, sasa ikaweje tena UEFA walimpiga mkwara kwamba hana leseni ya ukocha? (kipindi alipochukua timu)
 
hapo nimekusoma agost 8, kumbe jamaa alipata mchongo kwa conection ya mzee Grant. Nilitaka kushangaa cheo kikubwa kama hicho mwafrika akipate from nowhere.. Kumbe Grant alikua kocha kabla ya kuja darajani, sasa ikaweje tena UEFA walimpiga mkwara kwamba hana leseni ya ukocha? (kipindi alipochukua timu)

Mkuu Rockcity native; kumbuka pia kwamba huyu bwana Avram Grant alipata shida ya kupata kibali cha kufanyia kazi nchini Uingereza alipopata kazi Portsmouth Fc na West Ham United...

Ni mambo ya kawaida ya kiutawala..hata CHELSEA FC ina mchezaji kijana mwenye uwezo tulimpeleke kwa mkopo mahala kwa sababu hangeweza kupata kibali cha kufanya kazi Uingereza; mchezaji mwenyewe anaitwa Wallace anatoka Brazil ni beki wa kulia..
 
Mkuu Rockcity native; kumbuka pia kwamba huyu bwana Avram Grant alipata shida ya kupata kibali cha kufanyia kazi nchini Uingereza alipopata kazi Portsmouth Fc na West Ham United...

Ni mambo ya kawaida ya kiutawala..hata CHELSEA FC ina mchezaji kijana mwenye uwezo tulimpeleke kwa mkopo mahala kwa sababu hangeweza kupata kibali cha kufanya kazi Uingereza; mchezaji mwenyewe anaitwa Wallace anatoka Brazil ni beki wa kulia..

mi nasemea leseni yake ya ukocha kipindi kile walikua wamemzingua kuwa hana qualification za ukocha, sasa hapo ndo najiuliza wakati yupo kwao israel mbona alikua kocha? May be labda kuna grade alikua hajafika kufundisha champions league na premier league
 
bila shaka....



mi nasemea leseni yake ya ukocha kipindi kile walikua wamemzingua kuwa hana qualification za ukocha, sasa hapo ndo najiuliza wakati yupo kwao israel mbona alikua kocha? May be labda kuna grade alikua hajafika kufundisha champions league na premier league
 
CHEO CHA TECHNICAL DIRECTOR{SPORTING DIRECTOR}...

Hiki ni cheo ambacho kimechangia CHELSEA FC kuwa na makocha wengi katika kipindi cha miaka 10 iliyopita:

Mfano; tumekuwa na makocha wafuatao:
Jose Mourinho
Avram Grant
Guus Hiddink
Scolari
Carlo Ancelotti
AVB
Roberto Di Matteo
Rafa Benitez{interim}
Jose Mourinho-part 2


KWA NINI HAWA 'TECHNICAL DIRECTORS' NI CHANZO CHA UTATA?

Mfano 1. Avram Grant hakupenda mbinu za Mourinho; alaf kuna wachezaji ambao huyu Technical Director+ Owner {Roman} walikuwa wanamtaka Mourinho awatumie; lakini kocha hakuwahitaji{Mourinho aliona kama wanampangia kikosi}; mfano kusajiliwa kwa beki Alex Costa kulichangia mtafaruku. Na pia ile ishu ya Andry Shevchenko ilichangia sana..Jose Mourinho alimwamini Drogba..hawa watu wakamletea Shevchenko..basi ndo ikawa hakuna 'amani'...

Mfano 2; Mbali na Technical Director kunakuwa na mtu mwingine ambaye ana nguvu kuliko hata Technical director ambaye ukiwa kocha lazima uishi naye vizuri..mtu huyu anaitwa CEO..

Kwenye timu kama Chelsea..watu watatu wenye nguvu ukimtoa kocha mkuu wa timu; ni Roman Abramovich, alaf kuna CEO{ambaye kwa sasa ni Ron Gourlay aliajiriwa mwaka 2007, baada ya 'fundi' Peter Kenyon kuondoka}..alaf baada ya hapo ndo unakutana na Emenalo..

Emenalo ni kiungo kati ya Timu na Klabu..yaani kiungo kati ya timu ya mpira na uongozi wa juu...

Sasa kama huelewani na Emenalo na CEO..ujue huna kazi..
Ndo maana Mourinho mjanja sana..

alipokuja kawakuta Torres, Ba, Lukaku wachezaji ambao hakuwasajili yeye..hasa huyu Torres ambaye CHELSEA FC ilitumia hela nyingi sana kumsajili..tena kwa utashi wa tajiri..

Sasa Mourinho akaacha kila mtu ameona kwamba huyu jamaa hawezi tena kurudia makali yake ya zamani..sasa anapoomba kumpeleka kwa mkopo Milan{ na hatimaye kuachana naye} ujue ana baraka zote za uongozi wa juu; yaani akina Emenalo na CEO Roy Gourlay wanakubali..

sasa Roman si shida kwake kukubali..anategemea sana akili ya hawa mabwana wawili niliowasema:

Ron Gourlay amekuwa ndani ya Chelsea fc kwa vyeo mbalimbali tangu 2004.
Michael Emenalo kaja 2007...

unaona???:wacko:
 
Naenda kupumzika wakuu; nawatakieni jioni njema na usiku mwema..kesho pia ni siku...:sleepy:

cc: Mentor, Ntuzu, Rockcity native,viol, kunguru mjanja, Mourinho, andybird314, Khantwe, Ladyfurahia, Kituko na fans wote wa Chelsea Fc na hata majirani zetu..:grouphug:
 
Naenda kupumzika wakuu; nawatakieni jioni njema na usiku mwema..kesho pia ni siku...:sleepy:

cc: Mentor, Ntuzu, Rockcity native,viol, kunguru mjanja, Mourinho, andybird314, Khantwe, Ladyfurahia, Kituko na fans wote wa Chelsea Fc na hata majirani zetu..:grouphug:



Mkuu agosti 8 asante sn mkuu kwa kz nzuri hakika jukwaa linapendeza.

Na kwako pia mkuu usiku mwema.
 
Last edited by a moderator:
1410264900387_wps_1_Chelsea_FC_chelseafc_52m_.jpg


LOIC REMY - akijifua jana hiyo...sasa kazi imeanza.
 
wao wakifunga magoli 4 sisi tutafunga 8, wakifunga 2 sisi tutafunga 4, wakifunga 3 sisi tutafunga 6..hatutaki mazoea na hizi timu za wapinzani wetu hata kidogo...

msalime Mr...kwani yuko wapi leo?

Mi yangu macho....na mkichapwa huyu ndugu yako anaingia jikoni. Zimefika shem.....yupo job atakuwa ametingwa
 
asante...

hii JF imetufanya kuwa ndugu ..hasa hapa CHELSEA FC..huyu mdogo wake Ntuzu; anaitwa Mentor sijui yuko wapi leo..:wacko:

Mi yangu macho....na mkichapwa huyu ndugu yako anaingia jikoni. Zimefika shem.....yupo job atakuwa ametingwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom