Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

article-2286467-00E8E6D51000044C-818_634x451.jpg


CLAUDIO RANIERI
 
Chelsea+Training+Press+Conference+4C5WFV0OblIl.jpg


kina nani hawa?

cc: Mentor, Kunguru Mjanja, Ntuzu, Mourinho, viol, Kituko, FUSO, andybird314, all fans...



huyo kushoto ni lile yahudi lilikuwa nafasi aliyonayo sasa Michael Emanalo alipotaka Mourinho akachukua mikoba baada akaenda sijui westHam/Newcastle....wa kulia simjui
 
Shemeji unafika hadi huku!???

Anakuja Kuchunga mali zake, maana kuna ushauri ulitolewa somewhere kuwa lazima hata kama hupendi soka basi jifunze kwa faida ya kumtunza mwenza

Dada Khantwe, hujapotea njia Kabisa kuja Chelsea, ni timu pekee ya Wastaarabu na waelewa,

CC: Ntuzu
 
Last edited by a moderator:
Anakuja Kuchunga mali zake, maana kuna ushauri ulitolewa somewhere kuwa lazima hata kama hupendi soka basi jifunze kwa faida ya kumtunza mwenza

Dada Khantwe, hujapotea njia Kabisa kuja Chelsea, ni timu pekee ya Wastaarabu na waelewa,

CC: Ntuzu

Hahahah asante sana....my Ntuzu ni symbol tosha kuonyesha kwamba timu hii ya wastaarabu
 
Last edited by a moderator:
Chelsea+Training+Press+Conference+4C5WFV0OblIl.jpg


kina nani hawa?

cc: Mentor, Kunguru Mjanja, Ntuzu, Mourinho, viol, Kituko, FUSO, andybird314, all fans...





Huyu mzee Grant alitupeleka Moscow kwa fainal ya UCL na Man Utd na tukakosa kombe kwa John Terry kukosa Penalty ya mwisho ktk zile 5 na ya ushindi.

Chelsea we have come long way to be the first team in London to win the Ucl cup.

Viva chelsea. Viva chelsea fans.
 
Huyu mzee Grant alitupeleka Moscow kwa fainal ya UCL na Man Utd na tukakosa kombe kwa John Terry kukosa Penalty ya mwisho ktk zile 5 na ya ushindi.

Chelsea we have come long way to be the first team in London to win the Ucl cup.

Viva chelsea. Viva chelsea fans.

Grant alikua msimamizi tu wa mazoezi, mwalimu na brains za hiyo team alikua huyo mholanzi Henk Ten
 
Huyu mzee Grant alitupeleka Moscow kwa fainal ya UCL na Man Utd na tukakosa kombe kwa John Terry kukosa Penalty ya mwisho ktk zile 5 na ya ushindi.

Chelsea we have come long way to be the first team in London to win the Ucl cup.

Viva chelsea. Viva chelsea fans.

hamkamiliki bila kutaja chama kubwa!!!!!!!!!!!!
 
DOWN MEMORY LANE:

5532178196_b2db029533_b.jpg


13 May 1998: Chelsea players hold the trophy aloft after the European Cup Winners Cup final against VfB Stuttgart at the Rasunda Stadium in Stockholm, Sweden. Chelsea won the match 1-0


Hapo kuna Frank Leboeuf, Dan Patrescu, Dennis Wise (Captain), Gustavo (Gus) Poyet, Roberto di Mateo, Gianluca Vialli (Kocha Mchezaji), Tore andre Flo, Michael Duberry, Giafranco Zola

Hicho ndicho Kikosi cha Chelsea kilichotoa makocha wengi kwenye ligi ya Uingereza, machoka hao ni
Roberto di Mateo, Giafranco Zola, Gustavo Poyet, Steve Clarke, Mark Huges (hiyo mechi Hakucheza), Gianluca Vialli
 
article-2278552-17937844000005DC-612_634x441.jpg


Ni waachezaji waliocheza katika vipindi tofauti Chelsea, Lakini wanafanana sana (KISURA), Kushoto ni Nathan Ake mabaye bado ni mchezaji wa Chelsea na Kulia ni Mtaalumu mwenyewe Ruud Gullit

Gullit alijiunga na Chelsea 1995 chini ya Kocha Glen Hoddle, 1996 Glenn Hoddle akaitwa kuifundisha England na Gullit akachukua Mikoba ya kuwa kocha mchezaji, Chini yake timu ilichukua Kombe la FA 1997, hilo kombe lilikuwa ni baada ya miaka 26 ya ukame wa kikombe pale Darajani
Alitoka Chelsea baada ya kutoelewana na Uongozi na nafasi yake ilichukliwa na Gianluca Vialli ambaye Gullit ndio alimleta pale Darajani na Vialli nae akawa Kocha -Mchezaji

RECORD KUBWA ALIYOACHA GULLIT PALE ENGLAND NI KUWA ALIKUWA MENEJA/KOCHA WA KWANZA AMBAYE SIO MWINGEREZA KUCHUKUA KOMBE KUBWA NDANI YA ENGLAND
 
kwanza nikukumbushe jambo moja..miaka ile ya tisini na 2000 mwanzoni; CHELSEA FC ilikuwa inasifika sana kwa kuwa na wachezaji wa mataifa mbalimbali hata kabla ya ROMAN ERA ..

mfano:
Frank Leboeuf - Ufaransa.
George Weah - Liberia.
Babayaro - Nigeria
Franco Zola - Italia
Andre Flo - Norway
Guy Poyet - Uruguay
Dennis Wise - Uingereza
na wengine wengi..wa mataifa na rangi mbalimbali..


alipataje huo mchongo coz kwa mtu mweusi tena wa Afrika ambaye hajachezea hapo huwa ngum sana kupata dili hilo halafu kwa tim caliber ya chelsea
 
kwanza nikukumbushe jambo moja..miaka ile ya tisini na 2000 mwanzoni; CHELSEA FC ilikuwa inasifika sana kwa kuwa na wachezaji wa mataifa mbalimbali hata kabla ya ROMAN ERA ..

mfano:
Frank Leboeuf - Ufaransa.
George Weah - Liberia.
Babayaro - Nigeria
Franco Zola - Italia
Andre Flo - Norway
Guy Poyet - Uruguay
Dennis Wise - Uingereza
na wengine wengi..wa mataifa na rangi mbalimbali..

sawa ila kwa ishu ya sporting director ni nyeti yani kwa lugha nyingne ni boss wa mou
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom