Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,047
- 3,978
- Thread starter
- #18,081
asante...
hii JF imetufanya kuwa ndugu ..hasa hapa CHELSEA FC..huyu mdogo wake Ntuzu; anaitwa Mentor sijui yuko wapi leo..:wacko:
kivipi?
Hahahaa mnaweza mkachapwa ninyi sasa....mume wangu mzima wa afya kabisa
nini kimetokea kwa Gael Kakuta toka tulipo msign kwa utata Lens mwaka 2007...nimemwona mara moja tu akicheza champions league..ila hajacheza kwenye seniour team like four years kuna future kweli in chelsea ? Na Josh mccharen nilitamani kweli acheze timu ya wakubwaila To ancelloti aondoke sidhani kama anahitajika tena chelsea Cc agosti 8
Kijana wetu mpya Loic Remy ameanza mazoezi jana na team yake mpya ya Chelsea