RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,856
- 129,795
Last edited by a moderator:
Mbona Benitez aliwahi kuisema Chelsea fc vibaya na akaja kupata kz darajani. Yaliyomkuta kwa mashabiki wa chelsea wote tunayajua. Sembuse mshabiki km agosti 8 kusema hivyo mkuu? Mimi mwenyewe siwapendi kabisa Man Urojo LFC na Fc Barc na yote haya ni kutokana na wao kubebwa kutufanyia fitina za wazi kabisa wakati mwingine ilimradi washinde tu.
Ni haki yako, lakini mie zikiisha dk.90 basi chuki na jazba nazo zinaisha labla kuwe na kituko cha aina yake, hata hivyo baada ya muda yatapita tu
Me napenda sana soccer a.k.a the beautiful game, ni vigumu sana kuichukia team inayocheza soka, chuki zinaweza kuwa za muda lakini si za kudumu na sijaweza bado kusema hadharani kuwa naichukia sana team fulani, hata Simba yenyewe siichukii, sembuse hizo za wakoloni
Yaani Man U msimu huu wakijitahidi sana sana wataishia namba 5...!
Otherwise namba saba yao ipo pale pale nyuma ya:
1.Liverpool
2.Chelsea
3.Man City
4.Tottenham
5.Arsenal
6.Everton
hayo mapambo ya harusi yatafanyika wapi? maana naona umeseme 'location' yako ni mbinguni..ha haaha haha ha haah mwaka huu kazi ipo jamani.
karibu lakini ladyfurahia
natumaini mkuu Ntuzu atakupa utambulisho wa humu nyumbani...ntuzu eeh?? ntuzu eeh?? njoo utoe utambulisho..maana hilo ndo jukumu lako 'maalum'.:spit:
Yani wewe umenichefua sehemu moja tu.
Nu yuma ya
1 Chesea Fc
2 Man City
1 Arsenal
4 Liverpool
5 Man Utd
Utachefuka sana msimu huu...coz mpangilio ndo huo.
mpira dk 90 mkuu
mkuu uzalendo wako utakuwa wapi hasa?inaonyesha timu yako ikifungwa basi wewe utawashabikia wale wengine kwa mchezo wao mzuri,ushabiki wa hivo hauonyshi msimamo wako sana sana utaonyesha we ni kama bendera fuata upepo kama Ngongo ambaye aliikana arsenal na kuikimbilia Man u wakati iking'ara.Ni haki yako, lakini mie zikiisha dk.90 basi chuki na jazba nazo zinaisha labla kuwe na kituko cha aina yake, hata hivyo baada ya muda yatapita tu
Me napenda sana soccer a.k.a the beautiful game, ni vigumu sana kuichukia team inayocheza soka, chuki zinaweza kuwa za muda lakini si za kudumu na sijaweza bado kusema hadharani kuwa naichukia sana team fulani, hata Simba yenyewe siichukii, sembuse hizo za wakoloni
mkuu uzalendo wako utakuwa wapi hasa?inaonyesha timu yako ikifungwa basi wewe utawashabikia wale wengine kwa mchezo wao mzuri,ushabiki wa hivo hauonyshi msimamo wako sana sana utaonyesha we ni kama bendera fuata upepo kama Ngongo ambaye aliikana arsenal na kuikimbilia Man u wakati iking'ara.
Kwa hiyo beki yako nakupiga hapo hapo kwako then nakutumia vocha ya buku kukusanifu tu!
Sijaona hapo wa kumzuia mnyama Balo akiruka juu!Kama akina Naismith wali win mipira yote ya juu hadi Eto'o utamzuia vipi Balo sasa?
Costa kwa the animalea Sakho hapigi hata moja dakika 90!Hesabu maumivu
Yani wewe umenichefua sehemu moja tu.
Nu yuma ya
1 Chesea Fc
2 Man City
1 Arsenal
4 Liverpool
5 Man Utd