Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sasa mbona SAF alisema "We invest in young players. We concentrate on what we can do to try to bring players in for right reason."
Unafikiri alimaanisha yeye au alimaanisha hiyo ni sera ya MANCHESTER UNITED? Sasa mdau anauliza mbona mmebadili 'utamaduni' wenu.

sasa mnaanza kununua kwa fujo bila hesabu wala 'reason'? maana idara ya ulinzi ya Man Utd ni mbovu sana. aisee.

nimesema hivi zama za sir fergie zimepita....sasa ni zama za LVG, hata hivyo watoto wapo kuna akina michael keane,blackett wanacheza,lakini lazima timu iwe strong huku unakuza watoto hata fergie aliwahi kukiri kuwa sasa hivi ni tofauti na waklati wa 'class of 92'...huwezi kupata group kama ile kwenye academy moja,fergie alimnunua rio ferdinand bei mbaya tu,alimnunua veron etc hio ipo tu.

alichofanya van gaal ni kama emergency surgery inabidi uifanye la sivyo unaweza kumpoteza mgonjwa! hamna jipya milioni 160 tu mnapiga kelele,tumeingiza m700 juzi tu kwenye shati wacha watumie....tutaheshimiana mwaka huu!!!!
 
sasa wewe ni juve mbona ukatumia 'username' ya Mourinho?

User name za humu JF si fake Mkuu? Huoni kuna mtu anaitwa Mwekundu lakini ni shabiki nguli wa Yanga?
Anyway siku najiunga na JF majina mawili yaliyokua priority yalikua tayari na watu (including my surname), jina langu la kwanza ni Joseph so toka Jose Mourinho aibukie katika ulimwengu wa soccer washkaji zangu wamekua wakiniita Jose Mourinho lakini pia pamoja na kuwa JM hajawahi kufundisha Juventus, personally namkubali sana JM, kujiamini kwake, vituko na vijembe vyake, mafanikio yake ukichukulia na alipoanzia mpaka alipo ni kitu kinachotia hamasa. Bila shaka nimekujibu
 
nimesema hivi zama za sir fergie zimepita....sasa ni zama za LVG, hata hivyo watoto wapo kuna akina michael keane,blackett wanacheza,lakini lazima timu iwe strong huku unakuza watoto hata fergie aliwahi kukiri kuwa sasa hivi ni tofauti na waklati wa 'class of 92'...huwezi kupata group kama ile kwenye academy moja,fergie alimnunua rio ferdinand bei mbaya tu,alimnunua veron etc hio ipo tu.

alichofanya van gaal ni kama emergency surgery inabidi uifanye la sivyo unaweza kumpoteza mgonjwa! hamna jipya milioni 160 tu mnapiga kelele,tumeingiza m700 juzi tu kwenye shati wacha watumie....tutaheshimiana mwaka huu!!!!



Hicho cha kutufanya tuwaheshimu nyie kitatoka wapi? Au kwa yule mkwewe teja la kubuya unga Maradona? Au au kwa ujio wa Farao? Au kwa beki Urojo? Hebu niambie ni kipi hasa?

Tatizi bado hamjalijua. Tatizo liko kwa Kocha wenu Van basi. Bado mnakipindi cha mpito sn tu. Km mtajikomboa msimu huu tena kwa fitina kubwa km za Babu Fergie mtaingia top four lkn vinginevyo no 7 yenu.
 
NI KWELI KABISA SAF KAONDOKA NA MAREFA WAKE.. HA HA HAH AHA HA
howard-web-vidic-manutd.jpg




nimesema hivi zama za sir fergie zimepita....sasa ni zama za LVG, hata hivyo watoto wapo kuna akina michael keane,blackett wanacheza,lakini lazima timu iwe strong huku unakuza watoto hata fergie aliwahi kukiri kuwa sasa hivi ni tofauti na waklati wa 'class of 92'...huwezi kupata group kama ile kwenye academy moja,fergie alimnunua rio ferdinand bei mbaya tu,alimnunua veron etc hio ipo tu.

alichofanya van gaal ni kama emergency surgery inabidi uifanye la sivyo unaweza kumpoteza mgonjwa! hamna jipya milioni 160 tu mnapiga kelele,tumeingiza m700 juzi tu kwenye shati wacha watumie....tutaheshimiana mwaka huu!!!!
 
Nimekuelewa mkuu..


User name za humu JF si fake Mkuu? Huoni kuna mtu anaitwa Mwekundu lakini ni shabiki nguli wa Yanga?
Anyway siku najiunga na JF majina mawili yaliyokua priority yalikua tayari na watu (including my surname), jina langu la kwanza ni Joseph so toka Jose Mourinho aibukie katika ulimwengu wa soccer washkaji zangu wamekua wakiniita Jose Mourinho lakini pia pamoja na kuwa JM hajawahi kufundisha Juventus, personally namkubali sana JM, kujiamini kwake, vituko na vijembe vyake, mafanikio yake ukichukulia na alipoanzia mpaka alipo ni kitu kinachotia hamasa. Bila shaka nimekujibu
 
Hicho cha kutufanya tuwaheshimu nyie kitatoka wapi? Au kwa yule mkwewe teja la kubuya unga Maradona? Au au kwa ujio wa Farao? Au kwa beki Urojo? Hebu niambie ni kipi hasa?

Tatizi bado hamjalijua. Tatizo liko kwa Kocha wenu Van basi. Bado mnakipindi cha mpito sn tu. Km mtajikomboa msimu huu tena kwa fitina kubwa km za Babu Fergie mtaingia top four lkn vinginevyo no 7 yenu.

wewe subiri tu tutaheshimiana tuu... hapa maneno tu subiri tukutane uwanjani.
 
Kweli kabisa mkuu RRONDO enzi hizo wachezaji wa MAN UTD walikuwa na uwezo wa kumtukana mtu au kumfanya lolote na refa hasemi kitu. cheki mambo ya enzi zenu..

cc.RRONDO.
_73615898_021559515-1.jpg



nimesema hivi zama za sir fergie zimepita....sasa ni zama za LVG, hata hivyo watoto wapo kuna akina michael keane,blackett wanacheza,lakini lazima timu iwe strong huku unakuza watoto hata fergie aliwahi kukiri kuwa sasa hivi ni tofauti na waklati wa 'class of 92'...huwezi kupata group kama ile kwenye academy moja,fergie alimnunua rio ferdinand bei mbaya tu,alimnunua veron etc hio ipo tu.

alichofanya van gaal ni kama emergency surgery inabidi uifanye la sivyo unaweza kumpoteza mgonjwa! hamna jipya milioni 160 tu mnapiga kelele,tumeingiza m700 juzi tu kwenye shati wacha watumie....tutaheshimiana mwaka huu!!!!
 
Kweli kabisa mkuu RRONDO enzi hizo wachezaji wa MAN UTD walikuwa na uwezo wa kumtukana mtu au kumfanya lolote na refa hasemi kitu. cheki mambo ya enzi zenu..

cc.RRONDO.
_73615898_021559515-1.jpg

Hizo ndio fitina kubwa ninazo zizungumzia! Sasa huyu Van Gaal anaweza?

hizi tushazizoea...tutaheshimiana tu....

Huna majibu unabaki kusema mmeshazoea haya. Huyu refa Webb ni mchezaji wa 12 wa Man Urojo uwanjani kwa kila game anayochezesha.
 
Nyie ubingwa mtausikia tu..hadi mtazeeka bila ubingwa. safi sana..
mtaishia hizo hizo namba zenu za 7 na 8..

nikikumbuka marefa walivyokuwa wanawabeba natamani muwe kwenye bottom 3 ya ligi..
yaani nakumbuka machungu..

cheki hii penati ya Torres refa akakataa, alaf akamtoa El Nino kwa kadi nyekundu. akakubali goli la offside la CHICHARITO..
akamwita Mikel nyani, ..na akampa kadi nyekundu..

NYIE MAN UROJO NYIE..TUTAKUTANA UWANJANI TUWAFUNGE HATA 10 KWA 3 SI MBAYA..NAWACHUKIA SANA.

torres291012.jpg



hizi tushazizoea...tutaheshimiana tu....
 
Kuna wakati nikiwaona MAN UROJO wanavyoteseka na mpira nawahurumia; lakini ninapokumbuka walivyokuwa wanabebwa na marefa na kuharibu mechi ..natamani tuwafanye kitu kibaya sana. tuwafunge magoli mengi mengi kama kuanzia 7 na kuendelea.:angry:



Hizo ndio fitina kubwa ninazo zizungumzia! Sasa huyu Van Gaal anaweza?



Huna majibu unabaki kusema mmeshazoea haya. Huyu refa Webb ni mchezaji wa 12 wa Man Urojo uwanjani kwa kila game anayochezesha.
 
hizo ndio fitina kubwa ninazo zizungumzia! Sasa huyu van gaal anaweza?



Huna majibu unabaki kusema mmeshazoea haya. Huyu refa webb ni mchezaji wa 12 wa man urojo uwanjani kwa kila game anayochezesha.

seriously unataka nijibu tuhuma za howard webb kuwa ni mpenzi wa man utd na anapendelea??!! Hizo naziacha kwenye vijiwe vya kahawa.....tutaheshimiana tu mwaka huu
 
Nyie ubingwa mtausikia tu..hadi mtazeeka bila ubingwa. safi sana..
mtaishia hizo hizo namba zenu za 7 na 8..

nikikumbuka marefa walivyokuwa wanawabeba natamani muwe kwenye bottom 3 ya ligi..
yaani nakumbuka machungu..

cheki hii penati ya Torres refa akakataa, alaf akamtoa El Nino kwa kadi nyekundu. akakubali goli la offside la CHICHARITO..
akamwita Mikel nyani, ..na akampa kadi nyekundu..

NYIE MAN UROJO NYIE..TUTAKUTANA UWANJANI TUWAFUNGE HATA 10 KWA 3 SI MBAYA..NAWACHUKIA SANA.

torres291012.jpg



Hahahaaaaa

Ni hatari.

Jose Mourinho aliwahi kusema hivi " Ili ushinde OT au upewe penalty dhidi ya Man Utd OT lazima wachezaji wako waingie uwanjani na visu.
 
Kuna wakati nikiwaona MAN UROJO wanavyoteseka na mpira nawahurumia; lakini ninapokumbuka walivyokuwa wanabebwa na marefa na kuharibu mechi ..natamani tuwafanye kitu kibaya sana. tuwafunge magoli mengi mengi kama kuanzia 7 na kuendelea.:angry:

sasa topic imebadilika.....kuwa tunabebwa tujadili ma-galacticos yetu jamani....falcao,di maria khe khe khe khe khe tutaheshimiana mwaka huu
 
Nyie ubingwa mtausikia tu..hadi mtazeeka bila ubingwa. safi sana..
mtaishia hizo hizo namba zenu za 7 na 8..

nikikumbuka marefa walivyokuwa wanawabeba natamani muwe kwenye bottom 3 ya ligi..
yaani nakumbuka machungu..

cheki hii penati ya Torres refa akakataa, alaf akamtoa El Nino kwa kadi nyekundu. akakubali goli la offside la CHICHARITO..
akamwita Mikel nyani, ..na akampa kadi nyekundu..

NYIE MAN UROJO NYIE..TUTAKUTANA UWANJANI TUWAFUNGE HATA 10 KWA 3 SI MBAYA..NAWACHUKIA SANA.

torres291012.jpg

Mkuu we shabiki gani wa soka unayetamka waziwazi tena kwa capital letters kuwa unaichukia sana Club ya soca, Man United? Tatizo nini?
 
Nyie ubingwa mtausikia tu..hadi mtazeeka bila ubingwa. safi sana..
mtaishia hizo hizo namba zenu za 7 na 8..

nikikumbuka marefa walivyokuwa wanawabeba natamani muwe kwenye bottom 3 ya ligi..
yaani nakumbuka machungu..

cheki hii penati ya Torres refa akakataa, alaf akamtoa El Nino kwa kadi nyekundu. akakubali goli la offside la CHICHARITO..
akamwita Mikel nyani, ..na akampa kadi nyekundu..

NYIE MAN UROJO NYIE..TUTAKUTANA UWANJANI TUWAFUNGE HATA 10 KWA 3 SI MBAYA..NAWACHUKIA SANA.

torres291012.jpg

huyo nae alikuwa WEBB??
 
Mkuu we shabiki gani wa soka unayetamka waziwazi tena kwa capital letters kuwa unaichukia sana Club ya soca, Man United? Tatizo nini?



Mbona Benitez aliwahi kuisema Chelsea fc vibaya na akaja kupata kz darajani. Yaliyomkuta kwa mashabiki wa chelsea wote tunayajua. Sembuse mshabiki km agosti 8 kusema hivyo mkuu? Mimi mwenyewe siwapendi kabisa Man Urojo LFC na Fc Barc na yote haya ni kutokana na wao kubebwa kutufanyia fitina za wazi kabisa wakati mwingine ilimradi washinde tu.
 
Last edited by a moderator:
seriously unataka nijibu tuhuma za howard webb kuwa ni mpenzi wa man utd na anapendelea??!! Hizo naziacha kwenye vijiwe vya kahawa.....tutaheshimiana tu mwaka huu

Hahahaaaa mtamkubuka sn Babu Alex

sasa topic imebadilika.....kuwa tunabebwa tujadili ma-galacticos yetu jamani....falcao,di maria khe khe khe khe khe tutaheshimiana mwaka huu

Mwenye kauhakika ka no ni Dimaria tu lkn huyo Falcao atakaa sn benchi

mi chichemi.


Lazima usiseme kitu.
 
mbona mm ni mtu wa siku nyingi sana humu jamani sema tu nilitaitiwa kimtindo ndo nsharudi na kuhusu mapambo @Agost 8 mm nafanya mambo ya upambaji, u-mc, keki, wedding planner hivyo usijali niPM TU KULE tutaelekezana
hapa tupaachie mambo ya sport yaafanyike ondoa shaka kwa hilo best
ladyfurahia karibu sn jamvini jukumu lako na wewe ni kumwaga picha mamito.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom