ha haha haha haha hahahahaha hahaha huyu wa kwanza kushoto 'atakufa' na yule wa mwisho kabisa mkono wa kulia atavunjika miguu.:A S-eek:
Kaka salama?
Mikataba hutofautina. Hata mikataba ya mkopo pia iko tofauti kutegemea na mchezaji na maelewano kati ya timu husika.
MFANO MPYA. kijana wetu Chalobah amepelekwa kwa mkopo akacheza Bunrley hadi mwezi wa kwanza mwakani..baada ya hapo atarudi CHELSEA FC.
lengo letu nini? tunamuandaa awe fiti kujiunga na wenzake kwa sababu tutakapohitaji kusajili..tunarudisha baadhi ya wachezaji wa mkopo.
Mchezaji Victor Moses ameenda kwa mkopo Stoke City atacheza kwa msimu 1 tu, alaf atarudi nyumbani Chelsea.
Mchezaji Christian Atsu 'winga' matata huyu ameenda Everton kwa mkopo pia, hataruhusiwa kucheza dhidi ya Chelsea. Ndo maana mechi iliyopita hakucheza.{kumbukeni hata mwaka jana Lukaku hakucheza vs Chelsea akiwa Everton} hii ilikuwa mara ya kwanza juzi baada ya kuuzwa kabisa.
Mchezaji wetu Fernando Torres amebakisha miaka 2 kwenye mkataba. sasa 'timu' ikatumia akili...imempeleka kwa mkopo Ac Milan acheze miaka 2, alaf ndo 'kwa heri'..hii inaitwa Akili ya Kazi.
CHELSEA FC FOREVER BLUE.
Kaka salama?
Mikataba hutofautina. Hata mikataba ya mkopo pia iko tofauti kutegemea na mchezaji na maelewano kati ya timu husika.
MFANO MPYA. kijana wetu Chalobah amepelekwa kwa mkopo akacheza Bunrley hadi mwezi wa kwanza mwakani..baada ya hapo atarudi CHELSEA FC.
lengo letu nini? tunamuandaa awe fiti kujiunga na wenzake kwa sababu tutakapohitaji kusajili..tunarudisha baadhi ya wachezaji wa mkopo.
Mchezaji Victor Moses ameenda kwa mkopo Stoke City atacheza kwa msimu 1 tu, alaf atarudi nyumbani Chelsea.
Mchezaji Christian Atsu 'winga' matata huyu ameenda Everton kwa mkopo pia, hataruhusiwa kucheza dhidi ya Chelsea. Ndo maana mechi iliyopita hakucheza.{kumbukeni hata mwaka jana Lukaku hakucheza vs Chelsea akiwa Everton} hii ilikuwa mara ya kwanza juzi baada ya kuuzwa kabisa.
Mchezaji wetu Fernando Torres amebakisha miaka 2 kwenye mkataba. sasa 'timu' ikatumia akili...imempeleka kwa mkopo Ac Milan acheze miaka 2, alaf ndo 'kwa heri'..hii inaitwa Akili ya Kazi.
CHELSEA FC FOREVER BLUE.
Kwa kumsajili Diego Costa na Fabregas, watani hapa mmelamba jembe. Salute!!
Cha msingi wasiumie tu.
Hongereni sana.
Hawa akina Sanchez na Falcao naona ni kama mapambo ya kichina
Chelsea ndo wababe wa epl
Hapo kwa torres mmechemka hampati hata thumni bora mngemuuza jumla tu!
angalia msimamo wa ligi..
:wacko: