Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Well said Ntuzu..
nitarudi..nakuachia kiti...:hungry:
Pamoja sn mkuu.
Well said Ntuzu..
nitarudi..nakuachia kiti...:hungry:
watashuka niamini..
kaama nilivyosema mapema kabla ya mechi ya Everton..
pointi 12 na Costa ataendelea kuongoza kwa ufungaji..:flame:
Nani anakumbuka hii mechi?
![]()
![]()
yap mkuu hujakosea,dk ya 6 Drogba alipiga shuti moja mbali kabisa na 18 kati ya mabeki kibao na hata kumshinda kipa na ndo likawa goli la ushindiMkuu naona km Zambrota ktk hii picha ya chini na Simba mzee hii ilikua ni Ac Milan na chelsea au nimekosea mkuu?
Nani anakumbuka hii mechi?
![]()
![]()
OLD IS GOLD
CHELSEA 4 - 2 BAYERN MUNICH. (2005)
hii haikuwa matokeo ya penati..
ni magoli tuliyowafunga Bayern Munich kwenye mechi ya CHAMPIONS LEAGUE..
Hapa kwenye picha unamwona Simba Mzee enzi hizo bado kijana kabisa akiwa na umri wa miaka 27 tu akipasua ngome ya Bayern.
Msimu wa kwanza Drogba alivaa # 15, lakini msimu wa pili akaomba apewe 11.{zamani alikuwa anavaa Damien Duff hii namba}
tunakumbushana tu.:glasses-nerdy: watu tumetoka mbali na hii timu jamani..oooh!!!
Kwa sasa ninachokiona mbali na premier league UEFA tutakimbiza sana![]()
franco zola # 25 akimfundisha mpira kijana Xavi Hernandez miaka 14 iliyopita.
katika mechi hii CHELSEA ilishinda 3-0..
mechi ya EVERTON haikuwa na weakness yoyote kwenye defense..yale ni matokeo ya kushambulia muda wote. ukishambulia maana yake unakuwa rahisi pia kushambuliwa.
msimu uliopita MAN CITY walishinda vs arsenal 6-3 na watu hawakuongea na hata sijui kama wewe pia ulilaumu jambo hilo.
naona watu wanaanza kuogopa CHELSEA hii ambayo inaweza kumfunga mtu magoli 6 nyumbani kwake. watu wanaogopa huyu Costa ambaye anafunga kila mechii. kwa sababu sidhani kwamba CHELSEA FC inahitaji kufundishwa kukaba wakati ndo jadi yetu.
Mechi ya Everton ilikuwa maalum na usidhani kwamba mechi zote itakuwa hivyo. kumbuka kwamba ni CHELSEA NA SWANSEA pekee yake ambazo zimecheza mechi 3 na kushinda zote 3. sasa kama ni lawama au kukosoa kama kweli lengo ni kuelimishana nadhani ungeanza na majirani zetu ambao wanasajili lakini bado pointi zao ni sawa na magoli ya IVANOVIC.{man urojo}
watu wa chelsea hapa wameridhika na hali ya sasa. acha kwanza tufurahie mafanikio..kama mechi zingine tena itakuwa hivi tutajadili.
Bestito kombe mbona letu, we an a kushangilia tu.
Kulikua na umuhimu wa kumchezesha Ramires ile juzi km pacha wa Matic kwasababu Ramires ni Box to box midfielder. Kwahiyo kuwepo kwake kulisaidia kupeleka mashambulizi mbele na kusaidia ulinzi nyuma. Kwahiyo mkuu kwa game ya juzi kulikua na umuhimu wa kufanya hivyo hasa kutokana na mfumo tuliocheza wa kushambulia.
Kama unakataa kwamba hamkua na weakness kwenye beki dhidi ya Everton basi unabishana hata na kocha wako ambaye hakufurahishwa na namna mlivyofungwa hasa goli la tatu ambalo kwa maneno ya JM anasema katikati ya week walitumia dk 90 kwenye mazoezi jinsi ya kudefend faulo na kona.
Man City ni Man City na Chelsea ni Chelsea, wengi tunajua kiasi gani JM anachukia kuruhusu magoli kizembe kama juzi ndio maana kuna hizo concerns, sio lawama wala uoga Mkuu.
Collect me if am wrong lakini Ramires hakucheza kama pacha wa Matic, alicheza pembeni (no.7) ingawa alikua anaibiaibia na katikati, no.6 alikua Matic na no.8 alikua Cesc, ndio maana baadae JM baada ya kuona beki haina ulinzi wa kutosha alimuingiza Mikel akacheze kuingo ya chini na Matic ili Cesc apande juu no.10 kuchukua nafasi ya Willian
hatubishani hata kidogo; mkuu kuna kitu kinaitwa 'mamlaka' ..kocha anaongea kutokana na mamlaka yake. yeye hataki wachezaji wake wawe wazembe. anataka wafanye kazi. anataka rekodi. anataka ubingwa. anataka mataji. anataka medali. kocha anataka afunike rekodi ya mwaka 2005, msimu huo mkuu tulifungwa magoli 15 tu, msimu mzima.
sasa mimi nazungumza kama 'mshabiki na mchambuzi wa mpira'..mimi naridhika na matokeo..tena kwa kulinganisha na timu yenyewe..kama tungepata matokeo hayo vs QPR baasi hapo kuna tatizo.
jambo la mwisho ni kwamba; Jose Mourinho anacheza na akili zenu, hizo kama kawaida yake ni 'mind games'..ukweli ni kwamba kocha ameridhika..hukuona anavyoshangilia kila tunapofunga goli??
CHELSEA FC iko sawa; hatuwezi kuikosoa kwa mechi moja, afadhali tuipongeze kwa mechi 3 zote ilizoshinda.
:A S-eek:
bora liwe kwetu kumbe na wewe ni chelsea hahahahhaaaaaaaaa
Na ukumbuke kuwa ligi ina mechi 38, hizi mechi 3 ni sawa na tone la maji baharini, mpunguze ngenga!