Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea Fc tuko na wacheza 26 nje ya timu yetu wakicheza kwa mkopo ktk timu mbali mbali na ligi mbali mbali.
mkuu Ntuzu agosti 8 and Grand PA.
sielewi hawa wachezaji wa mikopo huwa utaratibu wao upoje,je siku tunapokutana na timu wanazochezea nao wanacheza vs us?
halafu je mda wowote wakiitwa wanakuja au mkopo pia ni mkataba?
 
Last edited by a moderator:
kuichukia MAN UTD ni hiari mkuu..

ndo maana hata wewe 'with all respect' unaipenda JUVE ingawa imewahi kupewa adhabu ya kushushwa daraja kwa sababu ya kupanga matokeo.

for me to 'hate' man utd..is being honesty with myself..hata kuna mashabiki wa mpira lakini hawapendi Mourinho..i dont care.

it's a normal thing mkuu Joseph..nadhani tuko pamoja.

JIONI NJEMA WAKUU..cc. all fans.



Ni haki yako, lakini mie zikiisha dk.90 basi chuki na jazba nazo zinaisha labla kuwe na kituko cha aina yake, hata hivyo baada ya muda yatapita tu
Me napenda sana soccer a.k.a the beautiful game, ni vigumu sana kuichukia team inayocheza soka, chuki zinaweza kuwa za muda lakini si za kudumu na sijaweza bado kusema hadharani kuwa naichukia sana team fulani, hata Simba yenyewe siichukii, sembuse hizo za wakoloni
 
ntazungumza kesho...leo niko bize naenda kwenye harusi mahal fulani..cc. ntuzu.:hungry::hungry::hungry:

mkuu Ntuzu agosti 8 and Grand PA.
sielewi hawa wachezaji wa mikopo huwa utaratibu wao upoje,je siku tunapokutana na timu wanazochezea nao wanacheza vs us?
halafu je mda wowote wakiitwa wanakuja au mkopo pia ni mkataba?
 
mkuu Ntuzu agosti 8 and Grand PA.
sielewi hawa wachezaji wa mikopo huwa utaratibu wao upoje,je siku tunapokutana na timu wanazochezea nao wanacheza vs us?
halafu je mda wowote wakiitwa wanakuja au mkopo pia ni mkataba?

mkuu Viol kwema? mi nachojua hawaruhusiwi kucheza against us, hayo mengine 2msubirie agosti 8 akisharudi kupiga ubwabwa ............

Grand PA
 
Last edited by a moderator:
mkuu Viol kwema? mi nachojua hawaruhusiwi kucheza against us, hayo mengine 2msubirie agosti 8 akisharudi kupiga ubwabwa .......
Grand PA

hope mko poa! Kwa kifupi tu mchezaji anapotolewa kwa mkopo ni mkata na endapo timu hizo zkakutana itategemea na makubaliano baina ya club hzo wakat wa kufanya mkataba , japo mikata mingi ya mkopo inakua na kpengele knacho zui mchezaji kucheza against parent club. Pia timu iliyo mtoa mchezaji kwa mkopo haina haki ya kumtumia ktk kpindi chote cha mkopo.
 
Last edited by a moderator:
wakuu Cahill ameumia mechi ya engl na Norway .sasa ni nani atacheza number yake, nimechokaje.

Ameumia sana? Wapi? Wamesema atakuwa nje kwa muda gani?

Hata hivyo pengo lake linaweza kurudishiwa kwa kubadili tu Ivanovic acheze na Terry nyuma..kulia Azpilicueta na kushoto Felipe Luis. Hapo tunabaki na sub ya Zouma na Dogo mwingine mmoja nimemsahau jinale. Af pia kuna Ake Nathan.

Tuko vizuri mkuu....
 
international-call-ups--who-is-away.img.png



BAADA YA KUTOKA KUPIGA UBWABWA .......

jana kama kawaida ANDRE SCHURRLE alifunga goli ingawa Ujerumani ilifungwa 4-2 na argentina kwenye mechi ya kirafiki. "bonanza"
 
Ameumia sana? Wapi? Wamesema atakuwa nje kwa muda gani?

Hata hivyo pengo lake linaweza kurudishiwa kwa kubadili tu Ivanovic acheze na Terry nyuma..kulia Azpilicueta na kushoto Felipe Luis. Hapo tunabaki na sub ya Zouma na Dogo mwingine mmoja nimemsahau jinale. Af pia kuna Ake Nathan.

Tuko vizuri mkuu....



Chelsea fc ni timu ambayo iko na wachezaji wengi wa akiba wazuri.

Km Cahill kaumia hiyo so shida pengo lake litazibwa na Ivanovic km ulivyosema na hakutotokea tatizo lolote.
 
mkuu Ntuzu agosti 8 and Grand PA.
sielewi hawa wachezaji wa mikopo huwa utaratibu wao upoje,je siku tunapokutana na timu wanazochezea nao wanacheza vs us?
halafu je mda wowote wakiitwa wanakuja au mkopo pia ni mkataba?



Kuna kua na mikataba mbali mbali yenye masharti ktk makubaliano. Mara nyingi mchezaji alie nje ya timu yake kwa mkopo hawezi kucheza na dhidi ya timu yake halali. Na kunaweza kukawekwa kipengele ktk mkataba wa mkopo km ata cheza dhidi yao basi kuna fedha yaweza kulipwa ktk timu yake halali. Na pia mikata hua na muda, muda wa mkataba ukiisha basi mchezaji hurudi ktk timu yake mara moja.

Ni hayo tu kwa uchache
 
Last edited by a moderator:
By Harry Sherlock

Jose Mourinho repeatedly wrote off his "little horses" last season but did so safe in the knowledge that grand plans to reshape his squad were afoot.

Few clubs acted as swiftly or as decisively in the transfer market this summer, with Chelsea securing five of their six signings by the end of July.

Sales, too, were handled quickly, Mourinho ruthlessly culling a number of so-called 'key' players to ensure that the club ended the transfer window in the black.

The first crucial acquisition identified was that of Diego Costa, Mourinho long having decided that a strikeforce of Samuel Eto'o, Demba Ba and Fernando Torres was simply not good enough. Indeed, Torres and Ba scored just 10 goals between them in the Premier League last season, while Eto'o hit nine himself.

Unsurprisingly, Mourinho axed all three this summer - Torres joining AC Milan on loan, despite repeatedly airing his desire to remain at the club, Ba heading to Besiktas for around £4.5m and Eto'o signing for Everton.

Due to Mourinho's mistrust of his strikers, Costa was identified as a principal target early in 2014 and negotiations to bring the striker to Stamford Bridge from Atletico Madrid began in March. A protracted deal, talks continued throughout April before Chelsea closed a deal worth £35 million in May.

Ironically enough, the major breakthrough in negotiations came in the immediate aftermath of Chelsea's Champions League semi-final clash with Atletico Madrid, a match in which Costa scored to help Atleti to a 3-1 win and the final of Europe’s elite club competition.

Costa himself revealed to Goal his reasons for joining Chelsea before the official confirmation was made public, saying: "I've wanted to play in the Premier League for a while. Chelsea are one of the greatest clubs of the world so there are many factors that make you take a decision like this."

His move was officially completed on July 15, Costa agreeing to sign a contract worth £150,000 per week in west London. He has already scored four goals in three Premier League appearances.



Left-back Filipe Luis, another player lured from Atletico Madrid, this time as a result of Ashley Cole's departure, swiftly joined him at Stamford Bridge.

The latter was allowed to leave for Roma upon the expiration of his contract – the Italians beating off competition from Tottenham, Liverpool and Milan to land their man.

Another early deal, Chelsea entered into advanced negotiations with Atletico over the signing in June and wrapped up the deal less than a month later, Luis eventually signing just three days after Costa.

Yet perhaps the finest acquisition of the summer – and the most surprising – was that of Cesc Fabregas. Heavily linked with Arsenal – who chose not to activate a buy-back clause in their former captain's contract – Fabregas was also the subject of interest from Manchester City, Manuel Pellegrini's side tabling a bid around the same time as the Blues.

Yet a charm offensive saw Fabregas – who had been made available by Barcelona in May – opt for Stamford Bridge and he completed his £30m move in June.- There was one more stunning deal to come, with Mourinho not yet satisfied with his attack, and Didier Drogba completed an emotional homecoming soon after. Mourinho said that Chelsea "belonged" to Drogba after his deal was rubber-stamped and the Ivorian will provide support to Costa and fellow new signing Loic Remy for the remainder of the season. Another interesting case, Remy was first sounded out over a move when Drogba suffered an injury in pre-season training, only for him to recover ahead of time.

Yet Torres's departure to Milan saw the Blues reignite their interest and agree to pay his buyout clause to acquire him from QPR, with Remy the club's final addition of the summer transfer window following the arrival of youth star Mario Pasalic from Hajduk Split.

The signing of Remy surprised many, especially considering the France international reportedly failed a medical at Liverpool earlier in the season, causing a move to Anfield to collapse.

Yet, despite all the arrivals, Chelsea find themselves in rude financial health. Having spent over £80m, the Blues moved to shift some deadwood from their squad and managed to recoup a staggering £40m for David Luiz from PSG.

Amidst heavy interest from Barcelona, the French giants entered into negotiations over a deal before the World Cup and the deal was pushed through quickly, with Luiz interrupting his preparations with Brazil to undergo a medical with the Ligue 1 giants. Mourinho failed to truly find a role for Luiz during last season and has publicly insisted that he preferred using the centre-back partnership of John Terry and Gary Cahill as opposed to fielding the erratic Luiz.

His performances at the World Cup vindicated Mourinho's reasoning.
 
By Harry Sherlock

Jose Mourinho repeatedly wrote off his "little horses" last season but did so safe in the knowledge that grand plans to reshape his squad were afoot.

Few clubs acted as swiftly or as decisively in the transfer market this summer, with Chelsea securing five of their six signings by the end of July.

Sales, too, were handled quickly, Mourinho ruthlessly culling a number of so-called 'key' players to ensure that the club ended the transfer window in the black.

The first crucial acquisition identified was that of Diego Costa, Mourinho long having decided that a strikeforce of Samuel Eto'o, Demba Ba and Fernando Torres was simply not good enough. Indeed, Torres and Ba scored just 10 goals between them in the Premier League last season, while Eto'o hit nine himself.

Unsurprisingly, Mourinho axed all three this summer - Torres joining AC Milan on loan, despite repeatedly airing his desire to remain at the club, Ba heading to Besiktas for around £4.5m and Eto'o signing for Everton.

Due to Mourinho's mistrust of his strikers, Costa was identified as a principal target early in 2014 and negotiations to bring the striker to Stamford Bridge from Atletico Madrid began in March. A protracted deal, talks continued throughout April before Chelsea closed a deal worth £35 million in May.

Ironically enough, the major breakthrough in negotiations came in the immediate aftermath of Chelsea's Champions League semi-final clash with Atletico Madrid, a match in which Costa scored to help Atleti to a 3-1 win and the final of Europe's elite club competition.

Costa himself revealed to Goal his reasons for joining Chelsea before the official confirmation was made public, saying: "I've wanted to play in the Premier League for a while. Chelsea are one of the greatest clubs of the world so there are many factors that make you take a decision like this."

His move was officially completed on July 15, Costa agreeing to sign a contract worth £150,000 per week in west London. He has already scored four goals in three Premier League appearances.



Left-back Filipe Luis, another player lured from Atletico Madrid, this time as a result of Ashley Cole's departure, swiftly joined him at Stamford Bridge.

The latter was allowed to leave for Roma upon the expiration of his contract – the Italians beating off competition from Tottenham, Liverpool and Milan to land their man.

Another early deal, Chelsea entered into advanced negotiations with Atletico over the signing in June and wrapped up the deal less than a month later, Luis eventually signing just three days after Costa.

Yet perhaps the finest acquisition of the summer – and the most surprising – was that of Cesc Fabregas. Heavily linked with Arsenal – who chose not to activate a buy-back clause in their former captain's contract – Fabregas was also the subject of interest from Manchester City, Manuel Pellegrini's side tabling a bid around the same time as the Blues.

Yet a charm offensive saw Fabregas – who had been made available by Barcelona in May – opt for Stamford Bridge and he completed his £30m move in June.- There was one more stunning deal to come, with Mourinho not yet satisfied with his attack, and Didier Drogba completed an emotional homecoming soon after. Mourinho said that Chelsea "belonged" to Drogba after his deal was rubber-stamped and the Ivorian will provide support to Costa and fellow new signing Loic Remy for the remainder of the season. Another interesting case, Remy was first sounded out over a move when Drogba suffered an injury in pre-season training, only for him to recover ahead of time.

Yet Torres's departure to Milan saw the Blues reignite their interest and agree to pay his buyout clause to acquire him from QPR, with Remy the club's final addition of the summer transfer window following the arrival of youth star Mario Pasalic from Hajduk Split.

The signing of Remy surprised many, especially considering the France international reportedly failed a medical at Liverpool earlier in the season, causing a move to Anfield to collapse.

Yet, despite all the arrivals, Chelsea find themselves in rude financial health. Having spent over £80m, the Blues moved to shift some deadwood from their squad and managed to recoup a staggering £40m for David Luiz from PSG.

Amidst heavy interest from Barcelona, the French giants entered into negotiations over a deal before the World Cup and the deal was pushed through quickly, with Luiz interrupting his preparations with Brazil to undergo a medical with the Ligue 1 giants. Mourinho failed to truly find a role for Luiz during last season and has publicly insisted that he preferred using the centre-back partnership of John Terry and Gary Cahill as opposed to fielding the erratic Luiz.

His performances at the World Cup vindicated Mourinho's reasoning.


good analysis..
 
BAADA YA KUSHIBA UBWABWA:hungry:

SASA tuendelee na mpira...

SWALI . ni goli gani katika mwezi uliopita ambalo unadhani ni goli bora la Chelsea?

karibuni wakuu tuendelee..
 
atapona tu. mbona Costa aliumia 'watu' wakapiga kelelee sana lakini nilisema atapona kabla ya mechi. Mimi namuamini sana 'daktari' wetu Eva ...

hatufugi majeruhi sisi kwenye timu.


Chelsea fc ni timu ambayo iko na wachezaji wengi wa akiba wazuri.

Km Cahill kaumia hiyo so shida pengo lake litazibwa na Ivanovic km ulivyosema na hakutotokea tatizo lolote.
 
Kaka salama?

Mikataba hutofautina. Hata mikataba ya mkopo pia iko tofauti kutegemea na mchezaji na maelewano kati ya timu husika.
MFANO MPYA. kijana wetu Chalobah amepelekwa kwa mkopo akacheza Bunrley hadi mwezi wa kwanza mwakani..baada ya hapo atarudi CHELSEA FC.

lengo letu nini? tunamuandaa awe fiti kujiunga na wenzake kwa sababu tutakapohitaji kusajili..tunarudisha baadhi ya wachezaji wa mkopo.

Mchezaji Victor Moses ameenda kwa mkopo Stoke City atacheza kwa msimu 1 tu, alaf atarudi nyumbani Chelsea.
Mchezaji Christian Atsu 'winga' matata huyu ameenda Everton kwa mkopo pia, hataruhusiwa kucheza dhidi ya Chelsea. Ndo maana mechi iliyopita hakucheza.{kumbukeni hata mwaka jana Lukaku hakucheza vs Chelsea akiwa Everton} hii ilikuwa mara ya kwanza juzi baada ya kuuzwa kabisa.

Mchezaji wetu Fernando Torres amebakisha miaka 2 kwenye mkataba. sasa 'timu' ikatumia akili...imempeleka kwa mkopo Ac Milan acheze miaka 2, alaf ndo 'kwa heri'..hii inaitwa Akili ya Kazi.


CHELSEA FC FOREVER BLUE.



mkuu Viol kwema? mi nachojua hawaruhusiwi kucheza against us, hayo mengine 2msubirie agosti 8 akisharudi kupiga ubwabwa ............

Grand PA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom