Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,047
- 3,978
- Thread starter
- #17,601
Hawa hawanipi tabu kwasababu wamekosa hoja mkuu.
Kuna kipindi Ac Milan ilikua ktk pick ya juu sn na wachezaji ambao walikua kwa Milan wakati huo walikua wakubwa sn kiumri wakiongozwa na Paulo Mardin na Nesta. Lkn timu za ulaya zilikua zinapigwa sn na hawa wakongwe. Sasa namshangaa huyu kuishiwa hoja na kuanza kuhoji viswala vya umri.
Alafu Chelsea Fc ina chipukizi wengi sn na wengine wako kwa mkopo ktk timu zingine na tunafatilia maendeleo yao.
Msimu uliopita kuna dogo mmoja Kalas aliziba no ya Terry vzr sn na kuwaweka mfukoni kina Suarez a. k. a Zombi au Vampire mzee wa kuuma na huyo dogo tumemtoa kwa mkopo kwenda kukuza kiwango.
Si ndo hapo wanataka kutuumiza vichwa hapa na kutuchafulia hali ya hewa hapa kitu ambacho hawawezi.....
Na wakitaka kujua Chelsea ina wachezaji wadogo wanaopiga mpira waangalie ligi za U21s na U19s za Uingereza halafu waseme nani wanaongoza hizo ligi........
Kwa sasa tunasubiri muda muafaka kwa hawa vijana waliopo kwa mkopo na timu za chini ili waje timu kubwa.....