Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hahahaaaaaa

Mkuu tuko fiti sn mkuu ata km Costa hayupo

Huna backUp nzuri sahiv upande wa ST..labda JM aingie tena sokoni..

Ukiniletea DROGBA, me ntakupangia dogo Coates na Kolo nyuma..kazi itakuwa nyepesi sana!!

Sema kiukweli Chelsea itabid watafute another quality ST manake COSTA hii ni kama mara ya 3-4 anakumbwa na hizi hamstrings za mara kwa mara ndani ya kipindi cha mwaka mmoja tu wa 2014!!!

Drogba hatoshi kabisa..na sidhan kama JM ana guts za kumchezesha Schurrle kama central ST..
 
Wale waliowahi kuwa majogoo wa jiji fulani sasa wanahangaika sana wanajua mfalme atamchija jogoo hivi karibuni.
Lazima tule mapaja ya kuku msimu huu.
Wale washika Bunduki lazima tuwakimbize kwa mapanga, msimu huu hakatishi mtu labda wapitie juu.
 
Hawa watu wanamuogopa sana Costa ndio maana wanamzushia kutokucheza kwa wiki 6.
Wanamjua uwezo wake na kuna uwezekano watatumia hela ili aumizwe kwenye hizi mechi za awali ili asikutane nao.

Skysports wamereport hiyo ishu kama dk45 zilizopita, anafanyiwa vipimo AFU TUTAJUA ATAKUWA NJE KWA MIEZI MINGAPI #LOL .

But ts true skysports wameireport hio ishu!!!

Au huwaamini skysports!!!!?????
 
Skysports wamereport hiyo ishu kama dk45 zilizopita, anafanyiwa vipimo AFU TUTAJUA ATAKUWA NJE KWA MIEZI MINGAPI #LOL .

But ts true skysports wameireport hio ishu!!!

Au huwaamini skysports!!!!?????

Nawaamini haswa ila wao pia wanategemea report kutoka uongozi wa #Chelseafc
Hivyo tusubiri tuone watatoa taarifa ipi kuhusu kukaa kwake nje.
 
Uzaifu wa Chelsea bado hujaonekana ila timu nyingi kubwa zikifungwa game angalau moja au mbili watu ndio wanajifanya wanaona Uzaifu mpaka sasa EPL ni Chelsea tu ndio Uzaifu siuoni japo City imeshinda zote ata Arsenal wanacheza vizuri ila kidogo Kama itatokea timu mapema kuipeleka speed Chelsea Pengine Uzaifu unaweza kuonekana ila kwa sasa siwezi kupingana na ukweli Uzaifu bado sijauona hasa Kipa na Mabeki wake na middle za kuchezesha striker Sema ukitoa Costa nafikiri Hazard anatakiwa ajirekebishe katika kufunga magoli iwe 50/50 kwake Kama anavyo tengeneza magoli naamini Hazard akiweza Kuwa mfungaji Mzuri basi uwezo wa Kuwa PFA player msimu huu anao ila ufungaji magoli ndio Hazard unamuangusha.
 
Torres to AC Milan. Angalau aondoke huyu jamaa ana mikosi
 
Karibu mkuu Pazi..

Uzaifu wa Chelsea bado hujaonekana ila timu nyingi kubwa zikifungwa game angalau moja au mbili watu ndio wanajifanya wanaona Uzaifu mpaka sasa EPL ni Chelsea tu ndio Uzaifu siuoni japo City imeshinda zote ata Arsenal wanacheza vizuri ila kidogo Kama itatokea timu mapema kuipeleka speed Chelsea Pengine Uzaifu unaweza kuonekana ila kwa sasa siwezi kupingana na ukweli Uzaifu bado sijauona hasa Kipa na Mabeki wake na middle za kuchezesha striker Sema ukitoa Costa nafikiri Hazard anatakiwa ajirekebishe katika kufunga magoli iwe 50/50 kwake Kama anavyo tengeneza magoli naamini Hazard akiweza Kuwa mfungaji Mzuri basi uwezo wa Kuwa PFA player msimu huu anao ila ufungaji magoli ndio Hazard unamuangusha.
 
BREAKING NEWS: AC Milan have agreed a deal with Chelsea to sign striker Fernando Torres.

BwJPoXEIUAAJbrP.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom