Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Mechi ya leo haitabiriki hata kidogo wakuu(Man Utd hawatabiriki kabisa hawa jamaa).Cha msingi tuzisubiri hizo dakika 97......ooops sory dakika 90
...usisahau na refa pia.
Yangu mie ni macho tu. Tukizidiwa lazima Invisible
afanye 'sytem upgrade' subirini muone...LOL!