Usidandie treni kwa mbele my point Mourinho ni kocha wa kupaki bus hiyo ni fact ingawa wengi wenu hamtaki kukubali
Usidandie treni kwa mbele my point Mourinho ni kocha wa kupaki bus hiyo ni fact ingawa wengi wenu hamtaki kukubali
3-5-3 ni kushambulia?
Ukiacha Germany (bingwa) ambao wamefunga magoli 18,Holland wanafuatia kwa kufunga magoli mengi 15.
Kwa mengine
2014 FIFA World Cup? - Netherlands - Statistics - FIFA.com na 2014 FIFA World Cup? - Germany - Statistics - FIFA.com
Hivi siku hizi ukicheza counter attacking football unakua labeled mpark bus? Kwani kwenye soccer lazima team zote/makocha wote wawe na mifumo inayofanana?
Katika msimu mzima, kama mechi mbili/tatu ukacheza a real defensive game kupata matokeo kuna ubaya gani?
Ukiacha Germany (bingwa) ambao wamefunga magoli 18,Holland wanafuatia kwa kufunga magoli mengi 15.
Kwa mengine
2014 FIFA World Cup? - Netherlands - Statistics - FIFA.com na 2014 FIFA World Cup? - Germany - Statistics - FIFA.com
Siku hizi counter attacking football ndio inatawala baada ya tiki-taka kufa umeona Germany,Holland,Real Madrid,Atletico
Ni system nzuri sana unapoitumia kwenye mashindano ya mtoano na sio kwenye ligi,sometimes unapocheza na timu ndogo inabidi ushambulie uwafunge umalize mechi kabisa.How unacheza na timu kama Aston Villa au Newcastle then unatumia hii system
1. Ni lini uliona Mourinho akifanya hivyo against Newcastle, Aston villa, Arsenal, Man utd, Totenham et al..na hizo nyingine unazoziita timu ndogo?
2. Kwenye ligi kafanya hivyo mara mbili peke yake..against Liverpool second round game na against Manchester city...BASI! Hebu nipe mfano mmoaj wa mechi na timu ndogo ambayo mourinho alitumia hio theory ya parking the bus!
Siku hizi counter attacking football ndio inatawala baada ya tiki-taka kufa umeona Germany,Holland,Real Madrid,Atletico
Ni system nzuri sana unapoitumia kwenye mashindano ya mtoano na sio kwenye ligi,sometimes unapocheza na timu ndogo inabidi ushambulie uwafunge umalize mechi kabisa.How unacheza na timu kama Aston Villa au Newcastle then unatumia hii system
Hapo kwa Germany naomba kutofautiana, Ujerumani hii ya Jog Leow haichezi counter attacking football, kwa maoni yangu wao ndio wanacheza total football
Mourinho ni adui wa football.....aliesema nimemsahau ila nakubaliana nae!!!
UKIWA MWONGO USIWE MWEPESI WA KUSAHAU.:angry:
UKIWA MWONGO USIWE MWEPESI WA KUSAHAU.:angry:
sijasema mimi ndugu...aliesema ni boss mmoja wa uefa baada ya Mourinho kumsakama refa fulani mpaka akajiuzulu soka!
Chelsea's Jose Mourinho is the enemy of football
Jose Mourinho might be 'Special' but he's now become more trouble than he's worth - Neil Moxley - Mirror Online
Mourinho alilia baada ya kukosa United Job....kilichomliza kazi kapewa poor D. MOYES......kachukua kazi ya Chelsea baada ya kuwa snubbed na man utd!!! mmekula matapishi yenu!!
Refa alisakamwa bila sababu?
WEwe hujui kwamba Marefa wengi tu wanaharibu mechi..wao ndo wanapaswa kuitwa 'enemy of football' au hilo wewe hutambui?