Welcome back Oriol Romeu and Marco van Ginkel
Wapenzi wa Chelsea na wengine wapenda soka tuna furaha kubwa kurudi kwa wachezaji hawa wawili muhimu, Romeu aliumia Dec 2012 na hivyo kuwa nje wa muda mrefu na mwaka jana alikuwa loan Valencia na sasa yupo full swing kuichezea club yake ya Chelsea.
Marcho Van Ginkel, huyu mdachi hajulikani sana darajani maana aliumia mwaka jana kwenye pre-season's games, amekuwa nje ya dimba kwa msimu mmoja, ni furaha pia kumwona akirudi dani ya dimba la darajani. Ni mchezaji mahili sana (Kiungo mshambuliaji).
Kama mnavyojua Chelsea sasa imekamilika, ukijumlisha na ujio wa Fabregas basi itakuwa midfield yenye njaa kali.
Jana tu, club ya daraja ya pili
Wycombe Wanderers ilichezea kichapo cha 5 mtungi - huku Romeu akimaliza dakika 75 za mchezo.
The 22-year-old played just over 70 minutes at Adams Park, operating alongside Marco van Ginkel during the first half and Nemanja Matic after the break, and he was delighted to be back involved.