Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ntuzu wacha mimi niangalie qualifier za germany grand prix.......
 
Last edited by a moderator:
tulia kwanza. wapi nimewaambia msichoelewa?najua wewe na agosti 8 mnajua kila kitu.... mourinho ni soccer...kumjadili mourinho ndio najadili soka hasa inayochezwa na chelsea...mnataka nisifie tu ndio mfurahi nasema ninachoona whether u like it or not.


Angalia michango ya wadau huko nyuma Alafu kisha linganisha na ya kwako uone tofauti!

Kuwa Fair Mkuu NA uongee kisoka NA si kinazi!

Inapendeza sn michango ikiwa KISOCCER LKN UKILETA KINAZI SISI WENGINE TUMESHAKUNYWA MAJI YA DARAJA KWAHIYO UNAKUA UMETUGUSA KWENYE MOYO NA KUKATA MISHIPA MIKUU YA DAMU!

KTBFFH
 
Last edited by a moderator:
karibu sana.....kwanza SIMCHUKII MOURINHO!!! ila akichemka nasema na akifanya poa namsifia....



Sasa km unaelewa Hilo kulikua na haja gani kuleta hoja ya mkaa Kwamba Jose ni adui Wa Mpira?

Wewe unawafahamu maadui Wa Mpira? Au km huwajui Niambie nikutajie!
 
Angalia michango ya wadau huko nyuma Alafu kisha linganisha na ya kwako uone tofauti!

Kuwa Fair Mkuu NA uongee kisoka NA si kinazi!

Inapendeza sn michango ikiwa KISOCCER LKN UKILETA KINAZI SISI WENGINE TUMESHAKUNYWA MAJI YA DARAJA KWAHIYO UNAKUA UMETUGUSA KWENYE MOYO NA KUKATA MISHIPA MIKUU YA DAMU!

KTBFFH

hayo ni maoni yako wewe....ila mimi naandika ninachokijua na kufikiria sio kuangalia wadau wengine wameandika nini.... kama unaona ni unazi sawa ni wewe...siwezi kuandika kila kitu kikakufurahisha.
 
Ntuzu wacha mimi niangalie qualifier za germany grand prix.......



All the best! Lkn ukija tena ktk nyumba hii uje NA heshima zote!

Watu tuko mapumzikoni tunafanya USAJILI!
 
Last edited by a moderator:
hayo ni maoni yako wewe....ila mimi naandika ninachokijua na kufikiria sio kuangalia wadau wengine wameandika nini.... kama unaona ni unazi sawa ni wewe...siwezi kuandika kila kitu kikakufurahisha.


Ndo Maana nkasema wewe huongei kisoccer Bali kinazi!
 
Sasa km unaelewa Hilo kulikua na haja gani kuleta hoja ya mkaa Kwamba Jose ni adui Wa Mpira?

Wewe unawafahamu maadui Wa Mpira? Au km huwajui Niambie nikutajie!

kama imekuuma sana....nasema tena MOURINHO NI ADUI WA FOOTBALL.....na niliweka link aliesema na sababu.
 
article-2697674-1FC557A600000578-80_634x413.jpg
 
sawa 'winger' namba 7; wee tulia hapohapo unyolewe..ha ha ha ha..:A S wink:

tulia kwanza. wapi nimewaambia msichoelewa?najua wewe na agosti 8 mnajua kila kitu.... mourinho ni soccer...kumjadili mourinho ndio najadili soka hasa inayochezwa na chelsea...mnataka nisifie tu ndio mfurahi nasema ninachoona whether u like it or not.
 
Hawa wajitafutie zao loan fasta, otherwise wataishia kusugua benchi.
Mkuu ungekuwa mfutiliaji mzuri wa wachezaji basi nisingetegemea utawa-let down Oriol Romeu na Marco Van Ginkel. Hawa ni wachezaji wa kiwango cha juu, ni wazuri mno kwenye kiungo, wana kasi inayohitajika kwenye soka la kisasa. Cha msingi ungesema tu kwamba viungo wa Chelsea wote waonyeshe bidii vinginevyo hakutakuwa na guarantee ya number - kina williams, Oscar na Remires wanaweza kuwa kwenye wakati mgumu.
 
umesema vizuri..wote wanahitaji kupigania namba..

Mkuu ungekuwa mfutiliaji mzuri wa wachezaji basi nisingetegemea utawa-let down Oriol Romeu na Marco Van Ginkel. Hawa ni wachezaji wa kiwango cha juu, ni wazuri mno kwenye kiungo, wana kasi inayohitajika kwenye soka la kisasa. Cha msingi ungesema tu kwamba viungo wa Chelsea wote waonyeshe bidii vinginevyo hakutakuwa na guarantee ya number - kina williams, Oscar na Remires wanaweza kuwa kwenye wakati mgumu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom