Morinyo alipata mafanikio makubwa Porto,Chelsea na Inter but alichemsha Real Madrid,Madrid walimchukua kuchukua Champions League na sio kuishia semi finals.Baada ya kumtimua Del Bosque walistrugle sana kupata kocha mzuri wakaishia kuwapata kina Quiroz,Luxenmburgo,Ramon,Schurnder et al na wengi wao hawakufundisha zaidi ya msimu mmoja but Jose alipewa misimu 3
So far Carlo Anceloti amechukua Champions League mara 3 while Jose mara 2,na kumbuka msimu wa kwanza Carlo amechukua Copa Del Rey na Uefa Champions League
Carlo Ancelotti anajua Jose Mourinho ni nani? tazama posti zangu page zilizopita Belo.
Unafikiri kufika nusu fainali ya UCL ni kitu kidogo? Tena mara 3 mfululizo? Unajitoa fahamu ili kushindana na Mourinho?
Ni kweli: Mourinho kachukua UCL =2, ubingwa wa ligi katika nchi 4, uefa europa league,