Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

article-0-0269FA3D0000044D-764_634x395.jpg


hawa jamaa wawili, wamekuwa kwenye benchi la ufundi la jose mourinho akiwa Chelsea Fc-Inter Milan-Real Madrid-back to Chelsea fC.

nitajadili hapa sababu kwa nini huwa hawaachi..wana utaalamu gani hasa?
 
article-2338993-1A3ED56C000005DC-512_964x763.jpg


this is the second coming of JOSE MOURINHO.
je, umegundua kwamba kuna watu wako na Mourinho kila timu anayofundisha?

lete mawazo yako hapa tujadili..

Mkuu hao jamaa aliokua nao kwenye 1st coming alifanya nao kazi katika clubs tatu, Porto, Chelsea na Inter ukimuacha Steve Clarke maana huyo alimkuta Chelsea na alimuacha.

Kuna kocha wa mazoezi ya viungo (no1) anaitwa Rui Faria nadhani, huyo jamaa ndio best friend wa Mourinho akiwa kazini na nje ya kazi, then kuna huyo babu (no2) ni kocha wa makipa simkumbuki jina lake, hawa wawili ndio watu wa karibu sana na Mourinho, amefanya nao kazi clubs zote alizopitia kwa mafanikio makubwa Porto, Chelsea, Inter, Madrid then Chlsea. Akibwaga manyanga nao wanasepa naye, akipata ajira mpya hawaachi kamwe.

Huyo mwingine no3 nadhani alikuja kuchukua nafasi ya AVB wakiwa Madrid, kazi ya kuwasoma wapinzani kwa details, wanacheza mfumo upi, mchezaji gani anastyle gani, weakness, strength et al, na kupeleka taarifa hizo kwa bench la ufundi na ikibidi kushea na wachezaji pindi wajiandaapo na mechi husika.

Kuna huyo mwingine kulia kwa picha ya kwanza (1st coming) sina info nae zaidi ila nadhani alifanya na Mou mpaka Inter. AVB alichomokea Inter akidai kupewa majukumu zaidi wakati Mou alimuona "hajaiva", Aito Karanka (hayupo pichani) aliyekua msaidizi wake wa kwanza Madrid, kwa maneno ya Mou, alishakua 'party of the family' na Mou alimpa nafasi ya kuja naye Chelsea lakini Karanka alishikwa na kigugumizi akiamini Madrid wangempa nafasi kwenye bench la ufundi la Ancelotti, nafasi ambayo aliikosa lakini ni Mourinho ndiye aliyemshtua na kumshauri kwenda Middlesborough ambako anafundisha mpaka leo hii.

Then kuna Steve huyo no4 ambaye ndio first team assistant coach wa sasa wa Chelsea, huyo alikuwepo toka enzi za Di Matteo nadhani alipandishwa baada ya kufanya vizuri na academy. Huyo babu no5 huwa nina hamu sana ya kujua majukumu yake, mara nyingi huwa anakuwepo kasimama pale kwenye entrance ya dugout, bila shaka Mkuu una taarifa zake
Ila Mkuu ungeweka na picha za yule doctor wenu yule, anaitwa Eve kama sikosei, namuhusudu sana yule manzi, Drogba alikua anajiangusha sana ili apate kupetiwapetiwa na huyo manzi, lol!





M
 
Mourinho alifikisha pointi 95 kwenye EPL, pointi 5 tu pungufu ya 100. SAF kafungisha kwa miaka 26 lakini hajawahi kufikisha kiasi hicho cha pointi

Tito Vilanova, alifikia pointi 100 baada ya Mourinho kuweka rekodi hiyo. Kataa kubali, Jose Mourinho anakufanya ufikiri na ufanye kazi kwa bidii. Bila Mou, ligi inapooza,,that's why he's the special one.

95 its not equal to 100,priority ya Real Madrid kumpa kazi ilikuwa ni kuchukua la decima kitu ambacho alishindwa ndani ya misimu 3 while Anceloti ameipata ndani ya msimu mmoja with the same players
 
sawa na Ancelotti hajachukua LA LIGA bado..pia Mourinho kawaweka SEMI-FINALS tatu katika miaka mitatu yote aliyokaa Real Madrid.
Kumekuwa na makocha 18+Mouriho alipokuwa Real kuanzia 1992-enzi wanamwita MOurinho pale.

Ajabu ni kwamba wote hao 18 ni mara 2 tu timu iliweza kufikia nusu fainali ya UCL, chini ya Hykens 1998 na chini ya Del Bosque 2003.

Jose mOurinho ni kiboko; hata kama hakuchukua UCL bado rekodi zake kweye mpira wa Ulaya ni kubwa sana. anayemfuata ni Ancelotti.

Kumbuka wote hao ni CHELSEA LEGENDS.


95 its not equal to 100,priority ya Real Madrid kumpa kazi ilikuwa ni kuchukua la decima kitu ambacho alishindwa ndani ya misimu 3 while Anceloti ameipata ndani ya msimu mmoja with the same players
 
Mkuu hao jamaa aliokua nao kwenye 1st coming alifanya nao kazi katika clubs tatu, Porto, Chelsea na Inter ukimuacha Steve Clarke maana huyo alimkuta Chelsea na alimuacha.

Kuna kocha wa mazoezi ya viungo (no1) anaitwa Rui Faria nadhani, huyo jamaa ndio best friend wa Mourinho akiwa kazini na nje ya kazi, then kuna huyo babu (no2) ni kocha wa makipa simkumbuki jina lake, hawa wawili ndio watu wa karibu sana na Mourinho, amefanya nao kazi clubs zote alizopitia kwa mafanikio makubwa Porto, Chelsea, Inter, Madrid then Chlsea. Akibwaga manyanga nao wanasepa naye, akipata ajira mpya hawaachi kamwe.

Huyo mwingine no3 nadhani alikuja kuchukua nafasi ya AVB wakiwa Madrid, kazi ya kuwasoma wapinzani kwa details, wanacheza mfumo upi, mchezaji gani anastyle gani, weakness, strength et al, na kupeleka taarifa hizo kwa bench la ufundi na ikibidi kushea na wachezaji pindi wajiandaapo na mechi husika.

Kuna huyo mwingine kulia kwa picha ya kwanza (1st coming) sina info nae zaidi ila nadhani alifanya na Mou mpaka Inter. AVB alichomokea Inter akidai kupewa majukumu zaidi wakati Mou alimuona "hajaiva", Aito Karanka (hayupo pichani) aliyekua msaidizi wake wa kwanza Madrid, kwa maneno ya Mou, alishakua 'party of the family' na Mou alimpa nafasi ya kuja naye Chelsea lakini Karanka alishikwa na kigugumizi akiamini Madrid wangempa nafasi kwenye bench la ufundi la Ancelotti, nafasi ambayo aliikosa lakini ni Mourinho ndiye aliyemshtua na kumshauri kwenda Middlesborough ambako anafundisha mpaka leo hii.

Then kuna Steve huyo no4 ambaye ndio first team assistant coach wa sasa wa Chelsea, huyo alikuwepo toka enzi za Di Matteo nadhani alipandishwa baada ya kufanya vizuri na academy. Huyo babu no5 huwa nina hamu sana ya kujua majukumu yake, mara nyingi huwa anakuwepo kasimama pale kwenye entrance ya dugout, bila shaka Mkuu una taarifa zake
Ila Mkuu ungeweka na picha za yule doctor wenu yule, anaitwa Eve kama sikosei, namuhusudu sana yule manzi, Drogba alikua anajiangusha sana ili apate kupetiwapetiwa na huyo manzi, lol!





M


#2 ni Assistant First Team Coach - SILVINO LOURO.
walopokuja mwanzoni mwaka 2004, jamaa kazi yake kubwa ilikuwa kufundisha makipa.
Kwa sasa hiyo kazi inafanywa na kocha wa Petr Cech, ambaye alikuwa anamfundisha Renes, Ufaransa, alikuja 2007[Christophe Lollichon]

SILVINO LOURO alipokuwa kipa wa AS Benfica ya Ureno.
 
BKVFbDOCMAATB1T.jpg:large



#2 ni Assistant First Team Coach - SILVINO LOURO.
walopokuja mwanzoni mwaka 2004, jamaa kazi yake kubwa ilikuwa kufundisha makipa.
Kwa sasa hiyo kazi inafanywa na kocha wa Petr Cech, ambaye alikuwa anamfundisha Renes, Ufaransa, alikuja 2007[Christophe Lollichon]

SILVINO LOURO alipokuwa kipa wa AS Benfica ya Ureno.
 
Mkuu hao jamaa aliokua nao kwenye 1st coming alifanya nao kazi katika clubs tatu, Porto, Chelsea na Inter ukimuacha Steve Clarke maana huyo alimkuta Chelsea na alimuacha.

Kuna kocha wa mazoezi ya viungo (no1) anaitwa Rui Faria nadhani, huyo jamaa ndio best friend wa Mourinho akiwa kazini na nje ya kazi, then kuna huyo babu (no2) ni kocha wa makipa simkumbuki jina lake, hawa wawili ndio watu wa karibu sana na Mourinho, amefanya nao kazi clubs zote alizopitia kwa mafanikio makubwa Porto, Chelsea, Inter, Madrid then Chlsea. Akibwaga manyanga nao wanasepa naye, akipata ajira mpya hawaachi kamwe.

Huyo mwingine no3 nadhani alikuja kuchukua nafasi ya AVB wakiwa Madrid, kazi ya kuwasoma wapinzani kwa details, wanacheza mfumo upi, mchezaji gani anastyle gani, weakness, strength et al, na kupeleka taarifa hizo kwa bench la ufundi na ikibidi kushea na wachezaji pindi wajiandaapo na mechi husika.

Kuna huyo mwingine kulia kwa picha ya kwanza (1st coming) sina info nae zaidi ila nadhani alifanya na Mou mpaka Inter. AVB alichomokea Inter akidai kupewa majukumu zaidi wakati Mou alimuona "hajaiva", Aito Karanka (hayupo pichani) aliyekua msaidizi wake wa kwanza Madrid, kwa maneno ya Mou, alishakua 'party of the family' na Mou alimpa nafasi ya kuja naye Chelsea lakini Karanka alishikwa na kigugumizi akiamini Madrid wangempa nafasi kwenye bench la ufundi la Ancelotti, nafasi ambayo aliikosa lakini ni Mourinho ndiye aliyemshtua na kumshauri kwenda Middlesborough ambako anafundisha mpaka leo hii.

Then kuna Steve huyo no4 ambaye ndio first team assistant coach wa sasa wa Chelsea, huyo alikuwepo toka enzi za Di Matteo nadhani alipandishwa baada ya kufanya vizuri na academy. Huyo babu no5 huwa nina hamu sana ya kujua majukumu yake, mara nyingi huwa anakuwepo kasimama pale kwenye entrance ya dugout, bila shaka Mkuu una taarifa zake
Ila Mkuu ungeweka na picha za yule doctor wenu yule, anaitwa Eve kama sikosei, namuhusudu sana yule manzi, Drogba alikua anajiangusha sana ili apate kupetiwapetiwa na huyo manzi, lol!





M


Uwe na subira mkuu, muda si muda utamwona hapa jukwaani.
 
mkuu hao jamaa aliokua nao kwenye 1st coming alifanya nao kazi katika clubs tatu, porto, chelsea na inter ukimuacha steve clarke maana huyo alimkuta chelsea na alimuacha.

Kuna kocha wa mazoezi ya viungo (no1) anaitwa rui faria nadhani, huyo jamaa ndio best friend wa mourinho akiwa kazini na nje ya kazi, then kuna huyo babu (no2) ni kocha wa makipa simkumbuki jina lake, hawa wawili ndio watu wa karibu sana na mourinho, amefanya nao kazi clubs zote alizopitia kwa mafanikio makubwa porto, chelsea, inter, madrid then chlsea. Akibwaga manyanga nao wanasepa naye, akipata ajira mpya hawaachi kamwe.

huyo mwingine no3 nadhani alikuja kuchukua nafasi ya avb wakiwa madrid, kazi ya kuwasoma wapinzani kwa details, wanacheza mfumo upi, mchezaji gani anastyle gani, weakness, strength et al, na kupeleka taarifa hizo kwa bench la ufundi na ikibidi kushea na wachezaji pindi wajiandaapo na mechi husika.

Kuna huyo mwingine kulia kwa picha ya kwanza (1st coming) sina info nae zaidi ila nadhani alifanya na mou mpaka inter. Avb alichomokea inter akidai kupewa majukumu zaidi wakati mou alimuona "hajaiva", aito karanka (hayupo pichani) aliyekua msaidizi wake wa kwanza madrid, kwa maneno ya mou, alishakua 'party of the family' na mou alimpa nafasi ya kuja naye chelsea lakini karanka alishikwa na kigugumizi akiamini madrid wangempa nafasi kwenye bench la ufundi la ancelotti, nafasi ambayo aliikosa lakini ni mourinho ndiye aliyemshtua na kumshauri kwenda middlesborough ambako anafundisha mpaka leo hii.

Then kuna steve huyo no4 ambaye ndio first team assistant coach wa sasa wa chelsea, huyo alikuwepo toka enzi za di matteo nadhani alipandishwa baada ya kufanya vizuri na academy. Huyo babu no5 huwa nina hamu sana ya kujua majukumu yake, mara nyingi huwa anakuwepo kasimama pale kwenye entrance ya dugout, bila shaka mkuu una taarifa zake
ila mkuu ungeweka na picha za yule doctor wenu yule, anaitwa eve kama sikosei, namuhusudu sana yule manzi, drogba alikua anajiangusha sana ili apate kupetiwapetiwa na huyo manzi, lol!





M

jose morais
 
1. RUI FARIA

Faria is a fitness specialist who has worked with Mourinho for many years.
After meeting Faria at Barcelona, Mourinho asked him to be a fitness coach when he accepted the manager's job at Uniao de Leiria in Portugal.
Faria worked with Mourinho at Porto, during his first spell at Chelsea, Inter Milan and Real Madrid.
2. SILVINO LOURO
Louro is a highly-experienced goalkeeping coach who has been part of Mourinho's staff since their spell at Porto.

Louro has also worked with the Portuguese national team goalkeepers. He played a big part in Petr Cech's rise to the top.
3. JOSE MORAIS
Morais is the only new member of Mourinho's coaching staff who has not worked at Chelsea before. He first worked with Mourinho for a season at Porto before linking up with the Portuguese manager again at Inter Milan.
Morais then spent three years with Mourinho at Real Madrid before agreeing to join him at Chelsea.
4. STEVE HOLLAND
Holland guided Chelsea's reserve team to becoming national champions in 2011 before stepping up to work with the senior squad. He first worked under Andre Villas-Boas and then Roberto Di Matteo.
Before joining Chelsea in 2009, Holland had spent five months as Stoke's academy director.
5. GARY STAKER
Staker is a player liaison officer at Chelsea

He was once employed as a tunnel steward before working his way in when Claudio Ranieri was manager because he could speak Italian.




article-2338993-1A3ED56C000005DC-512_964x763.jpg


this is the second coming of JOSE MOURINHO.
je, umegundua kwamba kuna watu wako na Mourinho kila timu anayofundisha?

lete mawazo yako hapa tujadili..
 
4420047.jpg


Taarifa zinasema kwamba CHELSEA FC inamtaka huyu mtaalamu wa pasi na mashuti ya mbali. Toni Kroos.
Real Madrid wametoa ofa ya M.19.5

Chelsea Fc imesema italipa hiyo M.19.5 pia watamlipa mshahara wa 125,000 kwa wiki.
Msimu huu..kazi ipo aisee.
 
sawa na Ancelotti hajachukua LA LIGA bado..pia Mourinho kawaweka SEMI-FINALS tatu katika miaka mitatu yote aliyokaa Real Madrid.
Kumekuwa na makocha 18+Mouriho alipokuwa Real kuanzia 1992-enzi wanamwita MOurinho pale.

Ajabu ni kwamba wote hao 18 ni mara 2 tu timu iliweza kufikia nusu fainali ya UCL, chini ya Hykens 1998 na chini ya Del Bosque 2003.

Jose mOurinho ni kiboko; hata kama hakuchukua UCL bado rekodi zake kweye mpira wa Ulaya ni kubwa sana. anayemfuata ni Ancelotti.

Kumbuka wote hao ni CHELSEA LEGENDS.

you are so obsessed with Jose Mourinho!!!
 
sawa na Ancelotti hajachukua LA LIGA bado..pia Mourinho kawaweka SEMI-FINALS tatu katika miaka mitatu yote aliyokaa Real Madrid.
Kumekuwa na makocha 18+Mouriho alipokuwa Real kuanzia 1992-enzi wanamwita MOurinho pale.

Ajabu ni kwamba wote hao 18 ni mara 2 tu timu iliweza kufikia nusu fainali ya UCL, chini ya Hykens 1998 na chini ya Del Bosque 2003.

Jose mOurinho ni kiboko; hata kama hakuchukua UCL bado rekodi zake kweye mpira wa Ulaya ni kubwa sana. anayemfuata ni Ancelotti.

Kumbuka wote hao ni CHELSEA LEGENDS.


Morinyo alipata mafanikio makubwa Porto,Chelsea na Inter but alichemsha Real Madrid,Madrid walimchukua kuchukua Champions League na sio kuishia semi finals.Baada ya kumtimua Del Bosque walistrugle sana kupata kocha mzuri wakaishia kuwapata kina Quiroz,Luxenmburgo,Ramon,Schurnder et al na wengi wao hawakufundisha zaidi ya msimu mmoja but Jose alipewa misimu 3

So far Carlo Anceloti amechukua Champions League mara 3 while Jose mara 2,na kumbuka msimu wa kwanza Carlo amechukua Copa Del Rey na Uefa Champions League
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom