Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hebu twende taratibu kaka. Keleta ushabiki unamaanisha nini?? Mimi ni shabiki wa mpira na ndio maana nimechangia hapa. Kuhusu dogo De Bruyne ni kwamba ni miongoni mwa vijana wadogo ambao timu ya Chelsea iliwanunua na kumuacha timu aliyonunuliwa kwa msimu wa 2012. Msimu uliofuata 2012/2013 alipelekwa kwa mkopo na alipoonekana amefuzu alirejeshwa Chelsea kwa ajili ya kuja kuchezea timu kubwa. Ila bahati yake mbaya akakutana na mtu asiyejua kuwajenga watoto kisaikolojia Mr. Mourinho ambaye dogo alipokosea mechi mbili tu Mourinho alitoka nje na kuanza kumponda na kumkatisha tamaa. Kama ilivyokuwa kwa Lukaku, dogo alikata tamaa na ikalazimika kumuuza kwa Paund 18m. Hebu nambie kijana aliyenunuliwa miaka miwili tu nyuma kwa paundi 7m anapouzwa kwa 18m je huyo ni mbovu??

Kuna kitu ambacho unatakiwa ukifahamu kaka. Mourinho anatatizo la kutowaamini vijana na ndio maana hivi sasa yuko busy kununua wachezaji wapya huku akiua vipaji zaidi ya 20 vilivyopelekwa kwa mkopo timu nyingine. Lukaku alipelekwa kwa mkopo na kufunga goli 17, je washambuliaji wote waliobaki Chelsea walifunga goli ngapi?? Leo hii Mourinho na hicho unachokiita wewe uongozi wa Chelsea umakazana kununua Coasta, mtu ambaye ni prone wa majeraha na atakuwa na muda mrefu wa kujiadabt kwenye ligi ya uingereza huku wakimuacha Lukaku ambaye sasa amekuwa na yuko katika hali nzuri.

I won't wonder kama akina Ake, Omruo, na vijana wengine wakaishia kupoteza ndoto zao. Timu ya Chelsea chini ya Mourinho ni timu inayotaka ushindi wa muda mrefu. I'm sure na msimu huu mtaambulia patupu. Ilikuwa ndio muda wa kuwarudisha vijana waje wacheze na kuwaamini. Ila ndio kwanza mnaongeza msururu wa mibabu.

Usitake kumweka Mourinho nje ya lawama hizi.

Hiyo ndo tunaita PURE BUSINESS!
 
Wafuatao ni wachezaji wa Chelsea walio nje na wataokwenda nje kwa mkopo;

1. Kurt Zouma (defender)
2. Christan Atsu (midfielde)
3. Matej Delac
3. Thibout Courtois
4. Wallace
5. Bertrand Traore
6. Ulises Davilla
7. Cristian Cuevas
8. Stpe Perica
9. Patrick Bamford
10. Tomas Kalas
11. Romelu Lukaku
12. Nathaniel Chalobah
13. Josh McEachran
14. Ryan Bertrand
15. Todd Kane
16. George Saville
17. Jhon Pirez
18. Victor Moses
19. Kenneth Omeruo
20. Billy Clifford
21. Marko Marin
22. Oriol Romeu
23. Patrick Van Aabholt
24. Gael Kakuta
25. Lucas Piazon
26. Milan Lalkovic
27. Thorgan Hazard

Pamoja na wachezaji wote hao, bado timu inaendelea kusajili na kusajili. Lini mdogo wetu nditi atapata nafasi ya kucheza first team?? Unataka kumnunua Fillipe Luis huku unampeleka kwa mkopo Kalas!! Hapo kuna akili kweli?? Unamuuza Luiz ili umnunue Fillipe!!

Ni ngumu sana kuitetea management ya kijinga kama ya Chelsea. When will these young men come to first team?? Hili ni Tatizo la Mourinho hata Real Madread alikuwa akilaumiwa kwalo. So disgusting.

Si nilikwambia wewe una matatizo ya ushabiki? sasa maneno makali ya nini kama wewe ni mtu wa mpira?
Hao wote wanaocheza kwa mkopo aliwapeleka MOU?
 
Wafuatao ni wachezaji wa Chelsea walio nje na wataokwenda nje kwa mkopo;

1. Kurt Zouma (defender)
2. Christan Atsu (midfielde)
3. Matej Delac
3. Thibout Courtois
4. Wallace
5. Bertrand Traore
6. Ulises Davilla
7. Cristian Cuevas
8. Stpe Perica
9. Patrick Bamford
10. Tomas Kalas
11. Romelu Lukaku
12. Nathaniel Chalobah
13. Josh McEachran
14. Ryan Bertrand
15. Todd Kane
16. George Saville
17. Jhon Pirez
18. Victor Moses
19. Kenneth Omeruo
20. Billy Clifford
21. Marko Marin
22. Oriol Romeu
23. Patrick Van Aabholt
24. Gael Kakuta
25. Lucas Piazon
26. Milan Lalkovic
27. Thorgan Hazard

Pamoja na wachezaji wote hao, bado timu inaendelea kusajili na kusajili. Lini mdogo wetu nditi atapata nafasi ya kucheza first team?? Unataka kumnunua Fillipe Luis huku unampeleka kwa mkopo Kalas!! Hapo kuna akili kweli?? Unamuuza Luiz ili umnunue Fillipe!!

Ni ngumu sana kuitetea management ya kijinga kama ya Chelsea. When will these young men come to first team?? Hili ni Tatizo la Mourinho hata Real Madread alikuwa akilaumiwa kwalo. So disgusting.

FYI. jose Mourinho ni kocha pekee kuwahi kuifundisha Real de Madrid na kufikisha pointi 100 kwenye msimu wa ligi.

Kuhusu mdogo wako Nditi kukosa namba, kumbuka kwamba si lazima acheze Chelsea Fc, mbona hata Man Utd walimfukuza Paul Pogba na leo anang'aa pale Juventus?


Ni jambo la kawaida kwneye mpira kwa kocha kununua wachezaji kulingana na mahitaji yake ili atimize kila kilichomfanya apewe kazi. Watoto wa Umitashumta hawawezi kuleta makombe..
 
Wafuatao ni wachezaji wa Chelsea walio nje na wataokwenda nje kwa mkopo;

1. Kurt Zouma (defender)
2. Christan Atsu (midfielde)
3. Matej Delac
3. Thibout Courtois
4. Wallace
5. Bertrand Traore
6. Ulises Davilla
7. Cristian Cuevas
8. Stpe Perica
9. Patrick Bamford
10. Tomas Kalas
11. Romelu Lukaku
12. Nathaniel Chalobah
13. Josh McEachran
14. Ryan Bertrand
15. Todd Kane
16. George Saville
17. Jhon Pirez
18. Victor Moses
19. Kenneth Omeruo
20. Billy Clifford
21. Marko Marin
22. Oriol Romeu
23. Patrick Van Aabholt
24. Gael Kakuta
25. Lucas Piazon
26. Milan Lalkovic
27. Thorgan Hazard

Pamoja na wachezaji wote hao, bado timu inaendelea kusajili na kusajili. Lini mdogo wetu nditi atapata nafasi ya kucheza first team?? Unataka kumnunua Fillipe Luis huku unampeleka kwa mkopo Kalas!! Hapo kuna akili kweli?? Unamuuza Luiz ili umnunue Fillipe!!

Ni ngumu sana kuitetea management ya kijinga kama ya Chelsea. When will these young men come to first team?? Hili ni Tatizo la Mourinho hata Real Madread alikuwa akilaumiwa kwalo. So disgusting.

David Luiz, = beki wakati au kiungo mkabaji.
Fillipe Luis, = beki wa kushoto,[kumbuka, Ashley Cole amendoka]


Nakuweka sawa kwa hilo. Pia kumbuka Luiz M.50, Fillipe Luis M.19 sasa huoni hiyo ni biashara bab kubwa?

Tomas Kalas hawezi kuanza wakati Terry na Cahill wapo fiti, sasa badala ya kukaa tu benchi, bora akapashe kule Bundesliga..

 
Wafuatao ni wachezaji wa Chelsea walio nje na wataokwenda nje kwa mkopo;

1. Kurt Zouma (defender)
2. Christan Atsu (midfielde)
3. Matej Delac
3. Thibout Courtois
4. Wallace
5. Bertrand Traore
6. Ulises Davilla
7. Cristian Cuevas
8. Stpe Perica
9. Patrick Bamford
10. Tomas Kalas
11. Romelu Lukaku
12. Nathaniel Chalobah
13. Josh McEachran
14. Ryan Bertrand
15. Todd Kane
16. George Saville
17. Jhon Pirez
18. Victor Moses
19. Kenneth Omeruo
20. Billy Clifford
21. Marko Marin
22. Oriol Romeu
23. Patrick Van Aabholt
24. Gael Kakuta
25. Lucas Piazon
26. Milan Lalkovic
27. Thorgan Hazard

Pamoja na wachezaji wote hao, bado timu inaendelea kusajili na kusajili. Lini mdogo wetu nditi atapata nafasi ya kucheza first team?? Unataka kumnunua Fillipe Luis huku unampeleka kwa mkopo Kalas!! Hapo kuna akili kweli?? Unamuuza Luiz ili umnunue Fillipe!!

Ni ngumu sana kuitetea management ya kijinga kama ya Chelsea. When will these young men come to first team?? Hili ni Tatizo la Mourinho hata Real Madread alikuwa akilaumiwa kwalo. So disgusting.

FYI.

Kijana acha kudanganya umma. Hao wachezaji wote kwenye rangi nyekundu, na kwa kweli karibu 90% ya wote kwenye list hiyo Jose Mourinho kawakuta, i.e. hajawasajili yeye. Kwa maana ya kwamba si kosa lake kwa hao kuwa kwa mkopo.

Courtois mbona anarudi msimu huu? subiri msimu uanze uone mambo..najua unaumia sana kugundua kwamba Chelsea Fc ina base kubwa ya wachezaji. Wakikomaa wanauzwa kama De Bruyne ama vipi! Ngoja tuendelee na mambo yetu, Cesc Fabregas, Diego Costa, Courtois, Fillipe Luis..msimu huu, tutaheshimiana tu.



 
Hiyo ndo tunaita PURE BUSINESS!

Kama ilivyokuwa ya Matic. Chelsea ina hazina kubwa ya wachezaji na wengi ni wenye vipaji na vijana wadogo ambao wanaweza kufanya mambo makubwa. Kwakuwa Chelsea imejengwa kwenye misingi ya kununua na kununua, ndio maana pamoja na idadi kubwa ya vijana ndani ya club hii utawasikia wakikimbilia kununua tena wazee.
 
FYI.

Kijana acha kudanganya umma. Hao wachezaji wote kwenye rangi nyekundu, na kwa kweli karibu 90% ya wote kwenye list hiyo Jose Mourinho kawakuta, i.e. hajawasajili yeye. Kwa maana ya kwamba si kosa lake kwa hao kuwa kwa mkopo.

Courtois mbona anarudi msimu huu? subiri msimu uanze uone mambo..najua unaumia sana kugundua kwamba Chelsea Fc ina base kubwa ya wachezaji. Wakikomaa wanauzwa kama De Bruyne ama vipi! Ngoja tuendelee na mambo yetu, Cesc Fabregas, Diego Costa, Courtois, Fillipe Luis..msimu huu, tutaheshimiana tu.

kununuliwa kabla ya Mourinho kuja haiwatolei haki ya kuwa wachezaji wa Chelsea, ndio maana hata hao ambao hakuwanunua anawatumia. Labda nambie amemnunua Oscar?? Cahil, Je, alimnunua Azpiliqueta??

Betrand amepelekwa kwa mkopo na hatimaye atauzwa, kwanini asizibe namba ya Cole?? Hivi kwenye idadi yote ya vipaji nilivyotaja hapo juu hakuna anayeweza kuziba pengo la Cole?? Vipi Kuhusu Azpilicueta ambaye pamoja na kuwa beki wa kulia kamudu vema upande wa kushoto??

Come up kaka, falsafa ya Mourinho itakuja kuwagharimu nawaambieni.
 
David Luiz, = beki wakati au kiungo mkabaji.
Fillipe Luis, = beki wa kushoto,[kumbuka, Ashley Cole amendoka]


Nakuweka sawa kwa hilo. Pia kumbuka Luiz M.50, Fillipe Luis M.19 sasa huoni hiyo ni biashara bab kubwa?

Tomas Kalas hawezi kuanza wakati Terry na Cahill wapo fiti, sasa badala ya kukaa tu benchi, bora akapashe kule Bundesliga..


As usual timu ikiwafunga mtataka kununua kila mtu. hahahahahha.
 
Si nilikwambia wewe una matatizo ya ushabiki? sasa maneno makali ya nini kama wewe ni mtu wa mpira?
Hao wote wanaocheza kwa mkopo aliwapeleka MOU?

Ujinga si matusi kaka. Tafuta maana ya neno "jinga". I wish I could buy all loaned Chelsae's players na kuanzisha timu yangu. Naamini ningekuwa na bonge la timu zaidi ya spurs na Arsenal!!!
 
FYI. jose Mourinho ni kocha pekee kuwahi kuifundisha Real de Madrid na kufikisha pointi 100 kwenye msimu wa ligi.

Kuhusu mdogo wako Nditi kukosa namba, kumbuka kwamba si lazima acheze Chelsea Fc, mbona hata Man Utd walimfukuza Paul Pogba na leo anang'aa pale Juventus?


Ni jambo la kawaida kwneye mpira kwa kocha kununua wachezaji kulingana na mahitaji yake ili atimize kila kilichomfanya apewe kazi. Watoto wa Umitashumta hawawezi kuleta makombe..

man utd hawakumfukuza PAUL POGBA.......

mwenzio pundit maarufu wa bbc match of the day MR HANSEN aliwahi kutoa kauli hii wakati SIR ALEX FURGUSON anawapandisha CLASS OF '92....THE REST IS HISTORY EUFA CHAMPIONS LEAGUE TROPHY AND MANY EPL TITLES.

 
Hebu twende taratibu kaka. Keleta ushabiki unamaanisha nini?? Mimi ni shabiki wa mpira na ndio maana nimechangia hapa. Kuhusu dogo De Bruyne ni kwamba ni miongoni mwa vijana wadogo ambao timu ya Chelsea iliwanunua na kumuacha timu aliyonunuliwa kwa msimu wa 2012. Msimu uliofuata 2012/2013 alipelekwa kwa mkopo na alipoonekana amefuzu alirejeshwa Chelsea kwa ajili ya kuja kuchezea timu kubwa. Ila bahati yake mbaya akakutana na mtu asiyejua kuwajenga watoto kisaikolojia Mr. Mourinho ambaye dogo alipokosea mechi mbili tu Mourinho alitoka nje na kuanza kumponda na kumkatisha tamaa. Kama ilivyokuwa kwa Lukaku, dogo alikata tamaa na ikalazimika kumuuza kwa Paund 18m. Hebu nambie kijana aliyenunuliwa miaka miwili tu nyuma kwa paundi 7m anapouzwa kwa 18m je huyo ni mbovu??

Kuna kitu ambacho unatakiwa ukifahamu kaka. Mourinho anatatizo la kutowaamini vijana na ndio maana hivi sasa yuko busy kununua wachezaji wapya huku akiua vipaji zaidi ya 20 vilivyopelekwa kwa mkopo timu nyingine. Lukaku alipelekwa kwa mkopo na kufunga goli 17, je washambuliaji wote waliobaki Chelsea walifunga goli ngapi?? Leo hii Mourinho na hicho unachokiita wewe uongozi wa Chelsea umakazana kununua Coasta, mtu ambaye ni prone wa majeraha na atakuwa na muda mrefu wa kujiadabt kwenye ligi ya uingereza huku wakimuacha Lukaku ambaye sasa amekuwa na yuko katika hali nzuri.

I won't wonder kama akina Ake, Omruo, na vijana wengine wakaishia kupoteza ndoto zao. Timu ya Chelsea chini ya Mourinho ni timu inayotaka ushindi wa muda mrefu. I'm sure na msimu huu mtaambulia patupu. Ilikuwa ndio muda wa kuwarudisha vijana waje wacheze na kuwaamini. Ila ndio kwanza mnaongeza msururu wa mibabu.

Usitake kumweka Mourinho nje ya lawama hizi.

una points nzuri sana...lakini tatizo mtani wangu agosti 8 atamtetea Mourinho kwa kila kitu.
 
Last edited by a moderator:
FYI. jose Mourinho ni kocha pekee kuwahi kuifundisha Real de Madrid na kufikisha pointi 100 kwenye msimu wa ligi.

Kuhusu mdogo wako Nditi kukosa namba, kumbuka kwamba si lazima acheze Chelsea Fc, mbona hata Man Utd walimfukuza Paul Pogba na leo anang'aa pale Juventus?


Ni jambo la kawaida kwneye mpira kwa kocha kununua wachezaji kulingana na mahitaji yake ili atimize kila kilichomfanya apewe kazi. Watoto wa Umitashumta hawawezi kuleta makombe..

The way jinsi Real Madrid wanainvest wanastahili kufikisha hata point 110 ,hii ya kufikisha point 100 hata Villanova alifanya hicho kitu kwa La Liga its posible,mwambie afanye hivyo hapa England.Morinyo sio kocha anayependa wachezaji chipukizi focus yake ni mafanikio ya muda .Mashabiki wengi wa Chelsea hawawezi kum-critisize Mourinho hata kama anachemka
 
kununuliwa kabla ya Mourinho kuja haiwatolei haki ya kuwa wachezaji wa Chelsea, ndio maana hata hao ambao hakuwanunua anawatumia. Labda nambie amemnunua Oscar?? Cahil, Je, alimnunua Azpiliqueta??

Betrand amepelekwa kwa mkopo na hatimaye atauzwa, kwanini asizibe namba ya Cole?? Hivi kwenye idadi yote ya vipaji nilivyotaja hapo juu hakuna anayeweza kuziba pengo la Cole?? Vipi Kuhusu Azpilicueta ambaye pamoja na kuwa beki wa kulia kamudu vema upande wa kushoto??

Come up kaka, falsafa ya Mourinho itakuja kuwagharimu nawaambieni.



Kuna ama ushabiki au kutoelewa....

Betrand bado hajaiva kuchezea kikosi cha kwanza cha Chelsea.
Kuhusu Azpilicueta kumudu kucheza kushoto ni kweli kabisa, lakini huwezi kuendelea hivyo kwenye mashindano yote, na kuwa na ubora unaohitajika kuwa bingwa, ndo maana tumekuwa #3, jamani msimu huu lengo letu ni #1. Acheni kutushauri vibaya...

 
Mourinho alifikisha pointi 95 kwenye EPL, pointi 5 tu pungufu ya 100. SAF kafungisha kwa miaka 26 lakini hajawahi kufikisha kiasi hicho cha pointi

Tito Vilanova, alifikia pointi 100 baada ya Mourinho kuweka rekodi hiyo. Kataa kubali, Jose Mourinho anakufanya ufikiri na ufanye kazi kwa bidii. Bila Mou, ligi inapooza,,that's why he's the special one.




The way jinsi Real Madrid wanainvest wanastahili kufikisha hata point 110 ,hii ya kufikisha point 100 hata Villanova alifanya hicho kitu kwa La Liga its posible,mwambie afanye hivyo hapa England.Morinyo sio kocha anayependa wachezaji chipukizi focus yake ni mafanikio ya muda .Mashabiki wengi wa Chelsea hawawezi kum-critisize Mourinho hata kama anachemka
 
only constructive criticism ..kosoa kwa akili si unakosoa tu kama mpira wa makaratasi. Timu inaweza kuwa na wachezaji wengi ..timu haijashindwa kuwatunza hao wa mkopo, so what's the issue?



forever blue.


The way jinsi Real Madrid wanainvest wanastahili kufikisha hata point 110 ,hii ya kufikisha point 100 hata Villanova alifanya hicho kitu kwa La Liga its posible,mwambie afanye hivyo hapa England.Morinyo sio kocha anayependa wachezaji chipukizi focus yake ni mafanikio ya muda .Mashabiki wengi wa Chelsea hawawezi kum-critisize Mourinho hata kama anachemka
 
Huwezi kukata tawi la mti ambalo umekalia wakuu..
Huu si wakati wa kubwabwaja wakati ligi bado, tuko bize na usajili na kuimarisha timu ya mataji ambayo itasumbua kwa muda mrefu sana...tena sana.

Mkuu RRONDO, najua sasa umetulia Van Gaal anakupa kicheko tu, maana msimu ulopita ulikuwa PSG na ATM.


una points nzuri sana...lakini tatizo mtani wangu agosti 8 atamtetea Mourinho kwa kila kitu.
 
Ujinga si matusi kaka. Tafuta maana ya neno "jinga". I wish I could buy all loaned Chelsae's players na kuanzisha timu yangu. Naamini ningekuwa na bonge la timu zaidi ya spurs na Arsenal!!!


while you are only wishing, CHELSEA FC are doing the real thing.
 
Ni kweli RRONDO, that can't work now, ndo maana hata nyinyi watani wetu hamkuweza kumvumilia Moyes kwa sababu hakuna muda wa kusubiri..
man utd hawakumfukuza PAUL POGBA.......

mwenzio pundit maarufu wa bbc match of the day MR HANSEN aliwahi kutoa kauli hii wakati SIR ALEX FURGUSON anawapandisha CLASS OF '92....THE REST IS HISTORY EUFA CHAMPIONS LEAGUE TROPHY AND MANY EPL TITLES.

 
Ujinga si matusi kaka. Tafuta maana ya neno "jinga". I wish I could buy all loaned Chelsae's players na kuanzisha timu yangu. Naamini ningekuwa na bonge la timu zaidi ya spurs na Arsenal!!!

CHELSEA FC hairidhika kuwa bora kuliko ARSENAL na SPURS. ordinary people think that way. but me, and CHELSEA FC haitoshi tu kuizidi ARSENAL, hata mwaka huu tumewazidi mbona, tena tuliwafunga 6-0.
Spurs nao tuliwafunga 4-0.

Mpira wa leo ni mataji kwanza, burudani baadaye.. tunataka ubingwa ndo maana tunatengeneza kikosi cha ubingwa. Si kuwa #2, #3, au #4.

chelsea fc - forever blue.
 
chelsea+flag.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom