Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

habari hzi zimenisikitisha sana. ni mara mia angeuzwa Matic. kwangu mimi nilipenda D. luiz akicheza kati kuliko beki..ila ndo hivyo tena.

mimi naona sawa jose kumtoa luiz,kwani kwetu beki sioshida sana tatizo lipo kwa playmeker na forward.
 
article-2638895-1D7BD5E700000578-386_634x405.jpg



Off the pitch: Trophyless Chelsick are worth £298million as a brand
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Nilijua tu mtalileta hili...!


Mkuu Mentor; Pole sana. Ni kawaida katika maisha. Changes must come.
I loved David Luiz;
but we still have other players to help us go on and prosper.
CFC - BLUE FOREVER.

Matic and Mikel in the midfield.
Terry and Cahill at the back.

i believe in CFC not in any individual player.
 
Figo aliondoka Barca na bado waka move on. Cristiano nae akaondoka Man U na bado timu ikaendelea.
So nothing is new as life has to go on.
Chelsea Fc forever....:thumbup:
 
Morinho makes mistakes,our team was better before he started his sellings
 
Hata Man Utd ilikuwa na Christiano Ronaldo na ikamuuza Real Madrid. so it's a normal thing!
🙂

Ronaldo alinunuliwa kwa paundi mil 12 akacheza misimu 6 akashinda kila kombe kwenye klabu level na akauzwa kwa pauni mil 80.Kumbuka Cristiano Ronaldo mwenyewe alitaka kuondoka

Juan Mata
Chelsea walimnunua pauni mil 23 akacheza misimu 2 na nusu akauzwa pauni mil 37 Mata hakutaka kuhama Chelsea but Morinyo alimlazimisha kuhama.Nafikiri now utakuwa umeona tofauti ya scenario ya CR7 na Mata

Then kuna case ya Luiz,De Bruyne na huenda Lukaku na Cortous wakaambukia kwenye huo mkumbo
 
Morinho makes mistakes,our team was better before he started his sellings


he is the one responsible of selling and buying players ..for the winning team.
i like David Luiz, but dont forget ..sometimes he has been making serious mistakes.
the team is better than one player.

i support the team..CFC
he was not forced to go to PSG. he's decided himself. we cant force him to stay either!
 
are we talking about MATA or DAVID LUIZ?

vyovyote vile wachezaje wana uhuru wa kuhama; na kocha pia ana uhuru wa kubaki na wachezaji wanaofiti kwenye mfumo wake na falsafa yake.
Kocha wanu mpya VAN GAAL pia atakuja na falsafa yake; jiandaeni kukubaliana na uamuzi wa kocha.
Mpira wetu nyumbani wa simba na yanga unatufanya wakati mwingine tufikiri mchezaji ni mtumwa wa timu.
Kapata ofa nzuri anauzwa. timu itasajili mchezaji mwingine na maisha yataendelea.🙂
Ronaldo alinunuliwa kwa paundi mil 12 akacheza misimu 6 akashinda kila kombe kwenye klabu level na akauzwa kwa pauni mil 80.Kumbuka Cristiano Ronaldo mwenyewe alitaka kuondoka

Juan Mata
Chelsea walimnunua pauni mil 23 akacheza misimu 2 na nusu akauzwa pauni mil 37 Mata hakutaka kuhama Chelsea but Morinyo alimlazimisha kuhama.Nafikiri now utakuwa umeona tofauti ya scenario ya CR7 na Mata

Then kuna case ya Luiz,De Bruyne na huenda Lukaku na Cortous wakaambukia kwenye huo mkumbo
 
Uzuri wa Luiz alikuwa anaweza kucheza nafasi zaidi ya moja,hii FFP imemfanya Mourinho anauza wachezaji kama Wenger.De Bruyne+Mata+Luiz=Paundi mil 94


Belo mkuu; shida nini?
tangu lini kuuza mchezaji kukawa shida?
angalia uwezo wa luiz alaf angalia wapi atacheza kwenye Chelsea Fc.
utaona kwamba JM anajali maslah ya wachezaji. Kuliko akae benchi afadhali aende akapate timu ya kucheza.
akiuzwa; timu inapata pesa za kuziba mapengo. Kumbuka tunatafuta mfungaji stadi wa magoli.🙂
 
angalia uwezo wa luiz alaf angalia wapi atacheza kwenye Chelsea Fc.
Kwani hiyo misimu 2 alikuwa anacheza wapi? Kwa umri wake na uwezo wake wa kucheza zaidi ya nafasi moja alikuwa ana msaada sana kwa Chelsea.Kumbuka Terry umri ushasogea siku akiumia ndio utamkumbuka Luiz

Kumbuka tunatafuta mfungaji stadi wa magoli
Striker mnae Lukaku lakini Morinyo hamtaki pia,i hope ulimuona jana alivyotupia hat-trick

Kuuza wachezaji sio shida but tatizo unawauza wakati gani,Nakumbuka Wenger amelaumiwa sana kuwauza kina Nasri,RVP,Song na wengineo.Mourinho wa miaka 4 iliyopita alikuwa hawezi kuuza wachezaji wake ovyo ovyo.
 
Kwani hiyo misimu 2 alikuwa anacheza wapi? Kwa umri wake na uwezo wake wa kucheza zaidi ya nafasi moja alikuwa ana msaada sana kwa Chelsea.Kumbuka Terry umri ushasogea siku akiumia ndio utamkumbuka Luiz


Striker mnae Lukaku lakini Morinyo hamtaki pia,i hope ulimuona jana alivyotupia hat-trick

Kuuza wachezaji sio shida but tatizo unawauza wakati gani,Nakumbuka Wenger amelaumiwa sana kuwauza kina Nasri,RVP,Song na wengineo.Mourinho wa miaka 4 iliyopita alikuwa hawezi kuuza wachezaji wake ovyo ovyo.


dirisha la usajili halijafungwa bado;
kama kuna makosa makubwa yatakuwa yamefanyika, tutajua mwezi wa 8.
mbona hata sisi tutasajili .. tena wachezaji wazuri tu!
tulieni majirani..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom