Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
agosti 8 Nashukuru sn Kwa taarifa yake
Asanteni sana;
kila mtu ahakikishe CHELSEA FC THREAD inakuwa 'front cover'..huu ndo ushabiki wa kweli.
si wakati wa ligi tu..hata wakati huu.
tena kwenye kombe la Dunia; kwanza nashangilia popote penye mchezaji wetu; wachezaji 18 lazima kuna mmoja atabeba kombe la dunia.
:smiling:
Asanteni sana;
kila mtu ahakikishe CHELSEA FC THREAD inakuwa 'front cover'..huu ndo ushabiki wa kweli.
si wakati wa ligi tu..hata wakati huu.
tena kwenye kombe la Dunia; kwanza nashangilia popote penye mchezaji wetu; wachezaji 18 lazima kuna mmoja atabeba kombe la dunia.
:smiling:
Ni kweli Mkuu! Ntajitahidi kadri ya uwezo wng kuhakikisha kila habari motomoto naiweka humu!
CFC Forever!
mzee wa sabato ntuzu, upo ndugu kitambo sana vp naona ndoano zote ulizo2pa zimeibuka na chambo
Umenifanya nifurahi Mkuu! Kumbe unapitaga kwenye zile mada? Khe Khe Khe Khe! Mkuu Rockcity native kitambo sn mkulu hatujaonana?!
hahaha kombe linaenda italy
kitambo kweli ndugu, vipi tena eto'0 mbona anazidi kunyea kambi au yale maneno ya uzee kwa mou yanamchoma?
waandishi wa habari wa Uingereza wanampenda kumchokoza Mourinho.
Mourinho alisema huenda jamaa ni mkubwa.
Lakini mke wake wa zamani ndo aliyesema jamaa ana 39yrs.
Kama si mzee kwa nini ahangaike?
hiyo ishu ilishaisha..MEDIA wanaifufua tu!
na wewe utaacha lini kumtetea mourinho kwa kila asemacho??!!! hata mourinho alijua kasema maneno mabaya ila hayakutakiwa yatoke kuna wambea ndio wameyatoa tu. na e'to kuna siku hivi karibu alimwita mourinho fool kwahio kwake haijaisha hii issue.
waandishi wa habari wa Uingereza wanampenda kumchokoza Mourinho.
Mourinho alisema huenda jamaa ni mkubwa.
Lakini mke wake wa zamani ndo aliyesema jamaa ana 39yrs.
Kama si mzee kwa nini ahangaike?
hiyo ishu ilishaisha..MEDIA wanaifufua tu!
na wewe utaacha lini kumtetea mourinho kwa kila asemacho??!!! hata mourinho alijua kasema maneno mabaya ila hayakutakiwa yatoke kuna wambea ndio wameyatoa tu. na e'to kuna siku hivi karibu alimwita mourinho fool kwahio kwake haijaisha hii issue.
waandishi wa habari wa Uingereza wanampenda kumchokoza Mourinho.
Mourinho alisema huenda jamaa ni mkubwa.
Lakini mke wake wa zamani ndo aliyesema jamaa ana 39yrs.
Kama si mzee kwa nini ahangaike?
hiyo ishu ilishaisha..MEDIA wanaifufua tu!
Na wewe utaacha lini kumsakama Jose Mourinho?
Na wewe utaacha lini kumsakama Jose Mourinho?
hivi e'too mkataba wake umeisha??