lazma waje na kauli za kumlinda mournho wao
Wakuu RRONDO Na Rockcity native KTK kitu ambacho kimeniumiza Ni kuondoka Kwa Huyu beki alie komaa KTK soccer yeyote ile! Kwakweli nimeumia sn! Na Sijui nianzie wapi KTK kuelezea hii habari! Labda wameamua Kutengeneza Pesa Kwa hiyo m50£ . Au David Luiz mwenyew alikua haliziki kuchezeshwa no ambayo Sio Yake! Ngoja nifatilia Kwa kina hizi habari!
hio ni ofa ambayo huwezi kataa.
Wakuu RRONDO Na Rockcity native KTK kitu ambacho kimeniumiza Ni kuondoka Kwa Huyu beki alie komaa KTK soccer yeyote ile! Kwakweli nimeumia sn! Na Sijui nianzie wapi KTK kuelezea hii habari! Labda wameamua Kutengeneza Pesa Kwa hiyo m50£ . Au David Luiz mwenyew alikua haliziki kuchezeshwa no ambayo Sio Yake! Ngoja nifatilia Kwa kina hizi habari!
Ngoja nifatilia Kwa kina hizi habari!
ofa nzuri sana hiyo kwa mtu ambaye hakuwa hana namba ya uhakika.. Ila huwa akicheza kwenye ukataji umeme jamaa huwa anakichafua sana
ofa nzuri sana hiyo kwa mtu ambaye hakuwa hana namba ya uhakika.. Ila huwa akicheza kwenye ukataji umeme jamaa huwa anakichafua sana
According to Chelsea website, it is a deal done subject to medical and personal terms: DAVID LUIZ MOVE AGREED | News Article | News | Official Site | Chelsea Football Club
They bought him 21.3m about three years ago and they are selling him for about £40.
Not a bad deal at all for Chelsea and Luiz.
Pia kaijiwekea record. He will be the world most expensive defender ahead of Thiago Silva from AC Milan to PSG (£36).
Nakubali ofa nu nzuri na ndo Maana aya Mimi Nimesema huenda Chelsea wameamua Kutengeneza Pesa! Lkn jamaa alikua vzr ana vitu Vya pekee Ni kwamba Jose Nafikiri anawaogopa waingereza Ndio Maana alikua hampi nafasi KTK no yake halisi! Maana Nakumbuka wakati Wa Di Mateo, alikua anampa nafasi sn tu DL Na alifanya vzr sn KTK CL etc!
Mkuu EMT nimesoma hiyo habari Kwa wavuti ya Chelsea! Kweli Ni faida kumuuza lkn wamengemuacha angalau Kwa misimu miwili hivi! Ndio ametusaidia kuchukua makombe mawili makubwa ya ulaya! Lkn bado mi Nafikiri mchango wake KTK timu bado ulikua unahitajika! Kwasababu Sioni mbadala wake pale!
Siyo pesa tuu. FFP rules have forced them to sell and then use the money to buy a striker.
Mabeki wapo wengi akina Kalas na Chalobah are defensive options.
Pia watu wamemsahau central defender Zouma aliyenunuliwa in January for 12m?
Kweli hao beki wapo lkn wanahitaji muda kidogo kufiks Kiwango ata cha Luiz! Sema Ni HIZO sheria ZAO!
Hawatafikisha hicho kiwango kama hawapewi chance.
Mfano, Kalas played only one top game and he was all good.
Hata kama ingekuwa siyo hizo sheria, bado ningeuza then nitumie hiyo pesa kununua top striker na msaidizi wake.
Beside Chelsea inabidi wafanye massive clearance.
habari hzi zimenisikitisha sana. ni mara mia angeuzwa Matic. kwangu mimi nilipenda D. luiz akicheza kati kuliko beki..ila ndo hivyo tena.