Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Najua kabisa Morinho atatimuliwa kwani anaiharibu ile timu bana.
 


Matic ni mchezaji mzuri wa aina yake.

David Luiz anacheza jukumu tofauti kwenye kiungo, jukumu lake lilikuwa ni 'destroyer'
Nemanja Matic, anacheza kiungo tofauti, anatoa pasi za kwenda mbele, anakaba, ni mtulivu zaidi.

I don't like arquing with you my brother.🙂
 
kuna wachezaji wengi wazuri watakuja. wakija uje pia kutusifia.

tumewauzia MATA lakini bado mmebaki #7 jirani. Timu ni muhimu kuliko mchezaji mmoja.


Kwani hiyo misimu 2 alikuwa anacheza wapi? Kwa umri wake na uwezo wake wa kucheza zaidi ya nafasi moja alikuwa ana msaada sana kwa Chelsea.Kumbuka Terry umri ushasogea siku akiumia ndio utamkumbuka Luiz


Striker mnae Lukaku lakini Morinyo hamtaki pia,i hope ulimuona jana alivyotupia hat-trick

Kuuza wachezaji sio shida but tatizo unawauza wakati gani,Nakumbuka Wenger amelaumiwa sana kuwauza kina Nasri,RVP,Song na wengineo.Mourinho wa miaka 4 iliyopita alikuwa hawezi kuuza wachezaji wake ovyo ovyo.
 
Mie sio mgeni ndugu na pia ni shabiki wa Chelsea ila kumuachia Luiz na Terry ndo amezeeka
 
roberto di matteo alifukuzwa kwa sababu aliharibu timu?
carlo ancelotti alifukuzwa kwa sababu aliharibu timu?

kocha kufukuzwa ni jambo la kawaida andybird."Coaches are hired to be fired"

but remember there is still time for JOSE MOURINHO to collect trophies for CFC.

as Chelsea we never give up!
Najua kabisa Morinho atatimuliwa kwani anaiharibu ile timu bana.
 
Mie sio mgeni ndugu na pia ni shabiki wa Chelsea ila kumuachia Luiz na Terry ndo amezeeka

unaweza kulinganisha kiwango cha Terry msimu huu katika beki wa kati na David Luiz?
show respect to the captain please..

David Luiz ni mchezaji mzuri; ila perfomance yake haiko level. Siku akiamka vizuri anakuwa sawa, siku akiamka vibaya majanga.

Kiungo kimejaa mafundi.
 
[h=1]David Luiz thanks Chelsea players, staff and fans ahead of £50million switch to PSG[/h]
  • Chelsea confirm David Luiz has passed a medical and agreed terms with PSG ahead of £50m switch
  • Brazil international will become the world's most expensive defender


 
Najua kabisa Morinho atatimuliwa kwani anaiharibu ile timu bana.


tuwe tunafikiri kabla ya kusema jamani!

unajua faida ambayo Chelsea Fc imepata kwa kumuuza David Luiz?
Uongozi wa Chelsea hauwezi kuchukia hata kidogo.

Ni mara ya kwanza kwa Chelsea Fc katika karne hii kuuza mchezaji kwa gharama kubwa kiasi hicho.

 
unajua pesa ambayo CHELSEA FC imevuna kwa kumuuza DAVID LUIZ?

Kwani hiyo misimu 2 alikuwa anacheza wapi? Kwa umri wake na uwezo wake wa kucheza zaidi ya nafasi moja alikuwa ana msaada sana kwa Chelsea.Kumbuka Terry umri ushasogea siku akiumia ndio utamkumbuka Luiz


Striker mnae Lukaku lakini Morinyo hamtaki pia,i hope ulimuona jana alivyotupia hat-trick

Kuuza wachezaji sio shida but tatizo unawauza wakati gani,Nakumbuka Wenger amelaumiwa sana kuwauza kina Nasri,RVP,Song na wengineo.Mourinho wa miaka 4 iliyopita alikuwa hawezi kuuza wachezaji wake ovyo ovyo.
 
unajua pesa ambayo CHELSEA FC imevuna kwa kumuuza DAVID LUIZ?


Ndio maana nakwambia FFP imemfanya Jose amekuwa kama Wenger,now misimu 2 mfululizo amekuwa msindikizaji.Chelsea walimnunua Luiz £ mil 21+Matic then ikabidi kumnunua tena Matic kwa £ mil 21 na mnamuuza Luiz kwa £ mil 40,tuambie hayo mapesa waliyovuna
 
Ndio maana nakwambia FFP imemfanya Jose amekuwa kama Wenger,now misimu 2 mfululizo amekuwa msindikizaji.Chelsea walimnunua Luiz £ mil 21+Matic then ikabidi kumnunua tena Matic kwa £ mil 21 na mnamuuza Luiz kwa £ mil 40,tuambie hayo mapesa waliyovuna


Thamani ya Nemanja Matic ilikuwa ndogo, haikuzidi M.4.
therefore: 21+4 = 25.

thus taking 40-25 = 15M

profit = 15M. [pure business]
 
Ndio maana nakwambia FFP imemfanya Jose amekuwa kama Wenger,now misimu 2 mfululizo amekuwa msindikizaji.Chelsea walimnunua Luiz £ mil 21+Matic then ikabidi kumnunua tena Matic kwa £ mil 21 na mnamuuza Luiz kwa £ mil 40,tuambie hayo mapesa waliyovuna


Hela ya kumnunua Matic kwenye usajili wa januari; ilipatikana kutokana na hela tuliyovuna kwenu:
Tuliwauzia Mata kwa M.37.

so, taking 37M - 21M = 16M
Mohammed Salah's fee = 11.

16M-11M = 5M
thus 5M = profit.
 
Ndio maana nakwambia FFP imemfanya Jose amekuwa kama Wenger,now misimu 2 mfululizo amekuwa msindikizaji.Chelsea walimnunua Luiz £ mil 21+Matic then ikabidi kumnunua tena Matic kwa £ mil 21 na mnamuuza Luiz kwa £ mil 40,tuambie hayo mapesa waliyovuna

Luiz, 27, was signed from Portuguese side Benfica in Jan. 2011. Jose Mourinho is now in the middle of remodelling his club according to new home grown quotas and UEFA Financial Fair Play restrictions and David Luiz' sale would help fund summer shopping. Another big move by the blues for the summer includes the signing of Atlético Madrid's Diego Costa.
David Luiz had been linked not only to PSG but also to a possible move to Bundesliga Champions Bayern Munich and Barcelona who are also looking to revamp their squads.
With a price tag of £50 million, Luiz becomes the world's most expensive defender and will aim to make his mark with Swedish superstar Zlatan Ibrahimovic in Paris.

Chelsea will be looking at French defender Kurt Zouma to take over Luiz' spot in the Chelsea squad after the summer. Zouma was signed from St Etienne for £12.5m in January.



 
Thamani ya Nemanja Matic ilikuwa ndogo, haikuzidi M.4.
therefore: 21+4 = 25.

thus taking 40-25 = 15M

profit = 15M. [pure business]

Usichanganye mada mkuu deal ya Mata ni nyingine kabisa but deal la Luiz/Matic ni moja ukianza
Luiz 25+Matic 21=46
Mauzo ya Luiz 40
Profit=-6
Siyaoni hayo ”mapesa” mliyovuna
FFP imemfanya Morinyo hana tofauti na Wenger
 
prophy-less for how many seasons?
compare with your ARSENAL group.


For 19 days unachemaje? khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee OK I will give you a month .... ..... ... .tick tick ... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na weye Je? Au unahechabu na lile la vifaranga? khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
For 19 days unachemaje? khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee OK I will give you a month .... ..... ... .tick tick ... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na weye Je? Au unahechabu na lile la vifaranga? khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


so what is your point?
 
Usichanganye mada mkuu deal ya Mata ni nyingine kabisa but deal la Luiz/Matic ni moja ukianza
Luiz 25+Matic 21=46
Mauzo ya Luiz 40
Profit=-6
Siyaoni hayo ”mapesa” mliyovuna
FFP imemfanya Morinyo hana tofauti na Wenger


that is just one angle of the issue!

sema wachezaji wote waliouzwa na kusajiliwa;
kumuuza Luiz kwa M.40 ni faida ambayo timu yoyote yenye akili haiwezi kukataa.

🙂
 
article-2638895-1D7BD5E700000578-386_634x405.jpg



Off the pitch: Trophyless Chelsick are worth £298million as a brand
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

so what is your point?

Khe Khe Khe Kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom