Bwawa la maini leo hamna chenu, Chelsea yarudi kileleni kwenye EPL.
Liverpool wamezinduka sasa
Hongera zenu
Tumerudi kwa kupitia mgongo wa mtu mzima..hakuna cha bwawa wala nn..
Kama hamtakuwa na majeruhi ya muda mrefu na kuacha kupoteza mechi ambazo hamstahili kupoteza kama ile ya last week basi mna nafasi kubwa ya kuutwaa ubingwa 2009/2010.
Kama hamtakuwa na majeruhi ya muda mrefu na kuacha kupoteza mechi ambazo hamstahili kupoteza kama ile ya last week basi mna nafasi kubwa ya kuutwaa ubingwa 2009/2010.
Tatizo letu litakuwa kubwa wakati wa ACN tukiwakosa Drogba, Essien, Mikel na Kalou....hivyo tunatakiwa kushinda mechi nyingi iwezekanavyo ili kucompensate for any loss ahead.
Tatizo letu litakuwa kubwa wakati wa ACN tukiwakosa Drogba, Essien, Mikel na Kalou....hivyo tunatakiwa kushinda mechi nyingi iwezekanavyo ili kucompensate for any loss ahead.
Peasant!! sio tatizo kubwa sana kuwakosa hao jamaa, ukizingatia hatutakuwa na gemu ya kutisha sana, hapo tunamuhitaji Essien arudi mapema kuliko wengine wote, drogba tunaweza kulazimisha viraka vikaziba pengo lake ila kwa Mr Essien, kazi ipo. mechi za kipindi cha ACN ni hizi,
Jan 9/2010 Hull v Chelsea,
Jan 16 Chelsea v Sunderland,
Jan 27 Chelsea v Birmingham,
Jan 30 Burnley v Chelsea, na
Feb 6 Chelsea v Arsenal,
Gemu ambayo inaonekana ni ngumu ni hii ya mwisho, japo inategemea timu zilizoingia fainali, wachezaji wengi watakuwa wamesharudi.
Kwa hiyo the bluees bado tuna nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa.
Peasant!! sio tatizo kubwa sana kuwakosa hao jamaa, ukizingatia hatutakuwa na gemu ya kutisha sana, hapo tunamuhitaji Essien arudi mapema kuliko wengine wote, drogba tunaweza kulazimisha viraka vikaziba pengo lake ila kwa Mr Essien, kazi ipo. mechi za kipindi cha ACN ni hizi,
Jan 9/2010 Hull v Chelsea,
Jan 16 Chelsea v Sunderland,
Jan 27 Chelsea v Birmingham,
Jan 30 Burnley v Chelsea, na
Feb 6 Chelsea v Arsenal,
Gemu ambayo inaonekana ni ngumu ni hii ya mwisho, japo inategemea timu zilizoingia fainali, wachezaji wengi watakuwa wamesharudi.
Kwa hiyo the bluees bado tuna nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa.
Chelsea could move for Patrick Vieira as cover for Michael Essien and John Obi Mikel when they are away on African Cup of Nations duty in January - if the club can challenge its transfer ban
John Terry (Mr Chelsea) Kept in his back pocket very quite Torres! Bring the Arsenal
Really? thought you would like to say hi to your beloved Wigan?