Mndundu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 233
- 34
Torres anacheza kama lone straika, anakabwa na watu wanane sasa sijui huo mpira ataupitisha wapi mpaka utinge nyavuni!
Kila timu inakaba kinyama, kila mchezaji ni beki ...Asavali Chelsea inakipiga na straika wawili.
Mido mwaka huu ipo tete kidogo ndio maana anajaribu kuilinda, lakini mda unavyoenda chelsea watatoa tu nafasi maana watapata uroho wa goli