NGANU
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,919
- 393
ushapata hilo goli???
Basi mkuu wameniangusha sana
ila si mbaya tutawavunja darajani.
ushapata hilo goli???
Boring match...Hongereni wapaki Bus
Boring match...Hongereni wapaki Bus
Haya natokeo yakubaki hivi hivi..Roho itaniuma sana!
boring...but its the result Mou wanted..
Sizinga nachelea kusema "I told you so"Shwari bila shari Mkuu, nasubiria mtanange wa leo ila sidhani kama kutakua na mpira mzuri saana kwa sababu hizi team zote ni team za kujaza watu kwenye dimba la chini na kushambulia kwa kushtukiza
Yaani, Mkuu Kalou, hiyo "Mou" ulvyoitaja, utafikiri ni rafiki yako wa kariiiiiiiiibu sana!!!
ifike mahala huyu jamaa afundishe watu mpira wa kisasa! Nakwenda kuangalia mpira kwa pesa yangu niliyoitafuta kwa jasho! Halafu sienjoy football hata kidogo,hii siyo sawa! Huu mtindo wa soka la mwaka 47 uishe sasa.
ifike mahala huyu jamaa afundishe watu mpira wa kisasa! Nakwenda kuangalia mpira kwa pesa yangu niliyoitafuta kwa jasho! Halafu sienjoy football hata kidogo,hii siyo sawa! Huu mtindo wa soka la mwaka 47 uishe sasa.
ifike mahala huyu jamaa afundishe watu mpira wa kisasa! Nakwenda kuangalia mpira kwa pesa yangu niliyoitafuta kwa jasho! Halafu sienjoy football hata kidogo,hii siyo sawa! Huu mtindo wa soka la mwaka 47 uishe sasa.
kumbe mm niko huku Dunia ya tatu,yeye yuko huko Dunia ya kwanza
what you want isnt chelsea want
Khe Khe Khe Khe
Mkuu siku tukija kwako cha kwanza Kikubwa DROO hiyo ya Kwetu then lazima tukupige! Umeona ATM walivyochanganyikiwa?