Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

hawa atletico watoke kwani watafanywa kama manure v barca kwenye fainali...
 
Chesi sasa wanapoteza muda hadi kero, kila mtu akiguswa anajiangusha analala, soka gani hili sasa?
 
Dakika 15 za mwisho the blues watapata goli hivyo mnao iombea mabaya nawashauri mlog off.
 
Aaghrr mi naenda kulala bana gemu limekua upuuzi mtupu, jamani tutaonana kesho naamini nikija hapa ntayapata matokeo bila shaka.
 
wadau dakika ya ngapi?maana hapa pressure inapanda na kushuka
 
huyu jamaa wa atl raul garcia ni beki nini chelsea... maana anaokoa tu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom