vivpi utakuwa unaweka live updates au utakuwa uko glued on tv?
masaa machache tu yajayo tutakuwa peke etu hapa....simu zitaisha chaji
Pasaka utakulaje porini mkuu? Mi nshatoka kule nipo Mt town nimejaa tele...nasubiri mtanangeUtatoka nduki mwenyewe na kusingizia uko maporini
Khe Khe Khe Khe
Mkuu ahsante kwa kunimention once again kwenye jukwaa la the blues
Ila nadhani ambacho hujui ni kuwa Mourinho huyu wa JF ni mwana Bianconeri through and through, huku huwa napita tu na mara chache sana kuona comments zangu
Kule kwetu Italia, team tunazotoka nazo kwenye ligi moja Serie A, zikiwa Ulaya huwa tunapeana tafu, ila huku kwenu naona mila zenu ni kuombeana mabaya tu
Pasaka utakulaje porini mkuu? Mi nshatoka kule nipo Mt town nimejaa tele...nasubiri mtanange
huyo Mike Dean alikuwa upande mmoja tu Ntuzu!? Acha lawama za ajabu bhana we kubali ulibanduliwa baaaasi.
Duh samahani sana mkuu...mi sikulitambua hilo, manake hiyo ID nikajua 100% ni mwana Blues....so sorry sitakumention tena, ngoja niendelee kubanana na hawa #TeamMburukenge ....
Vp shwari lakini?
Shwari bila shari Mkuu, nasubiria mtanange wa leo ila sidhani kama kutakua na mpira mzuri saana kwa sababu hizi team zote ni team za kujaza watu kwenye dimba la chini na kushambulia kwa kushtukiza
Duh mkuu ungechelewa dak 10 tu ningekwita hapa... #TeamMburukenge leo wamejazana kinyama hapa...
Karibu sn ktk thread yetu baba Mourinho!
Mpira utakua mzuri tu kwasababu ATM wanacheza 4-4-2 na Sisi tunacheza 4-2-3-1
Mkuu Naona mapema umeshatia timu!
Karibu sn! Dean hachomoki ktk lawama!
That's on paper Ntuzu, wakiwa uwanjani hizo formations zote hugeuka na kuwa 4-5-1 tena kwa Chelsea ni 5-4-1 kwa sababu Luiz huwa anakua beki wa tano
lawama kwa Mike Dean ni katika pande zote mbili na siyo 1 tu.
By the way leo turejee Vicente Calderon na natarajia updates toka kwako na siyo kukimbilia darini.
lawama kwa Mike Dean ni katika pande zote mbili na siyo 1 tu.
By the way leo turejee Vicente Calderon na natarajia updates toka kwako na siyo kukimbilia darini.
Mkuu nshapata zana za maangamizi aka #AtomicBomb , inafurukunyua kila angle....ngpja mida yetu ile ifike kwanza