Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pole na wewe maana matatizo yako ni makubwa sana kuliko yangu.:shock:
Jukwaa la watu,
Watu wenyewe ndio sisi na tutaendelea kukueleza ukweli.Kama ulianzisha hili jukwaa mwambie mod atupige ban,othewise kama kuna msiba hapa lazima tuje kutoa pole
 
Teh Teh Teh Teh

Naona Leo ndugu yng agosti 8 karudi Vzr kweli! Mtu mmoja sawa na watu8 Haya si maneno yng ni maneno ya shabiki Wa timu ilichoka iliyo nafasi ya 7 iliyofungwa na timu aliyokua akifundisha kocha zamani! Teh Teh Teh Teh RRONDO pole sn! Yani nyie ile Hali iliyokumta liver kukosa ubingwa kwa Zaidi ya miaka 20 basi kwenu itakua mara 3 Zaidi mpk 2090 Ndio mtachukua EPL sijui RRONDO utakuwepo na Belo ??

Khe Khe khe


kama zola vile; napiga machenga hadi wanaanguka hovyo...
 
true Ntuzu legend.

we are born to win.

LOOSING is NEVER OUR OPTION
Khe Khe Khe Khe

Matinez Jana kakupiga ngapi Mkuu?

Yani ile thread yenu imekosa mvuto kabisa ata thread za kule MMU ziko pouwa kabisa!

Mkuu Nzi Ndio analisongesha kila siku Lkn km Wewe ulishakula kona siku nyingi!

Timu bora lazima iwe na sababu ya Ushindi na kupoteza!

Sisi timu imejengwa kiushindi na si kupoteza!

Khe Khe Khe Khe Khe
 
Haaa mkuu taratibu tunaongelea soka tu, punguza jazba kidogo!!Kwani kuna sheria za JF zinazokataa kujadili jambo thread ya watu???Ama wewe mkuu huwa uingiii kwenye Thread za timu nyingine kuongea???Nisamehe kama nimekukera


ulipojiita "Mr.Wise" nilitegemea kwamba utakuwa na 'wisdom' kama jina lako. Simaanishi kwamba huna 'wisdom' my argument ni kwamba usipende sana kusubiri matokeo ndo uje hapa jamvini kubishana. Sisi tunajipanga na mechi yetu ya kesho.
Uwe unakuja kupongeza pia si kubishana tu.🙂
 
toa boriti kwenye jicho lako alafu utaona 'unyasi' kwenye jicho langu.
Jukwaa la watu,
Watu wenyewe ndio sisi na tutaendelea kukueleza ukweli.Kama ulianzisha hili jukwaa mwambie mod atupige ban,othewise kama kuna msiba hapa lazima tuje kutoa pole
 
poleni sana epl ya sasa ni wengine yenu mwakani..


Hata wewe mwenye 'viporo' MAN CITY umekata tamaa mapema wakati bado una michezo 4.?
Leo usiku una mechi vs WBA tayari umeshaushindwa ubingwa?

Au unamaanisha nini kusema wengine hapo kwenye red?
 
agosti 8 is fine! Analusanya data na ushahidi Wa kutosha Wa mechi ripoti akivimwaga hapa nyie wenyewe mtakimbia!

Teh Teh Teh Yule ni mtu mmoja km watu8 Teh Teh Teh Teh


kuhusu mechi yetu vs Paka Weusi 'sunderland' kuna watu wamedanganya uma na kusema kwamba 'mapaka' walishambulia; eti sisi CFC tulikuwa tunakaba:

FACTS:

Chelsea had 31 attempts on goal compared to seven for the visitors.

Fifteen of our efforts were on target. By contast, three of Sunderland's hit the target, resulting in two goals.
Sixteen of our attempts came from inside the penalty area, with 15 coming from outside the box.
Branislav Ivanovic was the only player to rattle the woodwork during the game, the Serbian seeing a header in the first half pushed on to the bar by Vita Mannone.

The Blues dominated possession for much of the game, enjoying a 62.7 per cent share of the ball, compared to 37.3 per cent for Gustavo Poyet's side.

When it came to corners we were also on top, forcing 10 over the course of the game, one of which led to the opening goal, scored by Samuel Eto'o after 12 minutes.

Sunderland were forced to defend resolutely for large parts of the match and they made eight blocks to thwart Jose Mourinho's side.

Of the aerial duels during the game, both teams won 20 of the 40 contests.

We enjoyed an 82 per cent pass completion rate.
 
Dah! Kazi kubwa. Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee nawachubiri wenye timu wapige jezi. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
ulipojiita "Mr.Wise" nilitegemea kwamba utakuwa na 'wisdom' kama jina lako. Simaanishi kwamba huna 'wisdom' my argument ni kwamba usipende sana kusubiri matokeo ndo uje hapa jamvini kubishana. Sisi tunajipanga na mechi yetu ya kesho.
Uwe unakuja kupongeza pia si kubishana tu.🙂

Aaah!!u are very wrong mkuu, wapi nilipobishana sasa!mi si mbishanaji bana, mi huwa namwambia hata ndugu yangu Ntunzu kua mimi ungoja 90mins ziamue na si maneno yangu. Ulichonistua kuongea swala la kusema kwanini tunajadili kwenye Thread yenu. Hapo ndio maana nikakuuliza Je huwa utoki kwenda ku discuss thread za watu???
 
kuhusu mechi yetu vs Paka Weusi 'sunderland' kuna watu wamedanganya uma na kusema kwamba 'mapaka' walishambulia; eti sisi CFC tulikuwa tunakaba:

FACTS:

Chelsea had 31 attempts on goal compared to seven for the visitors.

Fifteen of our efforts were on target. By contast, three of Sunderland's hit the target, resulting in two goals.
Sixteen of our attempts came from inside the penalty area, with 15 coming from outside the box.
Branislav Ivanovic was the only player to rattle the woodwork during the game, the Serbian seeing a header in the first half pushed on to the bar by Vita Mannone.

The Blues dominated possession for much of the game, enjoying a 62.7 per cent share of the ball, compared to 37.3 per cent for Gustavo Poyet's side.

When it came to corners we were also on top, forcing 10 over the course of the game, one of which led to the opening goal, scored by Samuel Eto'o after 12 minutes.

Sunderland were forced to defend resolutely for large parts of the match and they made eight blocks to thwart Jose Mourinho's side.

Of the aerial duels during the game, both teams won 20 of the 40 contests.

We enjoyed an 82 per cent pass completion rate.

SO jipongezeni sana aisee mpira kweli mlicheza!! Refa tu ndo alizingua, sijui kwann inakuwa hivi yaani, manake dakika ya mwisho tumeona matokeo tofauti na uhalisia tulivyotegemea. Ningemjua huyo mpotoshaji ningemwagia tindikali.
 
Mkuu "Mr.Wise" mimi na Ntuzu huwa tukija kule kwenu kulee ..huwa hamtaki tutoe hoja..mnatupinga kwa nguvu zote; tena hata kuna watu hutumia nguvu kuliko akili kutuzuia tusijadili hoja.

Sisi tukaona bora tuwe tunatamba hapa kwetu; si unajua jino kwa jino(simaanishi Arteta)?
Ntuzu 'alitukanwa kule kwenye jukwaa letu; mkuu unajua mambo hayo..ila sisi lazima pia tujihami. Jukwaa letu ni hoja kwa hoja.

CFC THE CHAMPIONS.:israel:
Aaah!!u are very wrong mkuu, wapi nilipobishana sasa!mi si mbishanaji bana, mi huwa namwambia hata ndugu yangu Ntunzu kua mimi ungoja 90mins ziamue na si maneno yangu. Ulichonistua kuongea swala la kusema kwanini tunajadili kwenye Thread yenu. Hapo ndio maana nikakuuliza Je huwa utoki kwenda ku discuss thread za watu???
 
HA HA HA HA
Mkuu una utani kama wa HULL CITY wememvunja jina kiungo mkabaji; Arteta sasa itabidi mumpeleke kwa dokta akaweke jino feki.

Refa hakufanya kitu yaani .. jamaa kapoteza jino hivi hivi..🙂
SO jipongezeni sana aisee mpira kweli mlicheza!! Refa tu ndo alizingua, sijui kwann inakuwa hivi yaani, manake dakika ya mwisho tumeona matokeo tofauti na uhalisia tulivyotegemea. Ningemjua huyo mpotoshaji ningemwagia tindikali.
 
SO jipongezeni sana aisee mpira kweli mlicheza!! Refa tu ndo alizingua, sijui kwann inakuwa hivi yaani, manake dakika ya mwisho tumeona matokeo tofauti na uhalisia tulivyotegemea. Ningemjua huyo mpotoshaji ningemwagia tindikali.


YAYA alipolalamika juzi kuhusu kubaguliwa watu wakacheka; ligi yao bingwa wanampa wamtakae..
Huwezi kuelewa;..kwa sababu refa alikuwa mbali sana na tukio; anaweza kuwa na uhakika kuhusu penati?
Sheria inasemaje kama refa hakuona?
Goli la kwanza; 're-bound' iliwakuta wachezaji wa Sunderland wakiwa off lakini kama kawaida; utata ukatawala.

Mechi ya Sunderland na mechi ya Villa ziligubikwa na utata wa hali ya juu. Hii inanikumbusha mechi ya 3-2 wakati Chicharito alipofunga goli akiwa off-side.
Refa wa mechi ile 'Mark Catternburg akaishia kumwambia 'Mikel Obi' nyani.

Ubaya na marefa ni kwmba 'wao hawahojiwi kutokana na uamuzi wao uwanjani.

Kule Italia mambo hayo yameharibu kabisa ligi ile..'match fixing'
 
kina nani?🙂

Waasisi wa jukwaa hili wanajulikana, hawabadili majina kama vinyoga. You aren't one of them. You're just a glory hunter khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
HA HA HA HA
Mkuu una utani kama wa HULL CITY wememvunja jina kiungo mkabaji; Arteta sasa itabidi mumpeleke kwa dokta akaweke jino feki.

Refa hakufanya kitu yaani .. jamaa kapoteza jino hivi hivi..🙂

Jina---haliwezi kuvunjwa mkuu kama inavyotaka kuvunjwa Muungano feki wa Tanzania. Arteta atabaki kuwa Arteta, kavunjwa Ramsey mguu sembuse reception? Mi naongelea Bad decision aliyofanya refa kwenye ule mchezo Chelsea akiambulia aibu kufungwa na timu ya mkiani tena kwenye mchezo muhimu zaidi ya serikali 3 wanazotaka watanzania walio wengi kwenye rasimu ya Katiba...(usinistaki hii sio siasa)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom