Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tuko hapa kutoa pole msibani kama mnavyoendaga kutoa pole kwenye misiba ya wenzenu

marehemu kafa siku ya kuingia sabato na hatafufuka siku ya pasaka kwahiyo subilini pasaka hipite ndio mseme kweli huyu marehemu....
 
Mwache aendelee kulialia dawa inaingia taratibu

Mkuu hawa jamaa na mourinho wao wamekuwa na jazba kweli na hii me nadhani ni kutokana na sababu 2.
Kwanza toka mwazo na hadi katikati ya msimu Mourinho aliendeleza mchezo wake wa "Mind games" kwa kusema kuwa yeye si title contenders wakati alikuwa nafas ya pili katika msimamo na pia kwa kusema kuwa Liver ndiyo wenye nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa na yeye alisema hivyo kwa kumkejeri BR kwamba ni kitu ambacho hakiwezi kutokea sasa sa hivi kaona liverpool wapo kileleni na yeye kabanduliwa na lower timu sasa anaanza kuweweseka kuwa marefa wa uingereza wanambania kwasababu yeye ni title contenders.
Pili kwa upande wa hawa jamaa wa hapa JF walikuwa washajitangaza kwamba wao ni 2013/2014 EPL Winners sasa baada ya Gus Poyet kufanya yake weekend hii na matumaini yao kufifia wamekuwa wakali kweli.
 
safi sana ongezeni 'pages' hapa kwetu:

timu ya 7 kwenye ligi inazomea Chelsea fc kuwa ya pili.

sasa wewe utasema ni mshabiki wa mpira au una wivu?:shock:
Mkuu hawa jamaa na mourinho wao wamekuwa na jazba kweli na hii me nadhani ni kutokana na sababu 2.
Kwanza toka mwazo na hadi katikati ya msimu Mourinho aliendeleza mchezo wake wa "Mind games" kwa kusema kuwa yeye si title contenders wakati alikuwa nafas ya pili katika msimamo na pia kwa kusema kuwa Liver ndiyo wenye nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa na yeye alisema hivyo kwa kumkejeri BR kwamba ni kitu ambacho hakiwezi kutokea sasa sa hivi kaona liverpool wapo kileleni na yeye kabanduliwa na lower timu sasa anaanza kuweweseka kuwa marefa wa uingereza wanambania kwasababu yeye ni title contenders.
Pili kwa upande wa hawa jamaa wa hapa JF walikuwa washajitangaza kwamba wao ni 2013/2014 EPL Winners sasa baada ya Gus Poyet kufanya yake weekend hii na matumaini yao kufifia wamekuwa wakali kweli.
 
kifupi timu na penalty za msimu

1:liverpool 13
2:arsenal 16
3;chelsea 13
4:man city 10

sasa sijui nani aliyeenda sana golini......!?

My point ni kwamba Liverpool na City wamecreate nafasi nyingi na wamefunga magoli mengi kuliko Chelsea hata ukiangalia top scorer chart Suarez,Sturidge,Toure,Aguero ndio wako juu
Chelsea ni defensive team ndio maana wamefungwa goli.chache ukilinganisha na City na Liverpool
 
Ajabu ni kwamba wewe umefungwa jana 2-0. Badala ya kuwaza jinsi gani ufanye ili ushiriki UCL mwakani unashinda kwenye jukwaa la watu eti 'unatoa pole kwa wafiwa' wakati wewe mwenyewe kwako kuna msiba.

mkuu unanishangaza sana.😕
marehemu kafa siku ya kuingia sabato na hatafufuka siku ya pasaka kwahiyo subilini pasaka hipite ndio mseme kweli huyu marehemu....
 
Sasa Chelsea Fc imewezaje kumfunga CITY nje na ndani: na kumfunga LIVERPOOL 2-1 mzunguko wa kwanza; kama ni kweli Chelsea fc is only defensive?
My point ni kwamba Liverpool na City wamecreate nafasi nyingi na wamefunga magoli mengi kuliko Chelsea hata ukiangalia top scorer chart Suarez,Sturidge,Toure,Aguero ndio wako juu
Chelsea ni defensive team ndio maana wamefungwa goli.chache ukilinganisha na City na Liverpool
 
Tofautisha mambo mawili:

Kuna tofauti kati ya kuwa 'offensive team' na kuwa na 'washambuliaji mahiri'

timu inaweza kuwa 'offensive hata kama haina washambuliaji hatari'


"Ni kweli Chelsea Fc msimu huu haina 'stereo type' strikers; lakini hilo halimaanisha kwmaba timu haishambulii.

usiwe biased katika hoja zako.:smile-big:
My point ni kwamba Liverpool na City wamecreate nafasi nyingi na wamefunga magoli mengi kuliko Chelsea hata ukiangalia top scorer chart Suarez,Sturidge,Toure,Aguero ndio wako juu
Chelsea ni defensive team ndio maana wamefungwa goli.chache ukilinganisha na City na Liverpool
 
Ajabu ni kwamba wewe umefungwa jana 2-0. Badala ya kuwaza jinsi gani ufanye ili ushiriki UCL mwakani unashinda kwenye jukwaa la watu eti 'unatoa pole kwa wafiwa' wakati wewe mwenyewe kwako kuna msiba.

mkuu unanishangaza sana.😕

The way mlivyokuwa mnapiga kelele hapa majiita mabingwa then mmefungwa mnaanza kulialia eti mmeonewa ili Liverpool wabebe ubingwa

Utaendelea kunishangaa sana kwa mtindo huu
 
Siwezi kukushangaa;

nawashangaa wanaokushabikia.:shock:
The way mlivyokuwa mnapiga kelele hapa majiita mabingwa then mmefungwa mnaanza kulialia eti mmeonewa ili Liverpool wabebe ubingwa

Utaendelea kunishangaa sana kwa mtindo huu
 
safi sana ongezeni 'pages' hapa kwetu:

timu ya 7 kwenye ligi inazomea Chelsea fc kuwa ya pili.

sasa wewe utasema ni mshabiki wa mpira au una wivu?:shock:

Naona unaendelea kuweweseka,nyie ndio mabingwa wa EPL 2013/2014
 
safi sana ongezeni 'pages' hapa kwetu:

timu ya 7 kwenye ligi inazomea Chelsea fc kuwa ya pili.

sasa wewe utasema ni mshabiki wa mpira au una wivu?:shock:

Siyo kuzomea mkuu hiyo ni fact na kama ingekuwa kuzomea na kuzomea ni wivu basi mashabiki wa sundland wana wivu kweli kweli maana timu yao ni ya mwisho lakin walipoifunga timu ya pili katika ligi uwanja ulichachamaa kwa kelele za ajabu.
 
Sasa Chelsea Fc imewezaje kumfunga CITY nje na ndani: na kumfunga LIVERPOOL 2-1 mzunguko wa kwanza; kama ni kweli Chelsea fc is only defensive?

So kumfunga City na Liverpool tena 2-1 ndio kigezo cha kuwa Chelsea ni better offensive team than City na Liverpool?
 
keep on talking wewe ndo unaleta hizo la la la la la kwa sababu unakuja jukwaa la watu unaanza maneno ningekuwa nimeingia kwenu ungekuwa na haki ya kushangaa.. this is our thread!
Mkuu sasa naamini Mou kawaambukiza nyie kale ka ugonjwa kake ka kuongeaa sanaaaa :lalala:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom