Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wewe mpayukaji endelea uliapa hapa jamvini kwamba PSG wangetutoa..kikowapi?
wewe baki hapo hapo sababsaba.:shock:

refa wa leo nani???msije mkamfanya na yeye akimbie mpira....tutakutana tena hapa baada ya kupewa kichapo...3-0
 
article-2609471-1D3D38CB00000578-539_634x463.jpg



article-0-1D3CDB0B00000578-24_634x475.jpg



SPAIN BOUND... #KTBFFH COME ON YOU BLUES


Let us sing the LIQUIDATOR please:

clap clap clap clap:
CHELSEA
clap clap clap clap:
CHELSEA
clap clap clap clap:
CHELSEA
clap clap clap clap:
CHELSEA.

Come on CHELSEA.:israel:
 
kasome kwanza komenti zako ulizotoa kabla ya mechi ya PSG. Ukishasoma alaf ndo uje kuongeza mambo mengine hapa..3-0 kitu gani?
Wakifunga 3-0 kwao tutawafunga 4-0 kwetu. Tumewahi kuwafunga 4-0 wakiwa na Aguero mwaka 2009.

Hatari sana Chelsea inapokuwa kwenye Champions League habari nyingine kabisa..utashangaa!:smile-big:
refa wa leo nani???msije mkamfanya na yeye akimbie mpira....tutakutana tena hapa baada ya kupewa kichapo...3-0
 
Hujui kwamba FA wanaweza kumpa 'ban' Ramires?

La kusikitisha ni kwamba kama refa ametoa penati 'fake' haiwezi kubadilishwa.
Na pia goli lilikuwa 'clear' offside.

Inanikumbusha goli mlilopewa vs Chelsea kwenye UCL mwaka 2005 enzi hizo 'goal line tech' haikuwa inatumika.

Tuko bize na mechi yetu ya leo..ON THE ROAD TO LISBON.🙂
Umesahau kuwa Ramirez nae alistahili red card lakini refa huyo huyo akaiminyia
 
sisi tuko bize na mechi ya leo; nyie hamna kazi za kufanya...

Maneno ya Jose Mourinho.

'If people want to speak about the Premier League now there are 19 other teams in England. Chelsea tomorrow is in the Champions League and we are only speaking about the Champions League.

'It is a Champions League semi-final against a team I know well, and I think every player and every manager wants to play this game.'


agosti 8. Niaje mwana?????!!
 
agosti 8 km watu8

Khe Khe khe Khe Khe Khe

Kumekucha tena! Karibuni sn bandugu wote tulisongeshe,!

MosDef mzima Wewe kijana? Baba Kelvin haonekani kabisa! Vp Yule jamaa mtumia nguvu kujenga hoja, yupo?

Khe Khe Khe Khe

Leo tuko Madrid tunaanza safari yetu ya kwenda LISBON=URENO.

Mkuu Mentor asante sn kwa picha MUZURI SN!


Karibuni sn!
 
Last edited by a moderator:
sisi tuko bize na mechi ya leo; nyie hamna kazi za kufanya...

Maneno ya Jose Mourinho.

'If people want to speak about the Premier League now there are 19 other teams in England. Chelsea tomorrow is in the Champions League and we are only speaking about the Champions League.

'It is a Champions League semi-final against a team I know well, and I think every player and every manager wants to play this game.'



We are only speaking about champions league in 19 teams in EPL. Khe Khe Khe Khe Khe

Loserfool mpo? City mpo? Sizinga mpo? Belo na RRONDO wazee Wa no 7 mpo?

Khe Khe Khe Khe

We are not talking only about EPL, we do talk about CL as well!

Mkuu agosti 8 Pamoja sn! Leo nipo humu ntalisongesha mpk wakimbie wote baada ya game!
 
Last edited by a moderator:
one man show; aka jeshi la mtu mmoja.🙂
agosti 8 km watu8

Khe Khe khe Khe Khe Khe

Kumekucha tena! Karibuni sn bandugu wote tulisongeshe,!

MosDef mzima Wewe kijana? Baba Kelvin haonekani kabisa! Vp Yule jamaa mtumia nguvu kujenga hoja, yupo?

Khe Khe Khe Khe

Leo tuko Madrid tunaanza safari yetu ya kwenda LISBON=URENO.

Mkuu Mentor asante sn kwa picha MUZURI SN!


Karibuni sn!
 
refa wa leo nani???msije mkamfanya na yeye akimbie mpira....tutakutana tena hapa baada ya kupewa kichapo...3-0


kwa sababu mpira ni urafiki; naomba nitumie fursa hii adhimu kukupa wewe ndugu RRONDO na wenzako wa MANCHESTER UNITED pole zangu za dhati kabisa kwa haya yaliyowapata: Sasa na nyie mmeanza kufukuzana: Si tatizo kubwa; tatizo lenu ni kuleta hao mnaowaita 'chosen one':


[h=1]David Moyes SACKED! Chief Woodward delivers news to failed Man United boss in early morning Carrington meeting with Ryan Giggs to take charge until end of season[/h]
  • Moyes thanked Carrington staff after learning his fate
  • Chief executive Ed Woodward delivered news to Moyes face-to-face
  • Club thanks Moyes for 'hard work, honesty and integrity'
  • Glazer family lost patience after dismal season at home and abroad
  • Final straw came in Sunday's miserable 2-0 defeat at old club Everton
  • United are seventh in Premier League, 13 points off fourth place
  • Holland coach Van Gaal lined up as replacement
  • Giggs will take caretaker charge for Saturday's home match with Norwich
 
one man show; aka jeshi la mtu mmoja.🙂



Mkuu Pamoja sn! Leo ATM lazima wakae!

Nafurahi sn kuona safari yetu ya kwenda URENO inaanza Leo!

Tutabaki kuwasubiri km ni R Madrid au Munich!
 
kwa sababu mpira ni urafiki; naomba nitumie fursa hii adhimu kukupa wewe ndugu RRONDO na wenzako wa MANCHESTER UNITED pole zangu za dhati kabisa kwa haya yaliyowapata: Sasa na nyie mmeanza kufukuzana: Si tatizo kubwa; tatizo lenu ni kuleta hao mnaowaita 'chosen one':


[h=1]David Moyes SACKED! Chief Woodward delivers news to failed Man United boss in early morning Carrington meeting with Ryan Giggs to take charge until end of season[/h]
  • Moyes thanked Carrington staff after learning his fate
  • Chief executive Ed Woodward delivered news to Moyes face-to-face
  • Club thanks Moyes for 'hard work, honesty and integrity'
  • Glazer family lost patience after dismal season at home and abroad
  • Final straw came in Sunday's miserable 2-0 defeat at old club Everton
  • United are seventh in Premier League, 13 points off fourth place
  • Holland coach Van Gaal lined up as replacement
  • Giggs will take caretaker charge for Saturday's home match with Norwich


Pole sn bandugu Belo RRONDO Nzi na mashabiki wote Wa Man Utd!

Niseme tu kitu kimoja, mmechelewa sn kumtoa huyo kocha!
 
Last edited by a moderator:
agosti 8 km watu8

Khe Khe khe Khe Khe Khe

Kumekucha tena! Karibuni sn bandugu wote tulisongeshe,!

MosDef mzima Wewe kijana? Baba Kelvin haonekani kabisa! Vp Yule jamaa mtumia nguvu kujenga hoja, yupo?

Khe Khe Khe Khe

Leo tuko Madrid tunaanza safari yetu ya kwenda LISBON=URENO.

Mkuu Mentor asante sn kwa picha MUZURI SN!


Karibuni sn!

DIEGO COSTA peke yake, atafanya usiku wa leo uwe mtulivuuuuuuu..

Teh Teh Teh Teh Teh Teh!!!

Natangaza kabisa ntakuwa upande wa ATM leo!!!!

Teh Teh Teh Teh Teh!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pamoja sn! Leo ATM lazima wakae!

Nafurahi sn kuona safari yetu ya kwenda URENO inaanza Leo!

Tutabaki kuwasubiri km ni R Madrid au Munich!



I WONT SAY WE HAVE TO WIN,
I WONT PUT THAT PRESSURE;
BUT WE CAN'T LOSE.

jose mourinho felix.
 
kwa sababu mpira ni urafiki; naomba nitumie fursa hii adhimu kukupa wewe ndugu RRONDO na wenzako wa MANCHESTER UNITED pole zangu za dhati kabisa kwa haya yaliyowapata: Sasa na nyie mmeanza kufukuzana: Si tatizo kubwa; tatizo lenu ni kuleta hao mnaowaita 'chosen one':


[h=1]David Moyes SACKED! Chief Woodward delivers news to failed Man United boss in early morning Carrington meeting with Ryan Giggs to take charge until end of season[/h]
  • Moyes thanked Carrington staff after learning his fate
  • Chief executive Ed Woodward delivered news to Moyes face-to-face
  • Club thanks Moyes for 'hard work, honesty and integrity'
  • Glazer family lost patience after dismal season at home and abroad
  • Final straw came in Sunday's miserable 2-0 defeat at old club Everton
  • United are seventh in Premier League, 13 points off fourth place
  • Holland coach Van Gaal lined up as replacement
  • Giggs will take caretaker charge for Saturday's home match with Norwich

Team ndo ishapotea hiyo!!!!
 
Mkuu Pamoja sn! Leo ATM lazima wakae!

Nafurahi sn kuona safari yetu ya kwenda URENO inaanza Leo!

Tutabaki kuwasubiri km ni R Madrid au Munich!


THERE IS NO BETTER FEELING THAN STEPPING OUT ON THAT FIELD AND STUNNING THEM ALL BY DOING WHAT NONE OF THEM THOUGHT YOU COULD.

jose mourinho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom