Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,733
- 6,469
keep on talking wewe ndo unaleta hizo la la la la la kwa sababu unakuja jukwaa la watu unaanza maneno ningekuwa nimeingia kwenu ungekuwa na haki ya kushangaa.. this is our thread!
Haaa mkuu taratibu tunaongelea soka tu, punguza jazba kidogo!!Kwani kuna sheria za JF zinazokataa kujadili jambo thread ya watu???Ama wewe mkuu huwa uingiii kwenye Thread za timu nyingine kuongea???Nisamehe kama nimekukera