Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

YAYA alipolalamika juzi kuhusu kubaguliwa watu wakacheka; ligi yao bingwa wanampa wamtakae..
Huwezi kuelewa;..kwa sababu refa alikuwa mbali sana na tukio; anaweza kuwa na uhakika kuhusu penati?
Sheria inasemaje kama refa hakuona?
Goli la kwanza; 're-bound' iliwakuta wachezaji wa Sunderland wakiwa off lakini kama kawaida; utata ukatawala.

Mechi ya Sunderland na mechi ya Villa ziligubikwa na utata wa hali ya juu. Hii inanikumbusha mechi ya 3-2 wakati Chicharito alipofunga goli akiwa off-side.
Refa wa mechi ile 'Mark Catternburg akaishia kumwambia 'Mikel Obi' nyani.

Ubaya na marefa ni kwmba 'wao hawahojiwi kutokana na uamuzi wao uwanjani.

Kule Italia mambo hayo yameharibu kabisa ligi ile..'match fixing'
Umesahau kuwa Ramirez nae alistahili red card lakini refa huyo huyo akaiminyia
 
YAYA alipolalamika juzi kuhusu kubaguliwa watu wakacheka; ligi yao bingwa wanampa wamtakae..
Huwezi kuelewa;..kwa sababu refa alikuwa mbali sana na tukio; anaweza kuwa na uhakika kuhusu penati?
Sheria inasemaje kama refa hakuona?
Goli la kwanza; 're-bound' iliwakuta wachezaji wa Sunderland wakiwa off lakini kama kawaida; utata ukatawala.

Mechi ya Sunderland na mechi ya Villa ziligubikwa na utata wa hali ya juu. Hii inanikumbusha mechi ya 3-2 wakati Chicharito alipofunga goli akiwa off-side.
Refa wa mechi ile 'Mark Catternburg akaishia kumwambia 'Mikel Obi' nyani.

Ubaya na marefa ni kwmba 'wao hawahojiwi kutokana na uamuzi wao uwanjani.

Kule Italia mambo hayo yameharibu kabisa ligi ile..'match fixing'

Mkuu mbona Wenger akilalamikia marefa mnamwita "Failure"?? na mnatoa kicheko cha haja...!! Kwani hamjui kwamba kwenye mpira licha ya kwamba kuna matokeo ya aina 3 lakini pia uwepo wa refa unaweza kubadili direction ya game kabisa ikawa ndivyo sivyo?...sasa mbona mnakaa hapa kupanua vinywa vyenu na makelele hadi mkatabiri kwamba game yenu basi Sunderland ndo atashuka daraja rasmi....sio wewe ndo uliweka bandiko hapa?
Hukujua kwamba hata refa ana affect mpira?au ulijua ile mechi yenu haitakuwa na refa/mwamuzi? Acheni malalamishi yasiyo na msingi bhana.
Kwanini Blater kakataa playback au Replay ifanye judgement ya mwisho kwenye mpira wa miguu? People are not crazy!! Football is crazy.
 
Umesahau kuwa Ramirez nae alistahili red card lakini refa huyo huyo akaiminyia

Wanalialia tu hawa....kwanza kocha wao alishasema wao ni farasi mdogo,atakuwa mwakani, isitoshe hawachezi kwa kuchukua vikombe bali wanajenga team!! Maneno yanaumba!! Kiimani hata mwanadamu aliumbwa kwa NENO...so ya MOU ndo yanatimia hivyo. AM ndo hao on the way, Chelsick wajiandae kisaikolojia. Otherwise watakuwa Desperate sana agosti 8 Ntuzu Mourinho
 
Last edited by a moderator:
Mkuu "Mr.Wise" mimi na Ntuzu huwa tukija kule kwenu kulee ..huwa hamtaki tutoe hoja..mnatupinga kwa nguvu zote; tena hata kuna watu hutumia nguvu kuliko akili kutuzuia tusijadili hoja.

Sisi tukaona bora tuwe tunatamba hapa kwetu; si unajua jino kwa jino(simaanishi Arteta)?
Ntuzu 'alitukanwa kule kwenye jukwaa letu; mkuu unajua mambo hayo..ila sisi lazima pia tujihami. Jukwaa letu ni hoja kwa hoja.

CFC THE CHAMPIONS.:israel:

Kwanza nampa pole tena ndugu Ntunzu kwa mara nyingine, ila nakumbuka nilimwambia jamaa aliyemtusi kua mpira ni Fair Play ndio maana unakuta watu wanakunjana lakini game ikiisha wanakumbatiana. Nawashukuru mnaonesha changamoto na kuifanya ligi ya EPL kua HOT,
 
Jina---haliwezi kuvunjwa mkuu kama inavyotaka kuvunjwa Muungano feki wa Tanzania. Arteta atabaki kuwa Arteta, kavunjwa Ramsey mguu sembuse reception? Mi naongelea Bad decision aliyofanya refa kwenye ule mchezo Chelsea akiambulia aibu kufungwa na timu ya mkiani tena kwenye mchezo muhimu zaidi ya serikali 3 wanazotaka watanzania walio wengi kwenye rasimu ya Katiba...(usinistaki hii sio siasa)


mateso ya refa tumeshayazoea mkuu Sizinga:

tangu enzi za kunyimwa penati kibao vs Barcelona CF, mechi za Man Utd, n.k.

tumeshazoea; we shall never give up..
 
pamoja mkuu; tubishane kwa hoja..mambo ya matusi au lugha chafu tujiepushe navyo.

najua kesho mtakuwa mnatazama CHELSEA FC v CLUB ATLETICO DE MADRID.

Hata kama timu yenu haimo karibuni mtazame mpira. Si lazima kesho mtushangilie lakini najua mnatambua uwepo wetu.

We are young, powerful and wise..CHELSEA FC (THE BLUES)
Kwanza nampa pole tena ndugu Ntunzu kwa mara nyingine, ila nakumbuka nilimwambia jamaa aliyemtusi kua mpira ni Fair Play ndio maana unakuta watu wanakunjana lakini game ikiisha wanakumbatiana. Nawashukuru mnaonesha changamoto na kuifanya ligi ya EPL kua HOT,
 
mateso ya refa tumeshayazoea mkuu Sizinga:

tangu enzi za kunyimwa penati kibao vs Barcelona CF, mechi za Man Utd, n.k.

tumeshazoea; we shall never give up..

Kama mateso ya refa mnayajua na mmezoea then mbona mwalalama sana? Manake hata MOU-reen analalama bad desion ya refa...Sielewi ni kipi hasa mnataka.
 
Mimi najenga timu kwa msimu mmoja tu! Wewe unajenga timu kwa misimu 8 mkuu Sizinga?

Sisi kisaikolojia huwa tupo sawa kabisa; usisahau Simba aliyenyeshewa si mbwa hata kidogo.

Asanteni sana nyote kwa changamoto zenu; nitakuwa hapa kesho.

cc; Ntuzu, Mentor, Mr.Wise, Sizinga(ulitangulia kwa baiskeli ya miti), Gwahamala, Mosdef, Kalou, SPECIAL RESPECT TO ALL CHELSEA FC FANS...we have special spirit..never give up. Kuna ubingwa tutatwaa msimu huu..

CFC.🙂
Wanalialia tu hawa....kwanza kocha wao alishasema wao ni farasi mdogo,atakuwa mwakani, isitoshe hawachezi kwa kuchukua vikombe bali wanajenga team!! Maneno yanaumba!! Kiimani hata mwanadamu aliumbwa kwa NENO...so ya MOU ndo yanatimia hivyo. AM ndo hao on the way, Chelsick wajiandae kisaikolojia. Otherwise watakuwa Desperate sana agosti 8 Ntuzu Mourinho
 
Wanalialia tu hawa....kwanza kocha wao alishasema wao ni farasi mdogo,atakuwa mwakani, isitoshe hawachezi kwa kuchukua vikombe bali wanajenga team!! Maneno yanaumba!! Kiimani hata mwanadamu aliumbwa kwa NENO...so ya MOU ndo yanatimia hivyo. AM ndo hao on the way, Chelsick wajiandae kisaikolojia. Otherwise watakuwa Desperate sana agosti 8 Ntuzu Mourinho

???????!!!!!!!!!😳😳😳😳
 
Last edited by a moderator:
Mimi najenga timu kwa msimu mmoja tu! Wewe unajenga timu kwa misimu 8 mkuu Sizinga?

Sisi kisaikolojia huwa tupo sawa kabisa; usisahau Simba aliyenyeshewa si mbwa hata kidogo.

Asanteni sana nyote kwa changamoto zenu; nitakuwa hapa kesho.

cc; Ntuzu, Mentor, Mr.Wise, Sizinga(ulitangulia kwa baiskeli ya miti), Gwahamala, Mosdef, Kalou, SPECIAL RESPECT TO ALL CHELSEA FC FANS...we have special spirit..never give up. Kuna ubingwa tutatwaa msimu huu..

CFC.🙂

mwaka huu utaishia kulialia tu hupati kombe lolote labda KOMBE LA UJI
 
naona mnahangaika na nafasi ya saba hahhahahhha...

hatuhangaiki na nafasi ya saba. iko secured. tufungwe,tudraw,tushinde tuko namba saba....sasa tutahangaika vipi??? anaehangaika ni yule anaetangaza ubingwa wakati hata kufunga bottom clubs hawezi.
 
kesho mkigongwa itakuwa powa xana aisee ili ngebe ziwakwishe
 
Kwanza nampa pole tena ndugu Ntunzu kwa mara nyingine, ila nakumbuka nilimwambia jamaa aliyemtusi kua mpira ni Fair Play ndio maana unakuta watu wanakunjana lakini game ikiisha wanakumbatiana. Nawashukuru mnaonesha changamoto na kuifanya ligi ya EPL kua HOT,


Asante Mkuu

Lkn mi niseme kitu kimoja! Unajua mtu kwa haraka haraka akija na kuona hoja zetu na msimamo na kujiamini lazima anaweza akatoa lugha yeyeto Lkn taratibu tutakavyoendelea kujadiliana ataanza kukundua Kua lengo ni kujadiliana kwa Amani na furaha na upendo Na bila mauzi!

Nawashukuru nyote mlioonesha kuguswa na kauli za ndugu yetu na Kiasi Fulani ameelewa na ata j2 tulikua tunajadiliana Nae Vzr sn

Pamoja sn Mkuu!

Epl kwa Sasa iko hot sn!
 
article-2609471-1D3D38CB00000578-539_634x463.jpg



article-0-1D3CDB0B00000578-24_634x475.jpg



SPAIN BOUND... #KTBFFH COME ON YOU BLUES
 
kesho mkigongwa itakuwa powa xana aisee ili ngebe ziwakwishe


sisi tuko bize na mechi ya leo; nyie hamna kazi za kufanya...

Maneno ya Jose Mourinho.

'If people want to speak about the Premier League now there are 19 other teams in England. Chelsea tomorrow is in the Champions League and we are only speaking about the Champions League.

'It is a Champions League semi-final against a team I know well, and I think every player and every manager wants to play this game.'

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom