Teh Teh Teh Teh
Ntuzu
Upendapo kujua mimi ni shabiki wa timu ipi ni PM.
Naweza kukupa hint..CP, WauzaSanda, No-witch. L.fulo.
Teh Teh Teh Teh
Dah! Yani mmenitafuta sana Leo!
Ntuzu
Upendapo kujua mimi ni shabiki wa timu ipi ni PM.
Naweza kukupa hint..CP, WauzaSanda, No-witch. L.fulo.
namsubiri agosti 8 ndio nikalale......mmefunga timu zote za top 4 lakini ubingwa hampati.....mnakamia mechi kubwa zikija timu ndogo mnatumia uwezo wenu halisi ambao ni average,mnaishia kuchapwa!!!!
unamfunga arsenal 6 mechi inayofuata unafungwa na crystal palace....unaifunga timu pungufu kwa shida sana.....hamna consistency halafu unajitangazia ubingwa kabla mpira haujachezwa!!!
Mkuu we ni pm tu!
Mbona unaongea kwa upole leo? Kunani?
Umesema nini? Moureen alisahau kuvaa "kufuli"?
Ehee! Wafamaji wakamfanya nini?.......Eee bana we!
Kwa hiyo ametangazwa rasmi kuwa "BINGWA"?
Mimi tena niongee kwa upole? Au umenisahau?
Oongea basi Mkuu Ntuzu.
Inakuwaje Chelsea inafungwa na timu mkia wa mbuzi?
CP alianza..nini ilikuwa kisingizio?
Leo Sunderland timu iliyo katika nafasi ya 20 imeiadhiri Chelsea nyumbani kabisa. Kisingizio ni nini?
Je bado ipo nafasi ya kuwa bingwa?
Mkuu mwamuzi hakua pouwa! Alafu nahisi km kuna hujuma vile hasa kwa kuiandalia mazingira ya ubingwa Liverpool kutokana na Kua hiyo ni timu ya waingereza wengi wanayoipenda!
Tutegemee kuona Liverpool anapewa penalty nyingi tu ktk game zilizobaki! Au kwa timu zitakazokutana na Liverpool wataweza kupewa ata Kadi nyekundu ili Lfc mazingira yawe laini kabisa!
Mlicheza na Arsenal na Swansea na wachezaji wa timu hizo walipewa kadi nyekundu. Chelsea 11 walicheza na na mutu 10.Je waamuzi wa mechi hizi walikuwa pouwa? Ulifurahia matokeo ya mechi hizi au ulizima vuvuzela baada ya mechi hizi?Mkuu mwamuzi hakua pouwa! Alafu nahisi km kuna hujuma vile hasa kwa kuiandalia mazingira ya ubingwa Liverpool kutokana na Kua hiyo ni timu ya waingereza wengi wanayoipenda!
Tutegemee kuona Liverpool anapewa penalty nyingi tu ktk game zilizobaki! Au kwa timu zitakazokutana na Liverpool wataweza kupewa ata Kadi nyekundu ili Lfc mazingira yawe laini kabisa!
Teh Teh Teh Teh Teh
Wakuu nimerudi baada ya Kua na Majukumu ktk ibada ya uzinduzi Wa Morning star Tv!
Sikupata ata ile nafasi ya kuutizama mpira! Ila nimeweza kusoma habari ktk wavuti ya Chelsea na pia hoja mbalimbali za wadau!
Anyway mmenitafuta sn Lkn Mimi nipo na Ndio nimelog in muda so mrefu!
Teh Teh Teh kwakifupi Refa Ndio kaharibu game ya Leo na pia kwa kesho tutegemee Lfc kupewa Penalty ashinde kilaini na hii inaweza ikafanyika ktk game zote za Lfc! Hizi ni hujuma za waingereza ktk timu yetu!
Mkuu mwamuzi hakua pouwa! Alafu nahisi km kuna hujuma vile hasa kwa kuiandalia mazingira ya ubingwa Liverpool kutokana na Kua hiyo ni timu ya waingereza wengi wanayoipenda!
Tutegemee kuona Liverpool anapewa penalty nyingi tu ktk game zilizobaki! Au kwa timu zitakazokutana na Liverpool wataweza kupewa ata Kadi nyekundu ili Lfc mazingira yawe laini kabisa!
Mkuu mwamuzi hakua pouwa! Alafu nahisi km kuna hujuma vile hasa kwa kuiandalia mazingira ya ubingwa Liverpool kutokana na Kua hiyo ni timu ya waingereza wengi wanayoipenda!
Tutegemee kuona Liverpool anapewa penalty nyingi tu ktk game zilizobaki! Au kwa timu zitakazokutana na Liverpool wataweza kupewa ata Kadi nyekundu ili Lfc mazingira yawe laini kabisa!
Teh Teh Teh Teh Teh
Wakuu nimerudi baada ya Kua na Majukumu ktk ibada ya uzinduzi Wa Morning star Tv!
Sikupata ata ile nafasi ya kuutizama mpira! Ila nimeweza kusoma habari ktk wavuti ya Chelsea na pia hoja mbalimbali za wadau!
Anyway mmenitafuta sn Lkn Mimi nipo na Ndio nimelog in muda so mrefu!
Teh Teh Teh kwakifupi Refa Ndio kaharibu game ya Leo na pia kwa kesho tutegemee Lfc kupewa Penalty ashinde kilaini na hii inaweza ikafanyika ktk game zote za Lfc! Hizi ni hujuma za waingereza ktk timu yetu!
Teh Teh Teh Teh
Kulikua na kuzomewa kwa Refa kulikosababishwa na kuboronga kwake!
Teh Teh Teh
wakuu leo tumechea sasa tuombe liver nae abanduliwe viporo vilivyo baki...
Mkuu mwamuzi hakua pouwa! Alafu nahisi km kuna hujuma vile hasa kwa kuiandalia mazingira ya ubingwa Liverpool kutokana na Kua hiyo ni timu ya waingereza wengi wanayoipenda!
Tutegemee kuona Liverpool anapewa penalty nyingi tu ktk game zilizobaki! Au kwa timu zitakazokutana na Liverpool wataweza kupewa ata Kadi nyekundu ili Lfc mazingira yawe laini kabisa!