Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hongera humu ndani Kaka Ntunzu! Najua ndio unarudi kutizama kandanda.. Kalou ushapumua umemaliza maji hehehe.
 
1 Liverpool 34 77
2 Chelsea 34 75
3 Manchester City 32 70
4 Everton 33 66
5 Arsenal 33 64
sasa hapa tukimpiga liverpool..
hopefully man city atateleza on way..
come on CHELSEA ..
KTBFFH
 
1 Liverpool 34 77
2 Chelsea 34 75
3 Manchester City 32 70
4 Everton 33 66
5 Arsenal 33 64
sasa hapa tukimpiga liverpool..
hopefully man city atateleza on way..
come on CHELSEA ..
KTBFFH
kweli wewe kalulu
 
Washambuliaji (Attackers) na wafungaji (strikers) ....spot the difference sir.

Willian Oscar Hazard Schurrle Ba Eto'o Torres na wengine wachezao nafasi zao..ni attackers...washambuliaji wa Chelsea. Acha kumzingua mwenzako.

Hakuna kitu kama hicho katika positions za mpira. Katika mpira kuna hizi nafasi (kwa wachezaji wa ndani):

1. Backline - hapa kuna Central Backs (4 na 5), Left Back (3) na Right Back (2).

2. Midfield - Central Midfielder (6), Attacking Midfielder (8), Left Winger (11) na Right Winger (7)

3. Forward - Central Striker (9) na Second Striker ama Inside Forward (10).

Hizo ndizo playing positions katika football. Ukitaka mjadala wa playing styles sema, nikusaidie..

Maana naona mnachanganya hizo mambo!!

Willian, Shule, Hazard na Oscar hao ni midfielders, yaani playing positions zao ni kwenye midfield...

Nilimwuliza huyo bwana kwa sababu huwezi kuwaweka hao katika kundi moja la Etoo, Ba na Torres!! La sivyo kama mnaleta utani!! Hawa watatu wa mwisho ni forward players; wakati wale ni midfield players!!

Ndio maana mnakumbuka game ya kwanza ya Chel$ki$ dhidi ya United pale OT, Maureen alikuwa criticised kwa kupanga timu bila mchezaji kwenye forward position. Kumbuka Shule alikuwemo pia! Sijui unasemaje katika hilo!!
 
Hakuna kitu kama hicho katika positions za mpira. Katika mpira kuna hizi nafasi (kwa wachezaji wa ndani):

1. Backline - hapa kuna Central Backs (4 na 5), Left Back (3) na Right Back (2).

2. Midfield - Central Midfielder (6), Attacking Midfielder (8), Left Winger (11) na Right Winger (7)

3. Forward - Central Striker (9) na Second Striker ama Inside Forward (10).

Hizo ndizo playing positions katika football. Ukitaka mjadala wa playing styles sema, nikusaidie..

Maana naona mnachanganya hizo mambo!!

Willian, Shule, Hazard na Oscar hao ni midfielders, yaani playing positions zao ni kwenye midfield...

Nilimwuliza huyo bwana kwa sababu huwezi kuwaweka hao katika kundi moja la Etoo, Ba na Torres!! La sivyo kama mnaleta utani!!

Ndio maana mnakumbuka game ya kwanza ya Chel$ki$ dhidi ya United pale OT, Maureen alikuwa criticised kwa kupanga timu bila mshambuliaji! Kumbuka Shule alikuwemo pia! Sijui unasemaje katika hilo!!

walimsema kwa kuto kuwa na pure striker...
lakini Etoo ,Ba,Torress na Andre wote ni strikers kwa uchezeji ...
 
walimsema kwa kuto kuwa na pure striker...
lakini Etoo ,Ba,Torress na Andre wote ni strikers kwa uchezeji ...

Duh! Wewe sijui hata umefuatilia mjadala toka mwanzo?!?

Shule siyo forward player, nenda kaangalie hata kwenye profile ya club.

Kwa hiyo Etoo, Ba na Torres siyo pure strikers!?!? My goodness me!!!!
 
Duh! Wewe sijui hata umefuatilia mjadala toka mwanzo?!?

Shule siyo forward player, nenda kaangalie hata kwenye profile ya club.

Kwa hiyo Etoo, Ba na Torres siyo pure strikers!?!? My goodness me!!!!

Andre sio pure striker...ndiye aliyeanza mechi ya kwanza against Man U...
ila Ba,Torre na Etoo ni pure strikers....
still Andre ni strikers ni ndio sababu Mourihno huwa anamuanzisha kama striker

wikipedia...
André Schürrle (born 6 November 1990) is
a German footballer , who plays as a
forward and winger for Premier League club
Chelsea and the German national team .

chelsea fc official website
Nationality: German
D.O.B: 06/11/1990
Height: 183
Weight: 73.0
Previous Clubs: Chelsea, Bayer Leverkusen, Mainz
Position: Striker

Nzi umekunywa nini leo?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom