Sio kwamba wewe ndio unatuhofiaUsajili umeisha, hatutaki visingizio tena mkianza kula vipigo
Sio kwamba wewe ndio unatuhofiaUsajili umeisha, hatutaki visingizio tena mkianza kula vipigo
Nyie Bado mna reason ya ku prove.Sio kwamba wewe ndio unatuhofia
Una Mchezaji yoyote mwenye quality ya Joao PedroNyie Bado mna reason ya ku prove.
Hakuna anaewahofia lkn tunawaheshimu.
Huna wachezaji super, labda kama mtapambana muwe super.
Tusubrie game tano
Uyo jamaa enu na quality yake aliachwa World cup wakaenda kina KunyaUna Mchezaji yoyote mwenye quality ya Joao Pedro
Romario kwenye ubora wake hakuitwa team ya Taifa ingawa alikuwa na uwezo mkubwa kuliko wale walikuwa kwenye nafasi yake so hiyo ni Kawaida kama Madueke anaitwa kwenye team ya Taifa unashangaa Nini Joao Pedro kutoitwaUyo jamaa enu na quality yake aliachwa World cup wakaenda kina Kunya
Uwezo wake mdogoRomario kwenye ubora wake hakuitwa team ya Taifa ingawa alikuwa na uwezo mkubwa kuliko wale walikuwa kwenye nafasi yake so hiyo ni Kawaida kama Madueke anaitwa kwenye team ya Taifa unashangaa Nini Joao Pedro kutoitwa
romario hakuitwa kwa ajili ya ronaldinho na watu wakarudi na kombe la dunia usiongee ongee tuRomario kwenye ubora wake hakuitwa team ya Taifa ingawa alikuwa na uwezo mkubwa kuliko wale walikuwa kwenye nafasi yake so hiyo ni Kawaida kama Madueke anaitwa kwenye team ya Taifa unashangaa Nini Joao Pedro kutoitwa
😂Kunya akakunya na wenzake wakakunyia USAUyo jamaa enu na quality yake aliachwa World cup wakaenda kina Kunya
Hao akina Madueke na Kunya wakarudi na nini?romario hakuitwa kwa ajili ya ronaldinho na watu wakarudi na kombe la dunia usiongee ongee tu
Ninao wengi super.Una Mchezaji yoyote mwenye quality ya Joao Pedro
Hii ndio maana halisi ya Nyumbu.Ninao wengi super.
Top in England ni Bruno Kwa sasa.
Lakini nyie mnafaa mu prove, hatuwadharau lkn mna kazi ya kuonesha
Wakina nani hao wanatudharauNinao wengi super.
Top in England ni Bruno Kwa sasa.
Lakini nyie mnafaa mu prove, hatuwadharau lkn mna kazi ya kuonesha
Ila ni ukweli sijui Lavia hapo kachukia kwasababu gani? anatakiwa aichukulie kama changamoto ya kumuhamasisha asiingie kwenye majeraha
Mtu anaeconment akiumia utamjua tu 🤣Nyie hamna hata timu ya top 4.....
Mkibahatika kuipata hiyo top 4 ni bonus...... kwa kiungo kipi? Lavia na James ama Caisedo?
Beki kule uchochoro !!!!
Tupo hapa, mwisho wa msimu tutakuja kuwakumbusha !!!! December inaweza isimkute Alonso darajani hapo !
Hivi baada ya Enzo kusajiliwa city alisemaje ? Anafurahia kujiunga na timu kubwa sio
Msije baadae mkakimbia kwenye uziKama iliyokawaida, usiku wa deni haukawii kukucha
View attachment 3664245