Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sidhani Chelsea ina shida ya beki Bali ni muundo wa uzuiaji pamoja kiungo kupwaya inakuwa rahisi mpinzani kupata space za kutushambulia Alonso analijua Hilo ndio maana akasema ikifika December tutakuwa Bora sana.
Kwenye ukabaji Colwill na Hato sio wazuri, ni upande wao tu ndio unaotumiwa kufuifunga Chelsea kwenmye mechi zote tatu
 
Chelsea FC hatuna viungo wakabaji, pengo la Enzo na Caisedo lilionekana tangu kipindi cha kwanza.

Mabeki wasilaumiwe sana sababu katikati na hata pembeni mipira ilipitika kirahisi sana.

Chelsea FC tukitoboa sana EPL 2026/2027 kimsimamo ni kuwa wa 8 au 10 (top ten).
Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
Uko sahihi viungo hatuna kabisaa na Alonso anajaza mabeki tu
 
Chelsea FC hatuna viungo wakabaji, pengo la Enzo na Caisedo lilionekana tangu kipindi cha kwanza.

Mabeki wasilaumiwe sana sababu katikati na hata pembeni mipira ilipitika kirahisi sana.

Chelsea FC tukitoboa sana EPL 2026/2027 kimsimamo ni kuwa wa 8 au 10 (top ten).
Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
Pengo la Enzo?????
 
Chelsea FC hatuna viungo wakabaji, pengo la Enzo na Caisedo lilionekana tangu kipindi cha kwanza.

Mabeki wasilaumiwe sana sababu katikati na hata pembeni mipira ilipitika kirahisi sana.

Chelsea FC tukitoboa sana EPL 2026/2027 kimsimamo ni kuwa wa 8 au 10 (top ten).
Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
Chelsea kushika top 10 umetupiga na kitu kizito. Kitu unachopaswa ujue ni kwamba team ipo kwenye ujenzi na Alonso kaanza na kule mbele mechi zinapoendea atapata team anayotaka ndio maana akasema ikifika mwezi wa December team itakuwa ya hatari na bora jambo zuri ni kwamba pamoja na kwamba ipo kwenye ujenzi lakini tunapata point 3 muhimu na kumbuka tuna muda mwingi kwa wiki tunacheza mechi 1 tofauti na washindani wetu watakuwa na michuano ya Ulaya.
 
Kelele zimeanza game ya 2 hiii mwalimu mpya kila kitu kipya halafu kelele zimeanza nyie bhna
Mashabiki wa Chelsea wengi huwa Wana negative minded mno mpaka kero me nakuambia kama Joao Pedro asingefunga goal jana ungesikia wanasema laana ya no.9 inafanya kazi kwasababu ya ile nafasi ya wazi aliyokosa na na ile goal aliyojifunga
 
Viungo tunao sema wengine majeruhi tu, timu yetu ni nzuri kuna wachezaji first eleven bado hata hawajaanza kucheza na bado tunapata ushindi, mnataka nini kingine wakuu
Kuna wakati mashabiki wanakera mno wanaongozwa na mihemko mtu anafuatilia mpira huu ni mwaka wa 10 lakini mpira hajui wanafikiri mpira ni kama playstation.Mpira ni process tuna kocha mpya na kunamaingizo mengi ya wachezaji, wengine ni injury na kocha anatafuta mfumo sahihi wa uchezaji na ndio maana game iliyopita kachezesha back 4 leo kachezesha back 3 na ukimsikiliza yeye mwenyewe anasema kabisa bado hajapata team anayotaka tuwe na subiri pamoja na yote still team inapata point 3 alafu Kuna mishabiki inapiga kelele
 
Kwenye ukabaji Colwill na Hato sio wazuri, ni upande wao tu ndio unaotumiwa kufuifunga Chelsea kwenmye mechi zote tatu
Hakuna mtu asiyejua ubora wa Colwil na Hato Kuna kitu wewe unashindwa kuelewa Alonso bado mfumo wake haujaclick kwa wachezaji ndio maana makosa kama hayo lazima uyaone mfano mzuri pale Arsenal ukitoa Rice na Raya labda na Saliba wachezaji wengi ni wa kawaida ila kinachowabeba ni mfumo wa Arteta umeclick wa wachezaji ndio inayofanya wapate mafanikio ukiwatoa wachezaji wengi wa Arsenal ukawapeleka team nyingine kubwa namba hawapati umemuona yule beki wao Gabriel alivyokuwa na Brazil alivyokuwa anageuzwageuzwa ovyo ovyo lakini akiwa Arsenal ni tofauti kwa sababu mfumo wa Arteta ni shirikishi kila mchezaji anakaba na kumnyima space mpinzani kitu ambacho inakuwa ngumu kufikiwa mara kwa mara ndicho ambacho sisi tumekosa ndio maana Xabi Alonso akasema tukifika December tutakuwa na team Bora tuamini process mwamba kama point 3 tunapata.
 
Si alikuwa kiungo wa kati na mshambuliaji? Lakini sometimes alikuwa anakaba maana alikuwa mwepesi kupanda na kurudi.

Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
Uwe unafuatilia vizuri team yako mechi 80% msimu uliopita kacheza no 10 na ndio nafasi imemfanya awe bora na kwanini alitolewa nafasi ya Center midfielder? Ni kwasababu akicheza hiyo nafasi balance ya team inakuwa hamna yaani Caicedo anakuwa na kazi kubwa ya kukaba eneo kubwa Enzo sio mkabaji ni mzuri tu kupeleka mbele mipira Sasa kwenye kikosi hiki tunao wawili kwenye hiyo nafasi ni Morgan Rogers na Cole Palmer kutokana na hivyo nafasi ya Enzo haipo tena.
 
Hakuna mtu asiyejua ubora wa Colwil na Hato Kuna kitu wewe unashindwa kuelewa Alonso bado mfumo wake haujaclick kwa wachezaji ndio maana makosa kama hayo lazima uyaone mfano mzuri pale Arsenal ukitoa Rice na Raya labda na Saliba wachezaji wengi ni wa kawaida ila kinachowabeba ni mfumo wa Arteta umeclick wa wachezaji ndio inayofanya wapate mafanikio ukiwatoa wachezaji wengi wa Arsenal ukawapeleka team nyingine kubwa namba hawapati umemuona yule beki wao Gabriel alivyokuwa na Brazil alivyokuwa anageuzwageuzwa ovyo ovyo lakini akiwa Arsenal ni tofauti kwa sababu mfumo wa Arteta ni shirikishi kila mchezaji anakaba na kumnyima space mpinzani kitu ambacho inakuwa ngumu kufikiwa mara kwa mara ndicho ambacho sisi tumekosa ndio maana Xabi Alonso akasema tukifika December tutakuwa na team Bora tuamini process mwamba kama point 3 tunapata.
Subir siku tufungwe sasa itakuwa balaa humu
 
Kwamba Enzo Fernandes hukuona pengo lake kabisa mkuu? Si masihara haya.
Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
Pengo gani amecha?!, waliopo wanafanya kazi kwa ubora kuliko hata yeye alikua anatukaba tu.

Amekujibu mwamba hapa chini.
Uwe unafuatilia vizuri team yako mechi 80% msimu uliopita kacheza no 10 na ndio nafasi imemfanya awe bora na kwanini alitolewa nafasi ya Center midfielder? Ni kwasababu akicheza hiyo nafasi balance ya team inakuwa hamna yaani Caicedo anakuwa na kazi kubwa ya kukaba eneo kubwa Enzo sio mkabaji ni mzuri tu kupeleka mbele mipira Sasa kwenye kikosi hiki tunao wawili kwenye hiyo nafasi ni Morgan Rogers na Cole Palmer kutokana na hivyo nafasi ya Enzo haipo tena.
 
Tosin to Tottenham Hotspur kwa pauni milioni 7 na addons

1788215133627.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom