Hizi ratings anaziwekaga nani? Sanches alitakiwa awe na ratings za mwisho kuliko wote, Colwill wamemuonea, pia Joao Pedro alitakiwa kuwa na ratings za juu kuliko Rodger.Levi Colwill jana alicheza kama Tosin
Gusto na Hato hawawezi roles za Wingbacks
James kwenye kiungo jana kaboa
Robert Sachez jana kaingia uwanjani kanywa chang'aa au kafuta marijuani
Matumaini pekee ya Jana ni Front thrfee ya Rogers, Palmer na Joao Pedro na hasa Cole Palmer karudi yule kabla ya Maresca.
Kahusika na magoli yote matatu, goli nla kwanza katoa assist, goli la pili kamtengenezea Maxences Lacroix nafasi nzuri akaassist na goli la tatu na la ushindi kafunga yeye mwenye.
View attachment 3656425
WOTE! Colwill kafanya error na Sanchez pia.Hizi ratings anaziwekaga nani? Sanches alitakiwa awe na ratings za mwisho kuliko wote, Colwill wamemuonea, pia Joao Pedro alitakiwa kuwa na ratings za juu kuliko Rodger.
Kwa muda mchache alioingia Quenda ni bonge moja la mchezaji.
Ni kweli Colwil alikuwa ana siku mbaya lakini haiondoi kuwa ni beki Bora kumbuka hii ndio Kwanza na ubora wake tunaujua ndio maana hukuti hakilaumiwa maana unajua muda wowote atarudisha ubora wake na Hilo utaona next match hiyo dhamana huwezi kuliweka kwa Sanchez umemkosea sana heshima Colwil kumfananisha na huyo mpuuziWOTE! Colwill kafanya error na Sanchez pia.
Colwill kazidi. Mechi nzima hakuna hata punuje alicheza vizuri. Bora Sanchez kafanya saves nyingi pamoja na kuachia magoli.
Alafu tunasubiri pound mil 65 kwa Aston villa wamchukue Jackson
Kulikuwa na kelele nyingi sana tulipomnunua Garnacho na Delap
Tukaimbiwa nyimbo nyingi sana kwa hao flop wa msimu kama sio karne.
Sasa tumewauza wote wawili kwa faida natumaini zile kelele za inzi zitakoma.
Alejhandro Garnacho kwa £42.6 millioni
Liam Delap kwa £50 millioni
Jumla ni £92.6 millioni
Tuliwanunua kwa
Alejandro Garnacho kwa £39 millioni
Liam Delap kwa £30 millioni
Jumla ni £69 millioni
Faida ni 23.5 milioni
View: https://x.com/Curser100/status/2092382523435176036/video/1
Uwezo mkubwa upoHivi tunauwezo wa kuingiza new signing?
Nimeheka sana eti mganga amekufa
Huyu jamaa mguuni yupoje?
Anaucheza vzr tuuHuyu jamaa mguuni yupoje?
Una Mchezaji gani ana kombe la Dunia?Kenge tafuteni kipa, uyo Martinez nae pazia kama mapazia mengine
Ila ninawasiwasi hili dili linaweza lisitokee kama tulishindwa kumsajili yule kipa wa AC MILAN sidhani litatokea ni Kama vile management inalazimiahwa wangekuwa tayari kwenye hili wangefanya usajili mapemaEmiliano Martínez vs Robert Sánchez
Martínez anamzidi Sánchez kwenye karibu kila eneo la uchezaji wa kipa.
- Kuokoa mashuti (shot‑stopping): Martínez ni bora; Sánchez huwa hana uthabiti akibanwa na presha.
- Umakini (concentration): Martínez ana umakini wa juu, Sánchez hupoteza focus mara kwa mara.
- Makosa yanayosababisha mabao: Martínez ana rekodi nzuri zaidi ya Sánchez ambaye alifanya makosa 5 yaliyotoa mabao msimu mmoja tu 2024/25.
- Makosa yanayosababisha mashuti: Martínez hufanya mara chache sana; Sánchez aliongoza ligi 5 kubwa za Ulaya kwa makosa ya aina hii.
- Passing accuracy: Martínez 76%, Sánchez 69%.
- Udhibiti wa boksi la penalti: Martínez hutawala box na kudaka crosses kwa uhakika zaidi kuliko Sánchez.
- Uzoefu wa kimataifa: Martínez ana uzoefu wa mashindano makubwa ya kimataifa, Sánchez hana.
- Maamuzi (decision‑making): Martínez hufanya maamuzi sahihi na ya haraka; Sánchez husita na mara nyingi hutoa maamuzi ya hatari/ya kuyumba akiwa kwenye presha.
- Eneo pekee Sánchez anamzidi Martínez: pasi za mipira ndefu (long ball passing).
Deal lipo on mzee huyu tunabebaIla ninawasiwasi hili dili linaweza lisitokee kama tulishindwa kumsajili yule kipa wa AC MILAN sidhani litatokea ni Kama vile management inalazimiahwa wangekuwa tayari kwenye hili wangefanyia usajili mapema