lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,683
- 25,898
Marseille, Benfica, Sevilla, na Aston Villa wanamtaka Tosin Adarabioyo.Kuna tapeli mmoja naona leo ameenda Napoli, h Tapeli Tosin akiondoka ntafurah sana aisee
Marseille, Benfica, Sevilla, na Aston Villa wanamtaka Tosin Adarabioyo.Kuna tapeli mmoja naona leo ameenda Napoli, h Tapeli Tosin akiondoka ntafurah sana aisee
Nawaweka hapa 👇Mbona hoja yangu ipo clear kaangalie hao wote waliovaa jezi no 9 walioperform chini ya kiwango walizingukwa na nani ndio utaona hoja yangu
Aende tuu kudadeki zakeMarseille, Benfica, Sevilla, na Aston Villa wanamtaka Tosin Adarabioyo.
Hawa wachezaji wengi wao ni wazuri ila strikers wengi wanafit kwenye mfumo. Chelsea hawatafiti, walikuwa wakimleta tu striker iwe amefit au la.Nawaweka hapa 👇 View attachment 3655421
kuna vilabu kazi yao ni kuchukua wachezaji kama tosin na kuwapa mechi nyepesi kisha wanawapiga bei kubwaAende tuu kudadeki zake
Anyway, wameona nn kwa Tosin 😂
Akili mtu wangu 😂kuna vilabu kazi yao ni kuchukua wachezaji kama tosin na kuwapa mechi nyepesi kisha wanawapiga bei kubwa
Ana watoto kumbuka mkuuuFuraha yetu n kuona maresa na man cty yake wakipelekewa moto tuu 🤝
Atapata Kazi sehemu nyingn ambayo hawana presha za ubingwaAna watoto kumbuka mkuuu
kuna mchezaji wa man u amesajiliwa kwa paun mil 40+ msimu uliopita alikuwaga free agent ni maji ya jioni kama tosin.Akili mtu wangu 😂
Nan huyo 😂kuna mchezaji wa man u amesajiliwa kwa paun mil 40+ msimu uliopita alikuwaga free agent ni maji ya jioni kama tosin.
Umenikumbusha mbali sanaNawaweka hapa 👇 View attachment 3655421
Leo ndio anacheza mwanaume tutawaonesha maana ya mpira
Usije baadae ukakimbia uziWaze wa chaka tu chaka,,leo msiba mzito pande hizii..
Natanguliza rambi rambi
Fulham 2 - 1 Chelwowo
Sina imani na squadLeo ndio anacheza mwanaume tutawaonesha maana ya mpira
Try tumeshafunga goli letu moja, haya fungeni hayo yenu mawiliWaze wa chaka tu chaka,,leo msiba mzito pande hizii..
Natanguliza rambi rambi
Fulham 2 - 1 Chelwowo