Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mbona hoja yangu ipo clear kaangalie hao wote waliovaa jezi no 9 walioperform chini ya kiwango walizingukwa na nani ndio utaona hoja yangu
Nawaweka hapa 👇
HQHGU2zWoAA_TzJ.jpg
 
Leo ndio anacheza mwanaume tutawaonesha maana ya mpira
Sina imani na squad

--------Joao Pedro

--Rogers--------Plamer--

Hato ---Lavia ---James(C)--Gusto

Colwill ----Maxence ---Acheampong

---------Sanchez------------

Nina shida na Caicedo kutokuwepo
Nina shida na Hato na Gusto kucheza kwenye wing backs
Benchi pia halina CB na becnh linaonekana sio la mageuzi wakiingia

Bench
  1. Penders
  2. Chavarria
  3. Barco
  4. Enzo
  5. Estevao
  6. Gittens
  7. Neto
  8. Quenda
  9. Welback
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom