Yaaaan tumepigwa kweliForest na Como wanamtaka Delap halafu Chelsea wanamuuza pauni milioni 40.
View attachment 3651306
Dah watu humu cjui wakoje aisee, au mpira hua tunaangalia tofauti au n ule uleNi mchezaji mzuri sijui kwanini hawampendi
Mchezaji mzuri asie na jicho la mpira.Dah watu humu cjui wakoje aisee, au mpira hua tunaangalia tofauti au n ule ule
Tukisema kila mchezaji tumtolee kasoro bc hakutokuwa na kitu kinaitwa mpiraMchezaji mzuri asie na jicho la mpira.
Hivi mmeshasahau jinsi Neto alivyotuchoma last season second half? Au ninyi mliacha kufuatilia mpira baada ya Maresca kutimua? Alifanya makusudi, ni mchezaji mzuri ila aondoke ili awape nafasi Estevao Willian na Giovani Quenda. Pedro Neto sio tu alituchoma, kwenye account yake ya Instagram aliondoa kila kitu kinachohusu Chelsea. Mchezaji kama huyo akikasirika anaizamisha timu je siku tukiwa katikati ya bahari si atatuzamisha?Dah watu humu cjui wakoje aisee, au mpira hua tunaangalia tofauti au n ule ule
Kama tunaangalia mechi tofauti, bc sawa.Hivi mmeshasahau jinsi Neto alivyotuchoma last season second half? Au ninyi mliacha kufuatilia mpira baada ya Maresca kutimua? Alifanya makusudi, ni mchezaji mzuri ila aondoke ili awape nafasi Estevao Willian na Giovani Quenda. Pedro Neto sio tu alituchoma, kwenye account yake ya Instagram aliondoa kila kitu kinachohusu Chelsea. Mchezaji kama huyo akikasirika anaizamisha timu je siku tukiwa katikati ya bahari si atatuzamisha?
Wawakilishi wa Al hilal wako wanaendelea na mazungumzo na Chelsea ambao wao wanataka pauni mil 75 kama mil euros mil 90 hivi. Ninaona kama watakuja kusettle kwenye pauni mil 70-60.Kama tunaangalia mechi tofauti, bc sawa.
Maresca ule mpira wa back pass nyingii na possesion mlima kwenye eneo lao aliokua anaucheza chelsea ndio kaupeleka pale City, Halland atasuffer sana kwa mpira wa huyo tapeli.Chelsea vs Maresca ni kama 1‑1 au hata 2‑1, ni suala la muda tu⚽️.
Maresca alicheza uchafu dhidi ya Chelsea kwa kutafuta kazi City 😤, akaharibu msimu wetu … na sasa ataendelea kuteswa hadi Etihad imfukuze ️, kisha ajikute Championship ambako ndiko anastahili 🏟️🤣
Ukiangalia jinsi Man City walivyocheza na Arsenal 😤, ile Chelsea ya msimu uliopita — timu ambayo Enzo Maresca alitoroka — ilikuwa bora mara nyingi zaidi ⚽️
FT: Arsenal 3-0 Man City
View attachment 3651540
Ni suala la muda tu Hallaand atasepa pale Man CityMaresca ule mpira wa back pass nyingii na possesion mlima kwenye eneo lao aliokua anaucheza chelsea ndio kaupeleka pale City, Halland atasuffer sana kwa mpira wa huyo tapeli.
Real Madrid bado wanamsaka StrikerNi suala la muda tu Hallaand atasepa pale Man City
Wawakilishi wa Al hilal wako wanaendelea na mazungumzo na Chelsea ambao wao wanataka pauni mil 75 kama mil euros mil 90 hivi. Ninaona kama watakuja kusettle kwenye pauni mil 70-60.
View attachment 3651545
Ninyi mlio ona kama faida kikosi kizuri hiyo ni pesa ya 2 MidfieldersTunauza wachezaji bwana, hatufanyi mchezo:
① Enzo Fernández — £120m+
② Nicolas Jackson — £60m
③ Malo Gusto — £75m
④ Pedro Neto — ~£100m
⑤ Liam Delap — £50m
⑥ Axel Disasi — £25m
⑦ Marc Guiu — £25m
💰Jumla: £455
Hiii club ya wamachinga kweli ukifika bei hata nguo ya mwlini atakuuzia maaana pesaTunauza wachezaji bwana, hatufanyi mchezo:
① Enzo Fernández — £120m+
② Nicolas Jackson — £60m
③ Malo Gusto — £75m
④ Pedro Neto — ~£100m
⑤ Liam Delap — £50m
⑥ Axel Disasi — £25m
⑦ Marc Guiu — £25m
💰Jumla: £455