Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Enzo mzuri ila akiuzwa itakuwa na faida sana kwa Chelsea kwa sababu hizi
1) Enzo hajawahi kuwa pair mzuri kwa Caicedo au vicecersa kwa sababu wote ni B2b CMs wanahama hama na kuacha nafasi kiubwa katikati inayowafanya mabeki wawe vulnerable kwa counter attack na ndio imekuwa ikituchoma sana magoli hasa kwa low block teams.
2) James na Lavia ni DM wazuri ila majeruhi ya mara kwa mara inawafanya wasiwe DM wa kutegemewa
3) Pauni 120m itmuwezesha Alonso amnunue positional DM wa kukata umeme na hivyo Caicedo kucheza kwa uhuru na mabeki wetu kulindwa. Mfumo wa Alonso inahitaji kuwa na DM asiyehama na kuhakikisha nafasi mchezaji na mchezaji ni ndogo sana.
4) Enzo Maresca aligundua haraka hilo ndipo akaamua kumpel;eka mbele na akina James, Lavia kutum iak kama DM. Sasa ujio wa Palmer back from injury na ujio wa Rogers unafanya umuhimu wa Enzo kule mbele usiwe wa muhimu sana kama kipindi cha nyuma.
Tuone kama leo saa mbili usiku Enzo Marseca atakuwa amefanikiwa kumchukua Enzo mwenzake
Naona ujanielewa sipingi Enzo Fernandez kuuzwa nachopinga ni pesa inayotaka Chelsea kumuuza naona ni ndogo kutokana na uhitaji mkubwa wa City tumpige 150 au 140 hili kosa ndio tumefanya hata kwa Cucurella tumemuuza kwa Bei chee sana Wakati tulikuwa tuna nafasi kubwa ya kudelay ili thamani ipande zaidi trust me Cucurella angekuwa team kama Newcastle na kwa performance yake asingeuzwa pound mil 60.
 
Naona ujanielewa sipingi Enzo Fernandez kukuzwa nachopinga ni pesa inayotaka Chelsea kumuuza naona ni ndogo kutokana na uhitaji mkubwa wa City tumpige 150 au 140 hili kosa ndio tumefanya hata kwa Cucurella tumemuuza kwa Bei chee sana Wakati tulikuwa tuna nafasi kubwa ya kudelay ili thamani ipande zaidi trust me Cucurella angekuwa team kama Newcastle na kwa performance yake asingeuzwa pound mil 60.
Nakuunga mkono kwa Enzo na Cucurella japo alibakiza 2 years kwenye mkataba bado tungeweza kupata mil 70 hadi 80. Soko la fullbacks, midfileds na washambualiaji liko inlated mno.
 
Lampard anamtaka Josh na Chelsea wako tayari kumtoa kwa mkopo.
Naunga mkono wazo

1786708899261.png
 
Lampard anamtaka Josh na Chelsea wako tayari kumtoa kwa mkopo.
Naunga mkono wazo

View attachment 3650220
Binafsi nisingependa huyu dogo wamtoe kwa mkopo ukiangalia kwenye defense yetu hasa Reece James na Fofana ni injury prone na lazima ujue si mechi zote Mexence Lacroix atacheza lazima Kuna mechi atapumzishwa kama mechi za Carabao au FA bado naona nafasi kubwa ya Dogo
 
Hapo vipi
Hakuna kwa sasa timu duniani inayoipiku Chelsea kwa kuuza wachezaji. Sijui negotiator pale Chelsea ni nani
1786709818148.png
 
Binafsi nisingependa huyu dogo wamtoe kwa mkopo ukiangalia kwenye defense yetu hasa Reece James na Fofana ni injury prone na lazima ujue si mechi zote Mexence Lacroix atacheza lazima Kuna mechi atapumzishwa kama mechi za Carabao au FA bado naona nafasi kubwa ya Dogo
Josh bado anzo silly errors. Anacheza vizurii sana ila maamuzi kidogo goli. ili tumfaidi aende kwenye timu ambazo hatacheza kwa presha kubwa ili azoee na kupunguza hizo errors

Mabeki tunao Fafana na Maxence
Levi Colwill na aidha Hato au Mamadou Sarr au Aaron Anselmino
Chelsea pia ilikuwa na mpango wa kumuongeza beki mzoefu kama outgoings zikiwa nyingi
 
Josh bado anzo silly errors. Anacheza vizurii sana ila maamuzi kidogo goli. ili tumfaidi aende kwenye timu ambazo hatacheza kwa presha kubwa ili azoee na kupunguza hizo errors

Mabeki tunao Fafana na Maxence
Levi Colwill na aidha Hato au Mamadou Sarr au Aaron Anselmino
Chelsea pia ilikuwa na mpango wa kumuongeza beki mzoefu kama outgoings zikiwa nyingi
Mkuuuu hyo Sarr mbona kma Disasi
 
Josh bado anzo silly errors. Anacheza vizurii sana ila maamuzi kidogo goli. ili tumfaidi aende kwenye timu ambazo hatacheza kwa presha kubwa ili azoee na kupunguza hizo errors

Mabeki tunao Fafana na Maxence
Levi Colwill na aidha Hato au Mamadou Sarr au Aaron Anselmino
Chelsea pia ilikuwa na mpango wa kumuongeza beki mzoefu kama outgoings zikiwa nyingi
Josh anacheza RCB na Center side defender kwahiyo namba yake ipo kwenye nafasi ya Maxence Lacroix,Reece James na Fofana ndio maana nikakuambia Fofana na Reece James pancha sana sio wakuwategemea ndio maana nikasema bado tunamuhitaji dogo kuliko kupoteza hela wakati tunabidi tupunguze gape ya Financial fair play. Huyo Hato, Colwin hawachezi kwenye hizo nafasi maana wao ni LCB kwahiyo huko Josh hapamuhusu.
 
lembu mwisho ni saa ngapi kwa East Africa time ambapo Man City wamepewa na Chelsea mpaka kukamilisha dili la Enzo?
 
Mashabiki wengi wa Chelsea na football kwa ujumla Wana mu underrate sana Pedro Neto tuna wasifia wachezaji wengine kama Palmer, Caicedo n.k tunamuacha huyu jamaa lakini asikuambie mtu moja kati ya wachezaji muhimu ni huyu jamaa ndio maana makocha wengi huwa wanampenda baada ya ujio wa Estevao wengi waliona atapigwa benchi dhidi ya huyu lakini haikuwa hivyo.

Pedro Neto anapendwa na makocha wengi kwasababu Pedro Neto ana workrate kubwa uwanjani kuliko mawinga wengi mafundi, ana kasi alafu ni mzuri sana kwenye kufanya majukumu ya ukabaji. Kwa aina ya mfumo wa Alonso wa mabeki watatu nawaambia ukweli Pedro Neto atakuwa first choice ya Winger ,wa pili atakuwa Quenda na mwisho ni Estevao yeye ndio anakizi nafasi ya Wing back na Quenda kwa Estevao hafit ila kama mfumo utakuwa wa mabeki wanne.
uko sawa mkuu pedro anajitos sana sijui why watu wanataka auzwe sasa aje nani?
 
Disasi (28) kashazeeka hakui tena. Kumfananisha Mamadou Sarr kijana mdogo wa miaka 20 ambaye hata kandanda bado hajaanza kucheza, kweli unajua mpira wewe?
Sarr ni kijana sio Mzee nilimuona kwenye michuano ya Afcon iliyoisha aliperform vizuri sana anachohitajika ni kupewa tu nafasi sema akipewaga nafasi huwa anapangwa na Tosin ana bahati mbaya sana huyu dogo
 
uko sawa mkuu pedro anajitos sana sijui why watu wanataka auzwe sasa aje nani?
Pedro ni mzuri ila anamawenge sana, ametuzamisha sana nusu ya pili ya msimu uliopita yeye na Malo Gusto. Hata wakiuzwa mimi nitafurahi sana.

Good news

Pedro Neto na Al Hilal wameshakubaliana personal terms.
Chelsea wanataka angalau Euro milioni 60.

1786777325380.png
 
Confirmed Team vs Real Sociedad

Defence: Sanchez, Fofana, Lacroix, Colwil and Palestra

Midfielder: Caicedo and Reece James

Attacks: Neto, Palmer, Morgan and Joao Pedro.

NB: Ebu nisaidieni huu ni mfumo gani nimeshindwa kuelewa hapo Fofana anacheza kama RB au Center back huyu ndio kanichanganya kujua mfumo gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom