Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea Lineup vs Real Sociedad

----------Joao Pedro-----------

--Rogers--------------Palmer--

Palestra---Caicedo ---James---Neto

---Collwill----Lacroix----Fofana----

-------------Sanchez------------

Substitutes
1. Mike Penders
2. Gabriel Slonina
3. Josh Acheampong
4. Pep Chavarría
5. Malo Gusto
6. Jorrel Hato
7. Dariol Essugo
8. Romeo Lavia
9. Valentín Barco
10. Enzo Fernández
11. Estevão Willian
12. Jamie Bynoe Gittens
13. Giovani Quenda
#Chelsea #Transfers #FutureStars #SquadDepth #BlueArmy #CFC

1786797764049.png
 
Confirmed Team vs Real Sociedad

Defence: Sanchez, Fofana, Lacroix, Colwil and Palestra

Midfielder: Caicedo and Reece James

Attacks: Neto, Palmer, Morgan and Joao Pedro.

NB: Ebu nisaidieni huu ni mfumo gani nimeshindwa kuelewa hapo Fofana anacheza kama RB au Center back huyu ndio kanichanganya kujua mfumo gani
Chelsea Lineup vs Real Sociedad

----------Joao Pedro-----------

--Rogers--------------Palmer--

Palestra---Caicedo ---James---Neto

---Collwill----Lacroix----Fofana----

-------------Sanchez------------

Substitutes
1. Mike Penders
2. Gabriel Slonina
3. Josh Acheampong
4. Pep Chavarría
5. Malo Gusto
6. Jorrel Hato
7. Dariol Essugo
8. Romeo Lavia
9. Valentín Barco
10. Enzo Fernández
11. Estevão Willian
12. Jamie Bynoe Gittens
13. Giovani Quenda
#Chelsea #Transfers #FutureStars #SquadDepth #BlueArmy #CFC

View attachment 3650720
 
lembu tunataka tusikie uchambuzi wako kuhusu mechi ya leo me nimeangalia kuanzia dk 75
Sikuangalia yote kwa kufuatilia moja kwa moja.
Nialianza dakia ya 20+ na baadaye nikaja kuangalia baada ya HT, mawasiliano ikakatika nikarudi dk ya 70 hivi.
Kwa ujumla bado wachezaji waajajenga chemistry nzuri kwa mfumo wa Xabi Alonso

Kitu kimoja kiko wazi — João Pedro ni kitu kizuri cha kujivunia pale Chelsea kwa sasa. 🔵✨

Chelsea walicheza vibaya kipindi cha kwanza licha ya goli la mapema lililotokana na juhudi za Pedro Neto na kichwa cha João Pedro, kisha Morgan Rogers akamalizia kwa mpira rahisi wa karibu. João Pedro na Pedro Neto walikuwa wachezaji waliobeba timu kabla ya mapumziko.

Cole Palmer alicheza vibaya kipindi cha kwanza lakini Xabi Alonso aliweza kubadili mtazamo wa wachezaji kipindi cha pili. Palmer akarudi akiwa makini zaidi, mabadiliko yakaleta nguvu mpya na timu ikabadilika kabisa.

Pedro Neto alicheza vizuri sana hadi alipotolewa. Enzo Fernández alipoingia kulikuwa na hisia mchanganyiko — wachache walimzomea, lakini wengi wakaimba jina lake “Oh, Enzo Fernández!”. Upendo wa mashabiki kwake ni mkubwa, na kwa namna hiyo inaonekana Enzo anaweza kuamua kubaki Chelsea. Mawasiliano yake na mashabiki yalikuwa ya kihisia kabisa.

Malo Gusto naye aliingia na akatoa kiwango bora.

Kwa ujumla, timu iko tayari kwa ligi. Sina shaka kabisa. 🔥⚽

1786850035639.png
 
Sikuangalia yote kwa kufuatilia moja kwa moja.
Nialianza dakia ya 20+ na baadaye nikaja kuangalia baada ya HT, mawasiliano ikakatika nikarudi dk ya 70 hivi.
Kwa ujumla bado wachezaji waajajenga chemistry nzuri kwa mfumo wa Xabi Alonso

Kitu kimoja kiko wazi — João Pedro ni kitu kizuri cha kujivunia pale Chelsea kwa sasa. 🔵✨

Chelsea walicheza vibaya kipindi cha kwanza licha ya goli la mapema lililotokana na juhudi za Pedro Neto na kichwa cha João Pedro, kisha Morgan Rogers akamalizia kwa mpira rahisi wa karibu. João Pedro na Pedro Neto walikuwa wachezaji waliobeba timu kabla ya mapumziko.

Cole Palmer alicheza vibaya kipindi cha kwanza lakini Xabi Alonso aliweza kubadili mtazamo wa wachezaji kipindi cha pili. Palmer akarudi akiwa makini zaidi, mabadiliko yakaleta nguvu mpya na timu ikabadilika kabisa.

Pedro Neto alicheza vizuri sana hadi alipotolewa. Enzo Fernández alipoingia kulikuwa na hisia mchanganyiko — wachache walimzomea, lakini wengi wakaimba jina lake “Oh, Enzo Fernández!”. Upendo wa mashabiki kwake ni mkubwa, na kwa namna hiyo inaonekana Enzo anaweza kuamua kubaki Chelsea. Mawasiliano yake na mashabiki yalikuwa ya kihisia kabisa.

Malo Gusto naye aliingia na akatoa kiwango bora.

Kwa ujumla, timu iko tayari kwa ligi. Sina shaka kabisa. 🔥⚽

View attachment 3651164
Nimejaribu kuangalia highlight nimeona baadhi ya sajili Mpya hawapo kwenye fitness level mfano Lacroix, Morgan japo kafunga lakini bado hayupo kwenye hiyo level ya fitness Kuna Pep chavarria pia.

Jambo lingine nimeliona niliwahi kuzungumza unapowachezesha James na Caicedo ni wachezaji wazuri kwenye kuzuia ila sio kwenye kupandisha mashambulizi na ndio maana first half hatukucheza vizuri mpaka pale alivyoingia Enzo Fernandez ndio mpira ukabadilika.

NB: Ningependa against Fulham hawachezeshe wachezaji wengi ambao tulikuwa nao misimu uliopita wengine wanaingizwa taratibu taratibu kwasababu ndio wanachemistry na muda ni mchache umeona alivyoingia Malo Gusto kacheza as if alikuwa kwenye pre season tangu mwanzo Experience ipo na hata pia Enzo Fernandez alikuwa anacheza kwa mamlaka so mechi dhidi ya Fulham Ningependa kikosi kiwe hivi

Sanchez

James. Fofana. Colwil.


Neto. Enzo. Caicedo. Palestra.


Palmer. Gittens.


Joao Pedro.

OR


Sanchez.

James. Fofana. Colwil. Hato.


Enzo. Caicedo.


Neto/Estevao. Palmer. Gittens.


Joao Pedro.
 
Nimejaribu kuangalia highlight nimeona baadhi ya sajili Mpya hawapo kwenye fitness level mfano Lacroix, Morgan japo kafunga lakini bado hayupo kwenye hiyo level ya fitness Kuna Pep chavarria pia.

Jambo lingine nimeliona niliwahi kuzungumza unapowachezesha James na Caicedo ni wachezaji wazuri kwenye kuzuia ila sio kwenye kupandisha mashambulizi na ndio maana first half hatukucheza vizuri mpaka pale alivyoingia Enzo Fernandez ndio mpira ukabadilika.

NB: Ningependa against Fulham hawachezeshe wachezaji wengi ambao tulikuwa nao misimu uliopita wengine wanaingizwa taratibu taratibu kwasababu ndio wanachemistry na muda ni mchache umeona alivyoingia Malo Gusto kacheza as if alikuwa kwenye pre season tangu mwanzo Experience ipo na hata pia Enzo Fernandez alikuwa anacheza kwa mamlaka so mechi dhidi ya Fulham Ningependa kikosi kiwe hivi

Sanchez

James. Fofana. Colwil.


Neto. Enzo. Caicedo. Palestra.


Palmer. Gittens.


Joao Pedro.

OR


Sanchez.

James. Fofana. Colwil. Hato.


Enzo. Caicedo.


Neto/Estevao. Palmer. Gittens.


Joao Pedro.
Gittens acheze badala ya Rogers utakuwa unatania kwa kweli. Kwanza Gittens anafaa tu kwenye mfumo wa winga ila huu wa double 10 hawezi kucheza labda hata ungesema Estevao acheze na Palmer.

Mimi kwa maoni yangu Rogers anauzoefu wa ligi na haitaji muda mrefu kuticki

NB: Kama maelekezo ya Alonso yakichukuliwa vizuri, ni kweli Enzo na Caicedo wanaweza kutengeneza pair nzuri kama jana Enzo na Caicedo walicheza vizuri kwa sababu hawakuacha distance kubwa na ndio matakwa ya Xabi. NI kweli Enzo alipoingia kulikuwepo na control zaidi kwenye midfield na midfield ikiwa na control tayari timu ina control mpira na matokeo.

Ila bado nisingependa Enzo aanze especially kama hili saga lake la kuhama litakuwa bado linaumiza vichwa hadi dirisha lifungwe

Neto naye na sakata la kwenda uarabuni ndio naona inapamba moto anaweza asiichezee Chelsea tena

Kwa hiyo kuna kila dalili kwamba line up ikawa hivi (NB. Fofana anatumikia red card)

--------------Joao Pedro--------------

-----Rogers-----------------Palmer----

Chavarria---Caicedo ---Lavia---Palestra

Collwill-----------Lacroix----------James

-----------------Sanchez-----------------

Substitutes
1. Mike Penders
2. Malo Gusto
3. Jorrel Hato
4. Valentin Barco
5. Enzo Fernández
6. Estevão Willian
7. Giovani Quenda
8. Jamie Gittens
9. Danny Welbeck
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom