Meza dawa ya kutuliza maumivu naona home imepanda Bei 🤣Hii timu hata carabao msimu ujao haibebi
Meza dawa ya kutuliza maumivu naona home imepanda Bei 🤣Hii timu hata carabao msimu ujao haibebi
Pedro Neto (26) ni mpuuzi sana. Nusu ya msimu uliopita alizima data kabisa na kucheza vibaya kwa makusudi. Build‑ups zikimfikia yeye anaharibu, na usitake tukuwekee video zake kama uliacha kumfuatilia. Ni kwa sababu yake, na wengine kama Malo Gusto, Chelsea ilimaliza nafasi ya 10. Akiuzwa Neto, ni kwa usalama wa Chelsea.Mashabiki wengi wa Chelsea na football kwa ujumla Wana mu underrate sana Pedro Neto tuna wasifia wachezaji wengine kama Palmer, Caicedo n.k tunamuacha huyu jamaa lakini asikuambie mtu moja kati ya wachezaji muhimu ni huyu jamaa ndio maana makocha wengi huwa wanampenda baada ya ujio wa Estevao wengi waliona atapigwa benchi dhidi ya huyu lakini haikuwa hivyo.
Pedro Neto anapendwa na makocha wengi kwasababu Pedro Neto ana workrate kubwa uwanjani kuliko mawinga wengi mafundi, ana kasi alafu ni mzuri sana kwenye kufanya majukumu ya ukabaji. Kwa aina ya mfumo wa Alonso wa mabeki watatu nawaambia ukweli Pedro Neto atakuwa first choice ya Winger ,wa pili atakuwa Quenda na mwisho ni Estevao yeye ndio anakizi nafasi ya Wing back na Quenda kwa Estevao hafit ila kama mfumo utakuwa wa mabeki wanne.
Huyu inabidi apelekwe kwa mkopo hasa kwenye team ya EPL aendelee kukua nafikiri Chelsea itabaki na Joao Pedro, Welbeck, Emanuel megher na Nicolas Jackson.Happy 18th Birthday, Dastan Satpayev! 🎉💙
Dastan ametimiza miaka 18 leo na tayari ni mchezaji halali wa Chelsea. Tunatumaini kuwa taratibu zote za usajili zinafanyika sasa hivi na kwamba atatangazwa rasmi kama mchezaji wa Chelsea muda si mrefu. 🔵✨
View attachment 3648837
Msimu ule ulikuwa mbaya kwa karibia kwa kila player Palmer mwenyewe akarudi sio yule Palmer tunayemfahamu. Ni kweli baadhi ya mechi Pedro Neto alizingua lakini ni chache kulinganisha na mechi alizoperform vizuri kwa mchezaji huwa inatokea Kuna wakati upepo mbaya unakupitiaPedro Neto (26) ni mpuuzi sana. Nusu ya msimu uliopita alizima data kabisa na kucheza vibaya kwa makusudi. Build‑ups zikimfikia yeye anaharibu, na usitake tukuwekee video zake kama uliacha kumfuatilia. Ni kwa sababu yake, na wengine kama Malo Gusto, Chelsea ilimaliza nafasi ya 10. Akiuzwa Neto, ni kwa usalama wa Chelsea.
Bahati nzuri Quenda na Estevão wataweza kuziba hiyo RW. Estevão anahitaji tu Xabi Alonso ampe maelekezo aache ubinafsi na ajifunze kutoa pasi badala ya mambo mengi yasiyolingana na umri wake. Quenda sina shida naye—anaweza kupata dakika nyingi kuliko Estevão kwa sababu anaonekana yuko mature zaidi kwenye maamuzi.
View attachment 3648687
Ni Malo Gusto na Pedro tu tena wamefanya makusudi kwa sababu ya kuchukia Maresca kuondoka, Palmer alitokea Majeruhi form yake ikachelewa kurudi, Estevao alienda amajeruhi ila alikuwa akicheza vizuri. Enzo Fernandez akliumizwa sana an Maresca kuondoka ila yeye form yake ilipaa zaidi alituokoa kwenye ocacsions nyingi sana. Huwezi niambi kitu kwa Neto. Menatlity yake haifai kuwa Chelsea. Ni bora hata waarabu wameanza negotiaition ya mil 90Msimu ule ulikuwa mbaya kwa karibia kwa kila player Palmer mwenyewe akarudi sio yule Palmer tunayemfahamu. Ni kweli baadhi ya mechi Pedro Neto alizingua lakini ni chache kulinganisha na mechi alizoperform vizuri kwa mchezaji huwa inatokea Kuna wakati upepo mbaya unakupitia
Chelsea wangeweka 150 hiyo pesa Man City wanauwezo wa kulipa hasa wakimuuza RodriIjumaa saa saa 2 usiku ndio mwisho wa kulipa pauni milioni 120 bila kupungua kwa mkuda yeyote anayetaka kumnunua Enzo Fernández, baada ya hapo hakuna kuuza, Enzo Fernández atakuwa sehemu ya jeshi la mapambano la Xabi Alonso msimu ujao. Nimeipenda hii kutoka wka manajimenti ya Chelsea.
View attachment 3649483
Ila mie neonatal Enzo angeondoka tu maaana anazingua kiburi kma viongozi wa kiafrikaChelsea wangeweka 150 hiyo pesa Man City wanauwezo wa kulipa hasa wakimuuza Rodri
Alituharibia msimu yule Maresca tungemuwekea hata 200m 😁Chelsea wangeweka 150 hiyo pesa Man City wanauwezo wa kulipa hasa wakimuuza Rodri
Man City wametoa £102.5MKwa kuinua mikono yote miwili katika lile ishara wakati wa Kombe la Dunia 2026, je Enzo Fernández alikuwa akiwaaga mashabiki wa Argentina, au tunachokiona Stamford Bridge ni tafsiri isiyo sahihi ya ishara ile ile?
View attachment 3648738
Kwani yeye Enzo anasemaje yupo willing kujiunga na City??Man City wametoa £102.5M
Tumpe tusimpe
Wameambiwa bei ni ile ile kama hawana wapite kushoto
Personal terms agreedKwani yeye Enzo anasemaje yupo willing kujiunga na City??
Ila binafsi nisingependa auzwe kwa 120 kwa aina la soko la Sasa tena kwa mpinzani wako na Enzo ni moja kati ya wachezaji bora ni vema akauzwa kwa 150. Kama wamenunua Anderson 117 kwanini sisi iwe 120?Personal terms agreed
Enzo anapenda kucheza UEFA Champion League ila halazimishi kutoka Chelsea. Hiyo ndio msimamo wake na ndio maana Chelsea hawako na haraka kumuuza.
Enzo mzuri ila akiuzwa itakuwa na faida sana kwa Chelsea kwa sababu hiziIla binafsi nisingependa auzwe kwa 120 kwa aina la soko la Sasa tena kwa mpinzani wako na Enzo ni moja kati ya wachezaji bora ni vema akauzwa kwa 150. Kama wamenunua Anderson 117 kwanini sisi iwe 120?