Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ombi langu msimu ujao ni moja tu, Arsenal asirudie kuchukua ubingwa hata kwa gharama ya Man Utd kushuka daraja.
Mbona unamaombi ya kikatili hivyo aisee? Hata mimi huwa siwaombei mshuke daraja. Nataka mshike nafasi ya 17 huku mkiponea kushushwa daraja kwa GD ya 1.
 
Mbona unamaombi ya kikatili hivyo aisee? Hata mimi huwa siwaombei mshuke daraja. Nataka mshike nafasi ya 17 huku mkiponea kushushwa daraja kwa GD ya 1.
Shida tunayopata mtaani huku ni siri yetu
 
Mbona unamaombi ya kikatili hivyo aisee? Hata mimi huwa siwaombei mshuke daraja. Nataka mshike nafasi ya 17 huku mkiponea kushushwa daraja kwa GD ya 1.
Ila mngefanikiwa kumchukua Vini, UCL ilikuwa 67% ya kwenu. Ila kwa safu yenu ile kama mnaendelea kutegemea mipira ya kona kupata magoli basi safari bado ndefu sana
 
Shida tunayopata mtaani huku ni siri yetu
Sisi mbona wastaarabu sana kwenye suala la kujigamba na ubingwa ? Wangeshinda Manyumbu mpaka leo hii wangekuwa wanatusumbua. Ila sisi tulisherekea siku 2-3 paaap....tukaendelea na shughuli zingine za kujenga taifa.
 
Ila mngefanikiwa kumchukua Vini, UCL ilikuwa 67% ya kwenu. Ila kwa safu yenu ile kama mnaendelea kutegemea mipira ya kona kupata magoli basi safari bado ndefu sana
Vini hakuwa na nia yoyote ya kuja London. Alituomba tu tumsaidie kupata donge nono kutoka Madrid, na si mnatujua sisi tulivyo mabwana huruma? Tukamsaidia kwa kujidai tunamfukuzia ila sisi tuliwataka Tzolis ambaye tulimpata, na Rogers ambaye hawa Chelkenge walitunyang'anya tonge mdomoni. Wahuni sana hawa Chelkenge.
 
Hii mechi tunafungwa
Hii timu ya Johor Darul Ta'zim ndio mabingwa wa Malaysia Super League na sisi tunaenda kuwawekewa watoto wasio na uzoefu kiwanjani hadi kwenye benchi.
Sijui kocha kwa nini amemuondoa Mike Penders, hii mechi ndio ilikuwa size yake
1786275486665.png
 
Hii mechi tunafungwa
Hii timu ya Johor Darul Ta'zim ndio mabingwa wa Malaysia Super League na sisi tunaenda kuwawekewa watoto wasio na uzoefu kiwanjani hadi kwenye benchi.
Sijui kocha kwa nini amemuondoa Mike Penders, hii mechi ndio ilikuwa size yake
View attachment 3647023
Kumbe hii mechi ilipwangwa kwa dharura ili hawa watoto wapate chance ya kucheza?
1786276926815.png
 
Hii mechi tunafungwa
Hii timu ya Johor Darul Ta'zim ndio mabingwa wa Malaysia Super League na sisi tunaenda kuwawekewa watoto wasio na uzoefu kiwanjani hadi kwenye benchi.
Sijui kocha kwa nini amemuondoa Mike Penders, hii mechi ndio ilikuwa size yake
View attachment 3647023
Mike Penders ni first team akigombaniana na Sanchez ndio maana hayupo kabisa
 
Essugo hatufai kabisa sio level ya hata ya kukaa benchi unachezaje ligi kubwa kama EPL alafu ujui kupiga pass binafsi nilitegemea ataimprove alishawahi kuambiwa na Enzo Maresca kwa kweli anakera mno huyu jamaa ni kuuzwa kabisa
 
Essugo hatufai kabisa sio level ya hata ya kukaa benchi unachezaje ligi kubwa kama EPL alafu ujui kupiga pass binafsi nilitegemea ataimprove alishawahi kuambiwa na Enzo Maresca kwa kweli anakera mno huyu jamaa ni kuuzwa kabisa
50/50 for me. Dario Esugo anasumbuliwa na confidence ya kutocheza continuously tangu aje na ukumbuke Chelsea ni jinamizi kubwa kwa hawa watoto. Auzwe Strasbourg na kumfanyia monitoring huko.
 
Hii mechi tunafungwa
Hii timu ya Johor Darul Ta'zim ndio mabingwa wa Malaysia Super League na sisi tunaenda kuwawekewa watoto wasio na uzoefu kiwanjani hadi kwenye benchi.
Sijui kocha kwa nini amemuondoa Mike Penders, hii mechi ndio ilikuwa size yake
View attachment 3647023
Mamadou Sarr na Aaron Anselmino majeruhi, kunani zaidi kwa hawa vijana?
 
Chelsea leo imehitimisha International Pre-season tour kule Malaysia. Preseason ya mwisho nyumbani dhidi ya Real Sociedad tarehe 15 August 2026 saa 10 jioni kabla hatujakutana na Fulham majirani zetu wa kilomita 2 kwenye Ligi.
1786285630880.png
 
50/50 for me. Dario Esugo anasumbuliwa na confidence ya kutocheza continuously tangu aje na ukumbuke Chelsea ni jinamizi kubwa kwa hawa watoto. Auzwe Strasbourg na kumfanyia monitoring huko.
Tunabidi tuongeze kiungo mmoja
 
Tuna viungo watano wanaogombania nafasi mbili
Caseido
Enzo
Lavia
Barco
Henderson huyo Essugo sijamuweka
Sioni kama kuna biashara nyingine labda kama tutauza wawili kati ya hao 6
Pia Reece James anahesabiwa kwenye sehemu tatu
RB
RCB
DM
 
Pia Reece James anahesabiwa kwenye sehemu tatu
RB
RCB
DM
Team yetu inahitaji midfielder mwenye uwezo wakudominate katikati aina kama Rodri au mwenye uwezo wa kukokota mpira ball carrier kwasababu team nyingi za Epl zinacheza mchezo wa low block
 
Team yetu inahitaji midfielder mwenye uwezo wakudominate katikati aina kama Rodri au mwenye uwezo wa kukokota mpira ball carrier kwasababu team nyingi za Epl zinacheza mchezo wa low block
Atanunuliwa tu Enzo Fernandez akiuzwa, vinginevya hakutakuwa na logic ya kujaza viungo wa mil 100+ bila kucheza. Inavyoelekea Enzo anabaki Chelsea kwa 90%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom