HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,686
- 7,181
Mbona unamaombi ya kikatili hivyo aisee? Hata mimi huwa siwaombei mshuke daraja. Nataka mshike nafasi ya 17 huku mkiponea kushushwa daraja kwa GD ya 1.Ombi langu msimu ujao ni moja tu, Arsenal asirudie kuchukua ubingwa hata kwa gharama ya Man Utd kushuka daraja.