Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Old Lady FC 😂… Chelsea hii inaenda kutawala ligi kama Juventus ya enzi zile walipokuwa wakisajili wachezaji wakongwe. Umri si kikwazo, makombe ndiyo lengo 🏆💙

Waleteni wazee wenu tuwafikirie kwenye usajili, kambi ya wazee inasajili sasa


1785331944997.png
 
Old Lady FC 😂… Chelsea hii inaenda kutawala ligi kama Juventus ya enzi zile walipokuwa wakisajili wachezaji wakongwe. Umri si kikwazo, makombe ndiyo lengo 🏆💙

Waleteni wazee wenu tuwafikirie kwenye usajili, kambi ya wazee inasajili sasa


View attachment 3639261
🚨 Gary Neville kuhusu wachezaji wazee:

**“Kuweka uti wa mgongo wa wachezaji wakongwe wenye uzoefu ambao wanakuwa kama walinzi wa maadili na majukumu si uchawi; timu zimekuwa zikifanya hivyo kwa miongo kadhaa. Kumpa nafasi Henderson anayejua namna ya kushinda taji na Welbeck, kazi yao ni kubwa nje ya uwanja kama ilivyo ndani ya uwanja.

Wote bado ni wachezaji wazuri na wanaweza kuchangia, lakini jukumu lao kubwa ni kuhakikisha vijana wanajitokeza kila siku, wanajituma kwa nguvu zote, na kurudia tena kesho. Hili limekuwa tatizo Chelsea — hakuna kijana wao aliyekuwa na mwongozo au uongozi ndani na nje ya uwanja.

Welbeck ni mchezaji wa kipekee, hii ni hatua nzuri kwa Chelsea.”**

(@SkySportsPL)

1785333237288.png
 
Old Lady FC 😂… Chelsea hii inaenda kutawala ligi kama Juventus ya enzi zile walipokuwa wakisajili wachezaji wakongwe. Umri si kikwazo, makombe ndiyo lengo 🏆💙

Waleteni wazee wenu tuwafikirie kwenye usajili, kambi ya wazee inasajili sasa


View attachment 3639261
Akiwa kijana tu alikua mbovu, sahiv ni mzee atakuaje?!! sijawahigi kuielewa hii takataka,tutakua tunapigwa kama ngoma kubabake
 
Akiwa kijana tu alikua mbovu, sahiv ni mzee atakuaje?!! sijawahigi kuielewa hii takataka,tutakua tunapigwa kama ngoma kubabake
tatizo wengi wenu hamkuelewa logic ya kuwasajili hao wazee
Soma quote ya Gary Nevile hapo chini utaelewa
🚨 Gary Neville kuhusu wachezaji wazee:

**“Kuweka uti wa mgongo wa wachezaji wakongwe wenye uzoefu ambao wanakuwa kama walinzi wa maadili na majukumu si uchawi; timu zimekuwa zikifanya hivyo kwa miongo kadhaa. Kumpa nafasi Henderson anayejua namna ya kushinda taji na Welbeck, kazi yao ni kubwa nje ya uwanja kama ilivyo ndani ya uwanja.

Wote bado ni wachezaji wazuri na wanaweza kuchangia, lakini jukumu lao kubwa ni kuhakikisha vijana wanajitokeza kila siku, wanajituma kwa nguvu zote, na kurudia tena kesho. Hili limekuwa tatizo Chelsea — hakuna kijana wao aliyekuwa na mwongozo au uongozi ndani na nje ya uwanja.

Welbeck ni mchezaji wa kipekee, hii ni hatua nzuri kwa Chelsea.”**

(@SkySportsPL)

View attachment 3639290
 
Ila we jamaa 😂 ila Teka lako Benjamin Sesko kazidiwa magoal na Mzee Welbeck msimu uliopita Hilo usemi
Shida Sesko hajakaa na mzee wa kumshauri. Sisi tChelsea tumeliona hilo tumechukua hatua wanatucheka. Ngoja May tutakapobeba trible na wao wakipambaniua relagation ndio watatuelewa
 
Wazee wanini!!, mwisho wakazime uwanjani kama Eriksen. Wenzenu wananunua vijana, nyie mnajaza vitoto na wazee. Nasema hivii tutapigwa kama ngoma.
Kwani Thiago Silva tulimsajili kwa umri wa miaka mingapi?
 
Wazee wanini!!, mwisho wakazime uwanjani kama Eriksen. Wenzenu wananunua vijana, nyie mnajaza vitoto na wazee. Nasema hivii tutapigwa kama ngoma.
Kwani tumewasajili wakafie uwanjani. Wale hawakusajiliwa kwa lengo kuu la kucheza. Washauri, waalimu, watia moyo na hamasa na uwepo wao tu unawafanya wadogo wale wakaze msiuli kama wanaume
 
Jude Bellingham kuhusu Henderson majira haya ya kiangazi:

“Wale (waliomcheka kuwa kwenye kikosi) hawajui wanachozungumza.”

“Anawafanya kila mtu acheke, anawaunganisha wote. Ikiwa kuna jambo ambalo wewe kama kijana wa miaka 22 au 23 unaona labda ni kubwa sana kwako kwenda kulishughulikia, yeye atakushughulikia.”

“Kama kuna tatizo kati ya wachezaji wawili, yeye huenda kulitatua na kuwaunganisha. Hana hata chembe ya ubinafsi linapokuja suala la kuisaidia timu. Jana alikuwa anafanya lay‑offs ili sisi tufanye mazoezi ya kumalizia (finishing). Yaani hilo ni jambo gani? Hahitaji kufanya hivyo, ni nahodha aliyeshinda UCL na Premier League.”

Morgan Rogers:“Ndio, ni mtu bora zaidi niliyewahi kukutana naye kwenye soka.”

(England YouTube Channel)

1785431700612.png
 
Kwani tumewasajili wakafie uwanjani. Wale hawakusajiliwa kwa lengo kuu la kucheza. Washauri, waalimu, watia moyo na hamasa na uwepo wao tu unawafanya wadogo wale wakaze msiuli kama wanaume
Naongezea hapo ndio maana wamesajiliwa kama free agent
 
Misha is back
Ahsante Mungu Mudryk wetu sasa anaruhusiwa kucheza, kifungo kimeondolewa
Atasafiri Jumapili kujiunga na wenzake Hong Kong.
-Fabrizio Romano
1785511579397.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom