kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 7,820
- 20,807
Welbz na Henderson......
Haya wazee tuko pale tumekaa tunasubiri ligi ianze......
Maji mtaita mma
Haya wazee tuko pale tumekaa tunasubiri ligi ianze......
Maji mtaita mma
🚨 Gary Neville kuhusu wachezaji wazee:Old Lady FC 😂… Chelsea hii inaenda kutawala ligi kama Juventus ya enzi zile walipokuwa wakisajili wachezaji wakongwe. Umri si kikwazo, makombe ndiyo lengo 🏆💙
Waleteni wazee wenu tuwafikirie kwenye usajili, kambi ya wazee inasajili sasa
View attachment 3639261
Akiwa kijana tu alikua mbovu, sahiv ni mzee atakuaje?!! sijawahigi kuielewa hii takataka,tutakua tunapigwa kama ngoma kubabakeOld Lady FC 😂… Chelsea hii inaenda kutawala ligi kama Juventus ya enzi zile walipokuwa wakisajili wachezaji wakongwe. Umri si kikwazo, makombe ndiyo lengo 🏆💙
Waleteni wazee wenu tuwafikirie kwenye usajili, kambi ya wazee inasajili sasa
View attachment 3639261
tatizo wengi wenu hamkuelewa logic ya kuwasajili hao wazeeAkiwa kijana tu alikua mbovu, sahiv ni mzee atakuaje?!! sijawahigi kuielewa hii takataka,tutakua tunapigwa kama ngoma kubabake
🚨 Gary Neville kuhusu wachezaji wazee:
**“Kuweka uti wa mgongo wa wachezaji wakongwe wenye uzoefu ambao wanakuwa kama walinzi wa maadili na majukumu si uchawi; timu zimekuwa zikifanya hivyo kwa miongo kadhaa. Kumpa nafasi Henderson anayejua namna ya kushinda taji na Welbeck, kazi yao ni kubwa nje ya uwanja kama ilivyo ndani ya uwanja.
Wote bado ni wachezaji wazuri na wanaweza kuchangia, lakini jukumu lao kubwa ni kuhakikisha vijana wanajitokeza kila siku, wanajituma kwa nguvu zote, na kurudia tena kesho. Hili limekuwa tatizo Chelsea — hakuna kijana wao aliyekuwa na mwongozo au uongozi ndani na nje ya uwanja.
Welbeck ni mchezaji wa kipekee, hii ni hatua nzuri kwa Chelsea.”**
(@SkySportsPL)
View attachment 3639290
Ila we jamaa 😂 ila Teka lako Benjamin Sesko kazidiwa magoal na Mzee Welbeck msimu uliopita Hilo usemiOtamendi asizime simu tu. Soon nae anapewa shavu.
na kweli bado tunahitaji beki mzee labda kama tabiua yake ni mabay. hao wazee wanasajiliwa kama washauri wa hai wonderkidsOtamendi asizime simu tu. Soon nae anapewa shavu.
Shida Sesko hajakaa na mzee wa kumshauri. Sisi tChelsea tumeliona hilo tumechukua hatua wanatucheka. Ngoja May tutakapobeba trible na wao wakipambaniua relagation ndio watatuelewaIla we jamaa 😂 ila Teka lako Benjamin Sesko kazidiwa magoal na Mzee Welbeck msimu uliopita Hilo usemi
Umezingatia nafasi anayocheza Kuna nani na nani?Tusimsahau mzee MO Salah 😂
Wewe ulitaka Mzee yupi tumsajili?Akiwa kijana tu alikua mbovu, sahiv ni mzee atakuaje?!! sijawahigi kuielewa hii takataka,tutakua tunapigwa kama ngoma kubabake
Wazee wanini!!, mwisho wakazime uwanjani kama Eriksen. Wenzenu wananunua vijana, nyie mnajaza vitoto na wazee. Nasema hivii tutapigwa kama ngoma.Wewe ulitaka Mzee yupi tumsajili?
Siwezi fatilia huyu mpuuzi hata siku moja.tatizo wengi wenu hamkuelewa logic ya kuwasajili hao wazee
Soma quote ya Gary Nevile hapo chini utaelewa
Kwani Thiago Silva tulimsajili kwa umri wa miaka mingapi?Wazee wanini!!, mwisho wakazime uwanjani kama Eriksen. Wenzenu wananunua vijana, nyie mnajaza vitoto na wazee. Nasema hivii tutapigwa kama ngoma.
Kwani tumewasajili wakafie uwanjani. Wale hawakusajiliwa kwa lengo kuu la kucheza. Washauri, waalimu, watia moyo na hamasa na uwepo wao tu unawafanya wadogo wale wakaze msiuli kama wanaumeWazee wanini!!, mwisho wakazime uwanjani kama Eriksen. Wenzenu wananunua vijana, nyie mnajaza vitoto na wazee. Nasema hivii tutapigwa kama ngoma.
Naongezea hapo ndio maana wamesajiliwa kama free agentKwani tumewasajili wakafie uwanjani. Wale hawakusajiliwa kwa lengo kuu la kucheza. Washauri, waalimu, watia moyo na hamasa na uwepo wao tu unawafanya wadogo wale wakaze msiuli kama wanaume