Wewe ulitaka Mzee yupi tumsajili?Akiwa kijana tu alikua mbovu, sahiv ni mzee atakuaje?!! sijawahigi kuielewa hii takataka,tutakua tunapigwa kama ngoma kubabake
Wewe ulitaka Mzee yupi tumsajili?Akiwa kijana tu alikua mbovu, sahiv ni mzee atakuaje?!! sijawahigi kuielewa hii takataka,tutakua tunapigwa kama ngoma kubabake
Wazee wanini!!, mwisho wakazime uwanjani kama Eriksen. Wenzenu wananunua vijana, nyie mnajaza vitoto na wazee. Nasema hivii tutapigwa kama ngoma.Wewe ulitaka Mzee yupi tumsajili?
Siwezi fatilia huyu mpuuzi hata siku moja.tatizo wengi wenu hamkuelewa logic ya kuwasajili hao wazee
Soma quote ya Gary Nevile hapo chini utaelewa
Kwani Thiago Silva tulimsajili kwa umri wa miaka mingapi?Wazee wanini!!, mwisho wakazime uwanjani kama Eriksen. Wenzenu wananunua vijana, nyie mnajaza vitoto na wazee. Nasema hivii tutapigwa kama ngoma.
Kwani tumewasajili wakafie uwanjani. Wale hawakusajiliwa kwa lengo kuu la kucheza. Washauri, waalimu, watia moyo na hamasa na uwepo wao tu unawafanya wadogo wale wakaze msiuli kama wanaumeWazee wanini!!, mwisho wakazime uwanjani kama Eriksen. Wenzenu wananunua vijana, nyie mnajaza vitoto na wazee. Nasema hivii tutapigwa kama ngoma.
Naongezea hapo ndio maana wamesajiliwa kama free agentKwani tumewasajili wakafie uwanjani. Wale hawakusajiliwa kwa lengo kuu la kucheza. Washauri, waalimu, watia moyo na hamasa na uwepo wao tu unawafanya wadogo wale wakaze msiuli kama wanaume
Hivi yule dogo katoka sporting risbon anacheza upande upiJamie Gittens na Mudryk
Sasa hatuna haja ya kwenda sokoni kusak winga wa kushoto
View attachment 3640977
Giovani Quenda anacheza kuliaHivi yule dogo katoka sporting risbon anacheza upande upi
Sawa naona upande wa kulia na kushoto pametimiaGiovani Quenda anacheza kulia
Winga wa kulia au wing backHivi yule dogo katoka sporting risbon anacheza upande upi
Kwa kweli nimefurahi sana hii habari hapo bado middle tu
Nilimfatilia alipokuwa CP dogo mzuri sanaWinga wa kulia au wing back
Sasa brother unamfananisha Silva na hiyo takataka, ungesema "kwani Tosin tulimsajili akiwa na umri gani" ningekuelewaKwani Thiago Silva tulimsajili kwa umri wa miaka mingapi?